Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11 kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sisi tukisema tunaonekana wahafidhina,

Rio Ferdinand na yeye kasema winger za man u zote zijifunze kwa saka

Wingers za man u hasa Anthony zinachojua kurudisha mipira nyuma ,hawasaidii kukaba, Ni winger zisizotia njaa, leo hii ukicheza na Newcastle utaulizia kuna maximin ,ukicheza na Brighton utaulizia kuna trossard , ukicheza na palace utaulizia kuna zaha, ukicheza na Leeds utaulizia kuna Sinisteira, n.k

Man u Nan anaogopesha ? Labda rashford akiamka vizuri

Rio Ferdinand urges Man Utd stars to copy Bukayo Saka trait - "I love that about him"
 
Tatizo wachezaji wa man u wote akili yao kwa Ronaldo ,

Anthony angeacha uchawa kwa Ronaldo huenda mannu wangepata goli,

Anaacha kutoa pass kwa wachezaji wenzake WATATU anatoa kwa Ronaldo aliyebanwa na beki


FB_IMG_1666110878643.jpg
 
Conte kashatangaza Vita

Conte on Cristiano Ronaldo:

“We lost 3-2, but we lost against him, not against United last season. I remember very well, because we played a very good game, and he solved the situation a lot.”
 
Tatizo wachezaji wa man u wote akili yao kwa Ronaldo ,

Anthony angeacha uchawa kwa Ronaldo huenda mannu wangepata goli,

Anaacha kutoa pass kwa wachezaji wenzake WATATU anatoa kwa Ronaldo aliyebanwa na beki


View attachment 2391265
Hili nalo ni Tatzo kubwa.
Wachezaji wamegeuka kuwa machawa wa Ronaldo.
Na mtu wanamfanyia uchawa hana Impact.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wachezaji wa man u wote akili yao kwa Ronaldo ,

Anthony angeacha uchawa kwa Ronaldo huenda mannu wangepata goli,

Anaacha kutoa pass kwa wachezaji wenzake WATATU anatoa kwa Ronaldo aliyebanwa na beki


View attachment 2391265
Mkitaka kushinda mechi zijazo, ni lazima mmoja aanzie benchi, either Antony au Ronaldo.

Hawa watu sio wa kucheza pamoja. Kwa sababu Antony anamuona Ronaldo kama Godfather wake. Baadhi ya wachambuzi waliwahi kusema kwamba sababu ya Antony kujiunga Utd, ukiacha ukubwa wa timu, ni uwepo wa Ronaldo.

Na sio huyo tu, Ronaldo anawaathiri hata wachezaji wengine.
Edo Kumwembe kaongea vizuri sana leo, ili timu yenu ifanikiwe, Ronaldo lazima aondoke.
 
Back
Top Bottom