Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wachezaji mara nyingi wanachukua muda kuzoea mazingira.

Sancho kachukua muda mrefu kuonyesha uwezo wake.

Anthony ni mchezaji wa kiwango cha juu sana labda kama una kengeza la soka huwezi kuona kipaji chake.
Anthony yule hata mech vs Arsenal ukitoa goli hakuna Cha maana alichofanya , game 2 zilizofata hata 1vs 1 hawez, anachojua kucheza vusigino, na udambwidambwi ,vitu ambavyo kwa soka la Sasa vitawagharimu

Nadhani ndio maana ana G/A 12 Katika Ligi ya uholanzi, Ligi laini ,Gapko pale PSV ana G/A 33

Yaani Gapko anamchango mkubwa kuliko Anthony .
 
Wachezaji mara nyingi wanachukua muda kuzoea mazingira.

Sancho kachukua muda mrefu kuonyesha uwezo wake.

Anthony ni mchezaji wa kiwango cha juu sana labda kama una kengeza la soka huwezi kuona kipaji chake.
Sancho aimeimprove kipi hasa ?

IMG_20220920_091036.jpg
 
Anthony yule hata mech vs Arsenal ukitoa goli hakuna Cha maana alichofanya , game 2 zilizofata hata 1vs 1 hawez, anachojua kucheza vusigino, na udambwidambwi ,vitu ambavyo kwa soka la Sasa vitawagharimu

Nadhani ndio maana ana G/A 12 Katika Ligi ya uholanzi, Ligi laini ,Gapko pale PSV ana G/A 33

Yaani Gapko anamchango mkubwa kuliko Anthony .
Kwanini utoe goli lake dhidi ya Arsenal? Mbona nyie mlimsajili Pépé ka-flop na watu wametulia tu. Antony mechi 3 tu mshaanza kuwashwa kama kawaida yenu, juzi tu tuliwakuna mshasahau?
 
Sancho aimeimprove kipi hasa ?

View attachment 2362379
Naelewa unafanya banters kwasababu tu Saliba amemzidi Sancho kwenye G/A lakini huoni kama ni ujinga kufananisha wachezaji wawili wa positions 2 tofauti kabisa!

Mara nyingi Stats hazikupi picha halisi zaidi ya kuangalia mechi. Chukulia mfano mechi yetu na Arsenal mlicheza vizuri sana lakini kwa mtu ambaye hakuangalia mechi atajua labda United ndiyo walikuwa wazuri zaidi.

Sancho msimu huu anacheza vizuri sana ukilinganisha na msimu uliopita, mchezaji anaweza kuwa hafungi lakini haimaanishi ni mchezaji mbovu.

Son msimu uliopita kabeba kiatu ila msimu huu kaanza taratibu na juzi kafunga hat-trick. Timo Werner, Lukaku wote walikuwa na stats nzuri za kuvutia wakaja wame-flop.

Mchezaji siyo stats tu kuna vitu vingi wanafanya uwanjani ukitoa G/A kama ni lazima forward afunge kila nafasi na kila mechi wakina Messi na Ronaldo wangekuwa na magoli 2000 basi.
 
Kwanini utoe goli lake dhidi ya Arsenal? Mbona nyie mlimsajili Pépé ka-flop na watu wametulia tu. Antony mechi 3 tu mshaanza kuwashwa kama kawaida yenu, juzi tu tuliwakuna mshasahau?
Ok, but Ni mtazamo TU, ila Huyo Anthony hataweza kufikia kiwango Cha Pepe nikimuangalia , Pepe ameferi Arsenal ya Arteta sababu haendani na mfumo ,Pepe Ni mzuri kwenye Kaunta ,

Tutakumbushana tu hapa hapa , ila Anthony nimemuangalia Sana ,hataweza kufikia hata form ya Pepe unayemuona alifeli,

Pepe pale Arsenal alikuwa na mchango mzuri wa magoli, ila hafiti mfumo wa mwalimu
 
Naelewa unafanya banters kwasababu tu Saliba amemzidi Sancho kwenye G/A lakini huoni kama ni ujinga kufananisha wachezaji wawili wa positions 2 tofauti kabisa!

Mara nyingi Stats hazikupi picha halisi zaidi ya kuangalia mechi. Chukulia mfano mechi yetu na Arsenal mlicheza vizuri sana lakini kwa mtu ambaye hakuangalia mechi atajua labda United ndiyo walikuwa wazuri zaidi.

Sancho msimu huu anacheza vizuri sana ukilinganisha na msimu uliopita, mchezaji anaweza kuwa hafungi lakini haimaanishi ni mchezaji mbovu.

Son msimu uliopita kabeba kiatu ila msimu huu kaanza taratibu na juzi kafunga hat-trick. Timo Werner, Lukaku wote walikuwa na stats nzuri za kuvutia wakaja wame-flop.

Mchezaji siyo stats tu kuna vitu vingi wanafanya uwanjani ukitoa G/A kama ni lazima forward afunge kila nafasi na kila mechi wakina Messi na Ronaldo wangekuwa na magoli 2000 basi.
Ukweli mchungu, Sancho Ni another flop hapo man u kataa kubali ,

Sancho amekuwa Leo anacheza vzr kesho ovyo ,mech mbili ovyo mech 1 angalau

Mwingine mjiandae kumkaribisha kwenye kundi la flop Ni Anthony .

Mchezaji mzuri anajulikana tu, haihitaji ramli kumjua

Anthony Ni mchezaji wa jukwaa , visigino, udambwidambwi wa kibrazili , sio mchezaji wa kusaidia timu ,ndio maana katika Ligi ya wakulima anatoka na G/A 12,

Amezidiwa hata na kina Berwijin, Gapko, Ziyech , waliyotoka hiyo Ligi
 
Kwanini utoe goli lake dhidi ya Arsenal? Mbona nyie mlimsajili Pépé ka-flop na watu wametulia tu. Antony mechi 3 tu mshaanza kuwashwa kama kawaida yenu, juzi tu tuliwakuna mshasahau?
Nimetoa goli maana hata kina lukaku walikuwa wanafunga lkn performance ovyo

Unaweza kufunga goli na performance yako ikawa ovyo


Pale Arsenal Pepe alikuwa anamaliza msimu na G/A 10,12 had 15 All competition ,lkn Ameonekana flop sababu Kuna vitu hafikii


Ukweli mchungu yule Anthony Ni another flop hapo man u
 
Naelewa unafanya banters kwasababu tu Saliba amemzidi Sancho kwenye G/A lakini huoni kama ni ujinga kufananisha wachezaji wawili wa positions 2 tofauti kabisa!

Mara nyingi Stats hazikupi picha halisi zaidi ya kuangalia mechi. Chukulia mfano mechi yetu na Arsenal mlicheza vizuri sana lakini kwa mtu ambaye hakuangalia mechi atajua labda United ndiyo walikuwa wazuri zaidi.

Sancho msimu huu anacheza vizuri sana ukilinganisha na msimu uliopita, mchezaji anaweza kuwa hafungi lakini haimaanishi ni mchezaji mbovu.

Son msimu uliopita kabeba kiatu ila msimu huu kaanza taratibu na juzi kafunga hat-trick. Timo Werner, Lukaku wote walikuwa na stats nzuri za kuvutia wakaja wame-flop.

Mchezaji siyo stats tu kuna vitu vingi wanafanya uwanjani ukitoa G/A kama ni lazima forward afunge kila nafasi na kila mechi wakina Messi na Ronaldo wangekuwa na magoli 2000 basi.
🚨 Clubs that overpay the most for their players compared to their real market value:

🥇 Man Utd +€238M
🥈 Juventus +€234M
🥉 PSG +€161M
🏅 Aston Villa +€149M
🏅 Real Madrid +€148M

(Source: @CIES_Football) https://t.co/682w2F1Dmn
 
Nimetoa goli maana hata kina lukaku walikuwa wanafunga lkn performance ovyo

Unaweza kufunga goli na performance yako ikawa ovyo


Pale Arsenal Pepe alikuwa anamaliza msimu na G/A 10,12 had 15 All competition ,lkn Ameonekana flop sababu Kuna vitu hafikii


Ukweli mchungu yule Anthony Ni another flop hapo man u
Inachukua muda gani kuweza kusema mchezaji fulani ni flop?
 
Naelewa unafanya banters kwasababu tu Saliba amemzidi Sancho kwenye G/A lakini huoni kama ni ujinga kufananisha wachezaji wawili wa positions 2 tofauti kabisa!

Mara nyingi Stats hazikupi picha halisi zaidi ya kuangalia mechi. Chukulia mfano mechi yetu na Arsenal mlicheza vizuri sana lakini kwa mtu ambaye hakuangalia mechi atajua labda United ndiyo walikuwa wazuri zaidi.

Sancho msimu huu anacheza vizuri sana ukilinganisha na msimu uliopita, mchezaji anaweza kuwa hafungi lakini haimaanishi ni mchezaji mbovu.

Son msimu uliopita kabeba kiatu ila msimu huu kaanza taratibu na juzi kafunga hat-trick. Timo Werner, Lukaku wote walikuwa na stats nzuri za kuvutia wakaja wame-flop.

Mchezaji siyo stats tu kuna vitu vingi wanafanya uwanjani ukitoa G/A kama ni lazima forward afunge kila nafasi na kila mechi wakina Messi na Ronaldo wangekuwa na magoli 2000 basi.
Ni nyie man u mnamuona Pepe amefeli ila Sancho anatakata

Nicolas Pepe 19 g/a first season at Arsenal vs Sancho 8 g/a his first season at Man Utd.

Nashangaa Hata Bruno Fernandez anamuongelea Pepe

Bruno Fernandes (Manchester United) on criticism comparisons with Nicolas Pepe: “He had some bad games & everyone was saying, ‘He still has to adapt’, but when Bruno was having a bad game, it was just because he was moaning or not focused on the game.” [@TheAthleticUK] #
 
Daaaahhhhh broo una ugomvi wowote na huyu jamaa?
Mimi nakuhakikishia huyu dogo akitulia utakuja mwenyewe kuungama na kutubu dhambi ya kumsemea uongo Anthony.
Achana na zile kelele za kina Edo Kumwembe, hawa jamaa ni wapinzani wetu lazima watafute maneno ya kuwaponda wachezaji wetu.
Mkuu nimeanza kuishabikia United tangu 1999. Kwa kipindi chote hicho naifahamu United nje ndani.

Nimeona successful transfers nyingi sana pale United na Failed transfers nyingi tu.

Kitu positive pekee kwenye kikosi chetu alichonacho Anthony ni pace pekee na vyenga kwenye ligi yetu wachezaji wa namna hiyo ni nadra sana kuwa na impact kwenye epl.

United na south American players imekuwa ni mbingu na ardhi wengi wanaishia kuwa failed transfers orodha ni ndefu sana wapo waliofanikiwa walau msimu mmoja lakini bado katika jicho la kawaida waliendelea kuonekana kama average performers kikosini.


Man United ilitumia 70€ kumnunua winga wa kulia Jadon Sancho imerudi tena sokoni kumnunua Anthony kwa 100€.

Itakuwa ni jambo la kushangaza kwangu kama Anthony atatupa tunachokitafuta.
 
Back
Top Bottom