Ugomvi wangu mkubwa na Rashford ni incosistency. Rashford akiwa ktk ubora wake ni mchezaji pekee ninayemuamini akiwa uwanjani kuliko mchezaji yeyote pale United.Rashford, Dalot na Shaw hao ni uhakika 100% wataendelea kuwepo United beyond 2023. De Gea sababu ya falsafa ya kocha, huyo Nampa 50/50 itategemea na evaluation ya kocha mwisho wa msimu. Fred nae itategemea na upatikanaji wa De Jong, ila nae (Fred) uwezekano wa kuendelea kuwepo beyond 2023 ni mkubwa sana. Hao wengine Sina comment
Nilibadili Jima mkuuKumbe ulibadili jina mkuu, me nilidhani ni miongoni mwa wale watoto walioanza kufuatilia soka baada ya betting companies kuanza
Mbwa wewe.Leo mkitoboa mbele ya Spurs mniite mbwa nimekaa hapa.
Mara nyingi nilikuwa namsapoti Ronaldo ila kwa kitendo alichofanya jana uzalendo umenishinda naona wachezaji wana morali ya juu ya kupambana kitimu yeye analeta mentality za ufather na kumpangia kocha hata kipindi yuko Real Madrid jamaa wakishinda wenzake hata timu ukishinda bila yeye kufunga hana hata raha hata kwenye kushangilia anashangilia kinyonge kiufupi mbinafsi sana na anapenda mafanikio binafsi ..
Bruno ni loyal follower wa Ronaldo lakini Bruno ni very disciplined na anaipenda United.Naunga mkono hoja. Hofu yangu kubwa sana huyu Bruno ni loyal follower wa Ronaldo. Ila kwa namna yoyote ile Ronaldo anapaswa kuondolewa kikosini mwezi wa kwanza kabla hali haijawa mbaya zaidi dressing room.
Endelea kuota.Ile Trap aliyotega conte ya kumsifia cr7 ili aanzishwe iwe rahisi kumkaba, jana Ten kairuka vizuri tu
Matokeo mliyopata jana
Ni ushindi kwa ARSENAL, technically wazee wetu mnazidi kubariki hiki kikombe cha ligi msimu huu tukibebe
Pongezi za dhati kwa Fred, Nilishawai kumuelezea humu.
Kwamba leo mzima, kesho kichaa anapiga watu mawe
Haaland kiatu
Arsenal ndoo
Iyo ela flamini kaipata wapiPole pole point zetu zinaingia. Angekua ole angeacha hadi kikosi apangiwe.
Ronaldo anavuna mkwanja mrefu, aache attitude mbona akiwa fresh anaweza kula dili la kocha mchezaji mambo yakaenda fresh. Vimechi vya hapa na pale.
Sasa unaanza kumpandia kocha kichwani ili iweje? Yeye ndio Boss, wewe ni mchezaji kama jina kubwa anzisha timu yako.
Mathieu Flamini yupo na USD billions 14, kimya kimya maisha yanaenda bila makamera hela ambayo sidhani Ronaldo atakuja ishika kwa attitude hiyo.
Maana umaarufu wake anautumia kujipatia kipato, ila attitude itafanya waone huyu kumuhimili kazi.
Messi alitulia zake hata Mbappe alipomuudhi akaachia mashabiki.
Dogo Greenwood uchoyo kidogo, jamaa kamnaga na kumuunfollow kabisa.
Wengine wana bahati asee.
500k per week alafu analeta ushubwanda na upo ligi inayofuatiliwa sana duniani.
Basi aende Saudi Arabia or Ureno uchochoroni awe anaonekana UEFA tu.
Ten Haag kaza. Bado Bruno aonywe.
Kwani huyu ndiyo yule anakuwaga na jicho lenye usaha?we jamaa hua unajua kuzitaabisha mbavu zangu aiseeee.
Ana makosa mengi sana ya kiufundi, sio lazima uwe kocha kulitambua hilo, labda kama atabadilishiwa namba acheze chini au beki mbili lkn co forward, inahitaji akili nyingi kucheza mbele.Rashford ana Consistency angalia kwa jicho jengine. Mechi zote hizi kubwa kina Liver, Arsenal, Spurs ambazo tumeshinda ni key player. Kikosi kikiwa kikubwa kila mchezaji atakua na role yake.
Bruno ni loyal follower wa Ronaldo lakini Bruno ni very disciplined na anaipenda United.
Kumbuka kabla ya kuja Ronaldo Bruno alikuwa ndiyo mchezaji aliyekuwa na influence kikosini na ndiye aliyekuwa akiamua matokeo ya mechi nyingi za United.
Kuja kwa Ronaldo kuliua sana influence ya Bruno kikosini na kuna wakati huwa na associate kushuka kiwango kwa Bruno na ujio wa Ronaldo.
Kuondoka kwa Ronaldo kutaifanya timu icheze kwa uelewano mkubwa zaidi na Bruno atarudi tena kwenye ubora wake. Kuja kwa Ronaldo kulimuondoa Bruno kupiga free kicks, kulimwondoa kupiga penalty lakini pia kulimweka kwenye spotlight ya kukosolewa zaidi timu isipofanya vizuri ili kulinda legacy ya CR7.
Pamoja sana.Nilibadili Jima mkuu
Rashford ni proven big game player, mechi 3 hizi msimu huu tunahsinda na zote ana mchango mkubwa sana, msimu uliopita tumestruggle sana vs top 6 sababu kubwa ni Yeye na Martial kukosekana kwao. timu ikishakamilika kila mtu ata assume role yake na watarotate kutokana na strength zao.Ana makosa mengi sana ya kiufundi, sio lazima uwe kocha kulitambua hilo, labda kama atabadilishiwa namba acheze chini au beki mbili lkn co forward, inahitaji akili nyingi kucheza mbele.
Bruno yule mfia timu ,mimi nahisi ndio mchezaji anayeumia kuliko wote timu inapofungwa jamaa akirudisha utulivu wake kama wa kidini ile ya mwanzo patanoga sana.Bruno ni loyal follower wa Ronaldo lakini Bruno ni very disciplined na anaipenda United.
Kumbuka kabla ya kuja Ronaldo Bruno alikuwa ndiyo mchezaji aliyekuwa na influence kikosini na ndiye aliyekuwa akiamua matokeo ya mechi nyingi za United.
Kuja kwa Ronaldo kuliua sana influence ya Bruno kikosini na kuna wakati huwa na associate kushuka kiwango kwa Bruno na ujio wa Ronaldo.
Kuondoka kwa Ronaldo kutaifanya timu icheze kwa uelewano mkubwa zaidi na Bruno atarudi tena kwenye ubora wake. Kuja kwa Ronaldo kulimuondoa Bruno kupiga free kicks, kulimwondoa kupiga penalty lakini pia kulimweka kwenye spotlight ya kukosolewa zaidi timu isipofanya vizuri ili kulinda legacy ya CR7.
Mimi Anthony awepo tu pale mbeleErisken or Fred kesho??
We unaenda na nani?
Mimi ni hivi;
Fernandes Casemiro Fred