Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mm niliongea humu nikashambuliwa , eti kisa ana magoli 3

Scholes alisema kila mpira anarudisha nyuma

Niliwaambia humu hata magoli nicolas Pepe pale Arsenal alifunga sana kuliko saka , but mwenye impact kubwa Ni saka

Leo epl sidhan kama kuna timu inacheza na man u mabeki pinzani wamuhofie Anthony.
Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11 kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Yani angekuwepo Maximin na Isak tungepigwa na kwa hali ile tusingerudisha. Safu yetu ya ushambuliaji mpaka wapate nafasi 20 ndiyo wafunge goli 1, wakipata nafasi chache zote watakosa.

Mashabiki wengi bado tunaishi kwa kuamini tuna timu nzuri, United bado ni timu kubwa lakini kwa kikosi tulichonacho hatuna tofauti na mid-table clubs tofauti yetu na wao, sisi tuna historia kubwa tu basi.

Tuna timu ya kawaida sana yani hizi timu ndogo zinapokosea zikicheza na sisi ni kupaki basi lakini zina uwezo wa ku-battle na wachezaji wa United na kuwamudu.

Hii timu ina-survive kwasababu ya jina lake tu lakini sioni cha ajabu wachezaji wanachofanya kuwazidi wachezaji wa Newcastle, Brighton, Brentford au West Ham.
United mnachekesha sana, juzi hapa mlikuwa mnasema timu imekamilika baada ya kumleta Antony, casemiro, Martinez na eriksen. Hapo kuna malacia pia.

Tatizo la united kwa maoni yangu ni kwamba mnaamini kusajili ndio kuwa na timu. Tangu Ferguson aondoke mmekuwa na kazi moja tu ya kusajili kuridhisha mashabiki na kufanya biashara bila mipango mahsusi ya kutengeneza timu.
 
Huyu jamaa mnamuandama Sana🤣🤣🤣🤣
IMG-20221017-WA0067.jpg
 
United mnachekesha sana, juzi hapa mlikuwa mnasema timu imekamilika baada ya kumleta Antony, casemiro, Martinez na eriksen. Hapo kuna malacia pia.

Tatizo la united kwa maoni yangu ni kwamba mnaamini kusajili ndio kuwa na timu. Tangu Ferguson aondoke mmekuwa na kazi moja tu ya kusajili kuridhisha mashabiki na kufanya biashara bila mipango mahsusi ya kutengeneza timu.
Tatizo litimu lao linasajili kwa kuangalia majina.

Eti juzi nipo kibanda umiza nikamsikia shabiki mmoja wa nyumbu anataka asajiliwe Jamaal Musiala, hivi Musiala atawasaidia nini kwenye timu yenu?
 
Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11 kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sisi tukisema tunaonekana wahafidhina,

Rio Ferdinand na yeye kasema winger za man u zote zijifunze kwa saka

Wingers za man u hasa Anthony zinachojua kurudisha mipira nyuma ,hawasaidii kukaba, Ni winger zisizotia njaa, leo hii ukicheza na Newcastle utaulizia kuna maximin ,ukicheza na Brighton utaulizia kuna trossard , ukicheza na palace utaulizia kuna zaha, ukicheza na Leeds utaulizia kuna Sinisteira, n.k

Man u Nan anaogopesha ? Labda rashford akiamka vizuri

Rio Ferdinand urges Man Utd stars to copy Bukayo Saka trait - "I love that about him"
 
Conte kashatangaza Vita

Conte on Cristiano Ronaldo:

“We lost 3-2, but we lost against him, not against United last season. I remember very well, because we played a very good game, and he solved the situation a lot.”
 
Back
Top Bottom