Huyu dogo ni average tu. Sioni utofauti wake na Dalot.Unfortunately naskia tunamtaka Dest..
Kama kweli tunataka upgrade upande ule ndani ya huu muda mfupi ni Vanderson tu.
Huyu dogo ni average tu. Sioni utofauti wake na Dalot.Unfortunately naskia tunamtaka Dest..
Nilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye.Hiyo post nimeiweka kiutani.
Huyo gaitan nyakati za ferguson tulivumishiwa sana ya kwamba tunamtaka.
Dirisha la usajili likifunguliwa tu na habari zake zilikuwa zinavumishwa.
Ni yeyeeeeNilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye.
Wewe fala ebu amka acha kuotaTukishinda kesho tunaingia top 5, na tukishinda jumapili tunaingia top 4.
Eras come to an end.






Tatizo nini kwani?Wewe fala ebu amka acha kuota![]()
Alisikika kichaa mmojaTukishinda kesho tunaingia top 5, na tukishinda jumapili tunaingia top 4.
Eras come to an end.
Ni yeye tu, jamaa ana miaka 34 nowNilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye.
Kuna ads on mpaka kufikia hiyo 20M ila kitu kizuri ni kuwa tumeweka buy back clause kwenye mkataba piaJames Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons.
Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United.
----------
Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu
Dah aisee watu wengine ni walalamishiiiiJames Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons.
Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United.
----------
Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu
Nan atamfunga paka kengereHaaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia..


Haaland + City =Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia..

Labda benardo Silva wa buzaBernardo Silva to Barcelona
Yamebaki masaa 24 dirisha lifungwe. Kuna habari zinasambaa huenda kesho kukawa na transfer activities kwa United.![]()
Labda benardo Silva wa buza
Si tetesi tu lakini.