John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11Mm niliongea humu nikashambuliwa , eti kisa ana magoli 3
Scholes alisema kila mpira anarudisha nyuma
Niliwaambia humu hata magoli nicolas Pepe pale Arsenal alifunga sana kuliko saka , but mwenye impact kubwa Ni saka
Leo epl sidhan kama kuna timu inacheza na man u mabeki pinzani wamuhofie Anthony.
kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

