Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi ya Arsenal Fred aliingia akabalance team. Team ikatulia.

Pale ndo nikaona umuhimu wake right away. Sema kuna wakati anapotea mpaka unajiuliza.
 
Unataka kusema mourinho alivyokuwa hamtaki Pogba ni Kwasababu ya mshahara ?
 
Aya
 
Mechi ya Arsenal Fred aliingia akabalance team. Team ikatulia.

Pale ndo nikaona umuhimu wake right away. Sema kuna wakati anapotea mpaka unajiuliza.
Fred weakness yake kubwa ni kupoteza mipira, timu ambayo inatupress sisi ni rahisi yeye kupokonywa mipira, si mzuri kwenye kukimbia press, ila sisi tukiwa ndio tunapress wachezaji wachache sana wana uwezo kama wake, jamaa anakimbia dakika 90 na halalamiki anapiga tu kazi.
 
Ile mechi na Newcastle huyo Fred alikua ni kituko sana.
 
Nawaona Newcastle United pamoja na Eddie Howe nafasi ya nne msimu huu.
Ukimuondoa City msimu huu hizo nafasi tatu hazina mwenyewe ila moja ya timu ninayoipa nafasi kubwa sana ni NU.

Hawa jamaa wapo organized vizuri sana msimu huu kuanzia uongozi wa juu mpaka technical staffs.
 
Ukimuondoa City msimu huu hizo nafasi tatu hazina mwenyewe ila moja ya timu ninayoipa nafasi kubwa sana ni NU.

Hawa jamaa wapo organized vizuri sana msimu huu kuanzia uongozi wa juu mpaka technical staffs.
NU naona upepo upo upande wao leo comte kazi ni kukuna kidevu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…