Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,426
- 2,414
Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.
Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.
Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.
Give it time we'll be stronger and good in every position as time goes!Ila tuna shida kwenye consistency tunaanza vizuri sana then tunaslow down mda mrefu sana sijajua kwanini tunawahi kukata moto.
Martinez ni mzima kabisaaaaa[emoji2957]Martinez miezi 6 nje...
Halima Gwaya anarudi kama kawa.,
Msije.sema.sikuwaambia...
Ile sub ya Fred ilikuja wakati sahihi maana alikuja kuzuia penetration passes za Odegard kwa Saka, hii ilisaidia sana kupunguza pressure upende wa Malacia ambako Saka alikuwa anavuma kila muda.mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana
Tena mbwa asie na jinsia maalum.Mbwa wewe [emoji3]
Tatizo mbeleko zilizidi janaKwani Man u kaanza kumfunga Arsenal leo?
Hata mwenyewe unajishangaa kwa comment hii.
Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibuUp the reds
[emoji3525]malacia Jana hakua na game nzuri
[emoji3525]mctominay kaimprove Sana, anakaba vzr, pasi hapotezi Sana
[emoji3525] Ericksen just exceptional
[emoji3525]Rashy chini ya ETH kaimprove
[emoji3525]Above all, timu iko na spirit,,,,ndo kitu tulikikosa tangia enzi za moyes!
#GGMU
Alikumbatia akafanya tactical foul hio ni kazi ya DMUjinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Up the reds
[emoji3525]malacia Jana hakua na game nzuri
[emoji3525]mctominay kaimprove Sana, anakaba vzr, pasi hapotezi Sana
[emoji3525] Ericksen just exceptional
[emoji3525]Rashy chini ya ETH kaimprove
[emoji3525]Above all, timu iko na spirit,,,,ndo kitu tulikikosa tangia enzi za moyes!
#GGMU
Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mda mwingine Dm lazima uwe na roho mbaya ,,,,!! Mzee wa kazi chafu, sio Mambo ya urembo !!!Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Sema jamaa anajitahidi saana wampe tu hiyo kazi kabisa alafu soon anafikisha 10K followersSi official account, nimeiona twitter