Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ugomvi wangu mkubwa na Rashford ni incosistency. Rashford akiwa ktk ubora wake ni mchezaji pekee ninayemuamini akiwa uwanjani kuliko mchezaji yeyote pale United.
 
 
Naunga mkono hoja. Hofu yangu kubwa sana huyu Bruno ni loyal follower wa Ronaldo. Ila kwa namna yoyote ile Ronaldo anapaswa kuondolewa kikosini mwezi wa kwanza kabla hali haijawa mbaya zaidi dressing room.
Bruno ni loyal follower wa Ronaldo lakini Bruno ni very disciplined na anaipenda United.

Kumbuka kabla ya kuja Ronaldo Bruno alikuwa ndiyo mchezaji aliyekuwa na influence kikosini na ndiye aliyekuwa akiamua matokeo ya mechi nyingi za United.

Kuja kwa Ronaldo kuliua sana influence ya Bruno kikosini na kuna wakati huwa na associate kushuka kiwango kwa Bruno na ujio wa Ronaldo.

Kuondoka kwa Ronaldo kutaifanya timu icheze kwa uelewano mkubwa zaidi na Bruno atarudi tena kwenye ubora wake. Kuja kwa Ronaldo kulimuondoa Bruno kupiga free kicks, kulimwondoa kupiga penalty lakini pia kulimweka kwenye spotlight ya kukosolewa zaidi timu isipofanya vizuri ili kulinda legacy ya CR7.
 
Endelea kuota.
 
Iyo ela flamini kaipata wapi

Kwani bado anacheza
 
Rashford ana Consistency angalia kwa jicho jengine. Mechi zote hizi kubwa kina Liver, Arsenal, Spurs ambazo tumeshinda ni key player. Kikosi kikiwa kikubwa kila mchezaji atakua na role yake.
Ana makosa mengi sana ya kiufundi, sio lazima uwe kocha kulitambua hilo, labda kama atabadilishiwa namba acheze chini au beki mbili lkn co forward, inahitaji akili nyingi kucheza mbele.
 
 
Ana makosa mengi sana ya kiufundi, sio lazima uwe kocha kulitambua hilo, labda kama atabadilishiwa namba acheze chini au beki mbili lkn co forward, inahitaji akili nyingi kucheza mbele.
Rashford ni proven big game player, mechi 3 hizi msimu huu tunahsinda na zote ana mchango mkubwa sana, msimu uliopita tumestruggle sana vs top 6 sababu kubwa ni Yeye na Martial kukosekana kwao. timu ikishakamilika kila mtu ata assume role yake na watarotate kutokana na strength zao.
 
Bruno yule mfia timu ,mimi nahisi ndio mchezaji anayeumia kuliko wote timu inapofungwa jamaa akirudisha utulivu wake kama wa kidini ile ya mwanzo patanoga sana.
 
27/08/2021

Juventus are waiting for Man City official bid to arrive in the next hours to reach an agreement as soon as possible. Ronaldo wants to leave and he won’t be available for next match.

Mendes is now discussing Ronaldo’s contract with Man City.

Baada ya hapo babu yenu Ferguson alipagawa akafanya usajili wa kukurupuka wa Ronaldo
Leo kashaleta vita na ETH,tutaona Nan mbabe kati ya cr7 vs ETH....

Kumbuka mguu mmoja wa kushoto wa Cr 7 ni mkubwa na unahistoria kumzud ETH na man utd yote kwa ujumla ...
 
Ten Hag on Ronaldo removed from squad: "It will have a reflection for him, but also for everyone".


"First time with Rayo wasn’t acceptable, but he wasn’t only one. The second time has consequences. Football is a team sport and you have to respect standards".

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU


manutd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…