Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
Hapana ile foul ni muhimu, asingecheza kulikua na posibility ya 1v1 baina ya varane na forward wa Arsenal.Magwaya amecheza mipira miwili yote yangeweza kuwa magoli. Ile faulo na ile penalty refa angefunika gemu ingebadilika kabisaa.
Dikson Job, Inonga, Bangala, wanamzidi Magwaya mara kumi.
No wakati sasa Man U kumsajili mtu mwenye akili timamu kama Tapsoba yule anayechezea Bundesliga
MbwaaaaaaNyumbu mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale
Akipewa na wachezaji sahihi kwake.mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.
Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.
Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.
Give it time we'll be stronger and good in every position as time goes!Ila tuna shida kwenye consistency tunaanza vizuri sana then tunaslow down mda mrefu sana sijajua kwanini tunawahi kukata moto.
Martinez ni mzima kabisaaaaaMartinez miezi 6 nje...
Halima Gwaya anarudi kama kawa.,
Msije.sema.sikuwaambia...
Ile sub ya Fred ilikuja wakati sahihi maana alikuja kuzuia penetration passes za Odegard kwa Saka, hii ilisaidia sana kupunguza pressure upende wa Malacia ambako Saka alikuwa anavuma kila muda.mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana
Tena mbwa asie na jinsia maalum.Mbwa wewe
Tatizo mbeleko zilizidi janaKwani Man u kaanza kumfunga Arsenal leo?
Hata mwenyewe unajishangaa kwa comment hii.
Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibuUp the reds
malacia Jana hakua na game nzuri
mctominay kaimprove Sana, anakaba vzr, pasi hapotezi Sana
Ericksen just exceptional
Rashy chini ya ETH kaimprove
Above all, timu iko na spirit,,,,ndo kitu tulikikosa tangia enzi za moyes!
#GGMU
Alikumbatia akafanya tactical foul hio ni kazi ya DMUjinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Up the reds
malacia Jana hakua na game nzuri
mctominay kaimprove Sana, anakaba vzr, pasi hapotezi Sana
Ericksen just exceptional
Rashy chini ya ETH kaimprove
Above all, timu iko na spirit,,,,ndo kitu tulikikosa tangia enzi za moyes!
#GGMU