Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,646
Ni yeye tu, jamaa ana miaka 34 nowNilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye.
Ni yeye tu, jamaa ana miaka 34 nowNilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye.
Kuna ads on mpaka kufikia hiyo 20M ila kitu kizuri ni kuwa tumeweka buy back clause kwenye mkataba piaJames Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons.
Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United.
----------
Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu
Dah aisee watu wengine ni walalamishiiiiJames Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons.
Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United.
----------
Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu
Nan atamfunga paka kengereHaaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia..


Haaland + City =Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia..

Labda benardo Silva wa buzaBernardo Silva to Barcelona
Yamebaki masaa 24 dirisha lifungwe. Kuna habari zinasambaa huenda kesho kukawa na transfer activities kwa United.![]()
Labda benardo Silva wa buza
Si tetesi tu lakini.40+ epl only.Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia..
Mbona Martinez anapiga pasi ndefuHuyu cocha hataki long passes.



4:00 usiku

Incomings ??
Outgoings ??