Tayari mkuu....unataka warudie mara ngapi huo unyumbuMan u haka ni kaupepo subilini kapite mrudie unyumbu wenu
Kosi la ushindi eeeeeeh basi SawaKosi la ushindi ili japo hawa jamaa ni wagumu kweli.View attachment 2350538

















































































Antony mumepigwaKwa kikosi hiki ushindi mtamu mtamu. Anton atapenda kuendeleza makali. Casamiro, Eriksen na Fred patamu sana hapo. CR7 atatoa onto kucheza Europa, kwamba siyo size yake. Maguire na Linderlof hope watakuwa makini leo.





















































Usimkosee heshima Daniel James mkuu,huyu Antony afadhali ya George Makanga wa KMCAnthony= Daniel James WA pauni mil100
Hamna mchezaji humor huyu ni dancer TU Super Nyamwela.....Huyu antony inatakiwa atulize Sana akili acheze kwa kutulia Ni Kama ana too much expectations anacheza na jukwaa utoto utoto mwingi
Mumeziea mbeleko za epl,Yaani refa hataki hata kuhangaika na VAR.. 2 clear penalties denied
Lakini mmegongwaBado timu ina mechi 5 na zinahitajika angalau points 10 kufuzu. Hivyo let’s stay positive.
#GGMU

Amka usije kunya kitandani unaota weweNi Siku ya Mechi!!
UEFA Europa League
Old Trafford
Saa 4:00 usiku
Real Sociedad!!
Prediction
Manchester united 4 vs Real sociedad 1
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
#GGMU
View attachment 2349637
Sawa lakini mmebanduliwaLiverkuku kala 4, Cheltako 1, Arsemavi kashinda kwa fedheha. Chill afu acha kushobokea uzi wetu. Kawaida yetu tunakusoma mara ya kwanza second time huponyoki. We lost two matches zite tulitumia kuimarika, Epl hatupigiki, Europa mwisho leo. ACHA SHOBO MTOTO WA KIUME.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi furaha yetu kuwagonga nyie tuKosi la ushindi eeeeeeh basi Sawa![]()
Kwani SI mmegongwa au?Wewe ni mnafiki tunakujua ulisemaje hapa.
View attachment 2350885
ushindi mtamu mtamu nao ukapatkanaKwa kikosi hiki ushindi mtamu mtamu. Anton atapenda kuendeleza makali. Casamiro, Eriksen na Fred patamu sana hapo. CR7 atatoa onto kucheza Europa, kwamba siyo size yake. Maguire na Linderlof hope watakuwa makini leo.
Fuse zimelegea au ndio akili zako za kila siku??Tuna msiba matokeo ya iyo mechi hatuhusiki mama yetu kafariki![]()