raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,545
- 35,809
Mimi shabik wa man ila VAR katili sana aisee 😀

Hapo ulipo ulikuwa ushalowa buttockLingekua goli ningeandamana.
Imekuja kutatua kero ambazo huko zamani zilipuuzwa, ile ilikuwa ni faul bila ubishi.Mimi shabik wa man ila VAR katili sana aisee![]()
.Mimi lile goli tu 😃 jamaa kajitahidi sana alaf holaaaaa duhImekuja kutatua kero ambazo huko zamani zilipuuzwa, ile ilikuwa ni faul bila ubishi.
Ni katili kwa wanaobeti tu ila sio kwa watu wanaopenda mpira.