Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Van Basten:

"Antony hasn't proven much yet. Of course he played a few good games. But his efficiency has not been high in the last 2 years."
IMG_20220829_072828.jpg
 
Van Basten:

"Antony hasn't proven much yet. Of course he played a few good games. But his efficiency has not been high in the last 2 years." View attachment 2339510
hela Ni za club wacha watoe ,,, huyu Anthony bado ana potential huko mbele, anayo room of improvement!!!

Mbona nyie mlimnunua pepe kwa hela ndefu akafeli ?? Hadi mmemtoa kwa mkopo! Mara nyingi usajili Ni gambling,,, unakula au unaliwa!!! Utd ni club kubwa, mauzo ya jezi tu yanarudisha ada ya usajili !
 
Van Basten:

"Antony hasn't proven much yet. Of course he played a few good games. But his efficiency has not been high in the last 2 years." View attachment 2339510
Nyie AsaniWali tumeshawazoe na makelele yenu.
Mlivyokua mnamtaka Martinez mlikua mnamsifia kwelikweli huko kwenye jukwaa lenu la matusi, ila baada ya kumkosa na kusajiliwa na Manchester United mkaanza kumponda kua ni mfupi sana hafai kua beki wa kati.
Baada ya mechi zake 2 tu akawaprove wrong kwa yote mliyoyasema.
Hata Antony baada ya kucheza mechi zake chache tu mtafunga midomo yenu.
Screenshot_20220825-120903.jpg
 
Nyie AsaniWali tumeshawazoe na makelele yenu.
Mlivyokua mnamtaka Martinez mlikua mnamsifia kwelikweli huko kwenye jukwaa lenu la matusi, ila baada ya kumkosa na kusajiliwa na Manchester United mkaanza kumponda kua ni mfupi sana hafai kua beki wa kati.
Baada ya mechi zake 2 tu akawaprove wrong kwa yote mliyoyasema.
Hata Antony baada ya kucheza mechi zake chache tu mtafunga midomo yenu. View attachment 2339756
Na wakasema yeye ni mfupi sana.
Screenshot_20220830_113348.jpg
 
Swap deal,,,,

AWB for Sergino Dest,,,! Dest sio mzuiaji mzuri ila kwenye attacking yupo vzr !!!

Source uchwara za vichochoroni zinareport tangia Jana !'
 
Nyie AsaniWali tumeshawazoe na makelele yenu.
Mlivyokua mnamtaka Martinez mlikua mnamsifia kwelikweli huko kwenye jukwaa lenu la matusi, ila baada ya kumkosa na kusajiliwa na Manchester United mkaanza kumponda kua ni mfupi sana hafai kua beki wa kati.
Baada ya mechi zake 2 tu akawaprove wrong kwa yote mliyoyasema.
Hata Antony baada ya kucheza mechi zake chache tu mtafunga midomo yenu. View attachment 2339756
Hatukuwai kumponda Martinez,
Martinez ni mzuri tu, usichoelewa ni hivi

Martinez sisi tulimtaka kama backup ya Tierney, ambae kwa sasa tunae zinchenko
Ila nyie mmemuona kama ndio stater, yani panga pangua

Sisi tulimtaka kama left back/
Nyie mmemuona ndio wa kumaliza central back
Hii changamoto ya kimo lazima itawaadhibu tu, wait and see

Kwaio Arsenal na nyumbu walikua wanamuangalia katika angles tofauti
 
Hatukuwai kumponda Martinez,
Martinez ni mzuri tu, usichoelewa ni hivi

Martinez sisi tulimtaka kama backup ya Tierney, ambae kwa sasa tunae zinchenko
Ila nyie mmemuona kama ndio stater, yani panga pangua

Sisi tulimtaka kama left back/
Nyie mmemuona ndio wa kumaliza central back
Hii changamoto ya kimo lazima itawaadhibu tu, wait and see

Kwaio Arsenal na nyumbu walikua wanamuangalia katika angles tofauti
Tutaona iyo jumapili mkuu
 
Hatukuwai kumponda Martinez,
Martinez ni mzuri tu, usichoelewa ni hivi

Martinez sisi tulimtaka kama backup ya Tierney, ambae kwa sasa tunae zinchenko
Ila nyie mmemuona kama ndio stater, yani panga pangua

Sisi tulimtaka kama left back/
Nyie mmemuona ndio wa kumaliza central back
Hii changamoto ya kimo lazima itawaadhibu tu, wait and see

Kwaio Arsenal na nyumbu walikua wanamuangalia katika angles tofauti
Hili suala la kimo cha Martinez mimi najua wengi mmefuata mkumbo tu kuliongelea kwasababu wachambuzi wameliongelea na kwasababu ndiyo mambo mnayopenda kusikia kuhusu United basi mmevalia njuga.

Sasa Arsenal mna beki gani wa maana hadi Martinez angekuja kwenu angekuwa backup?

Kwenye latest interview ya EtH aliyofanya na Sky Sports aliuzwa swali hilihili na Caragher kuhusu Martinez na akajibu kuwa hakuna ukweli wa anachokisema kwasababu stats zinaonyesha Martinez amefanya vizuri kwenye hilo eneo. Pia aliongezea kuwa kila mchezaji ana mapungufu yake ni kazi ya kocha sasa kujua atamtumia vipi.

Martinez weakness yake (ambayo mnalazimisha) ni kimo chake kama CB lakini mchezaji huyohuyo ameshacheza na timu kama Liverpool ambayo ina full backs wanaomwaga maji vizuri na wana forward line nzuri na amekuwa MOTM.

EtH pia alisema strikers atakaokutana nao EPL ni haohao aliokutana nao UCL na akawaweka mfukoni.

Beki / kila mchezaji kufanya makosa ni lazima na najua siku ambayo Martinez atafanya kosa kupitia mipira ya juu mtakuja hapa kusema "si tulisema" na siyo nyie tu hata media zinasubiri hiyo siku. Ila sisi tunapiga kazi tu, siyo kwamba kwasababu ya Martinez ndiyo tutafungwa magoli 100 kwa makosa yake.
 
Hatukuwai kumponda Martinez,
Martinez ni mzuri tu, usichoelewa ni hivi

Martinez sisi tulimtaka kama backup ya Tierney, ambae kwa sasa tunae zinchenko
Ila nyie mmemuona kama ndio stater, yani panga pangua

Sisi tulimtaka kama left back/
Nyie mmemuona ndio wa kumaliza central back
Hii changamoto ya kimo lazima itawaadhibu tu, wait and see

Kwaio Arsenal na nyumbu walikua wanamuangalia katika angles tofauti
Kwa akili yako Zichenko ni back up ya Tierney?
 
After
Anthony
Malacia
Licha
Ericksen
Casemiro

Soon Yule GK wa Newcastle, walau tunahitaji target man mmoja ili tukaipambanie big 4!!!!! Ivan toney atatufaa, ama swap deal ya osimen na Ronaldo(Kuna baadhi ya sources zinasema hivyo)

Somehow #glazersout imefanya kazi Hawa mabwenyenye wameingia mifukoni,,, bila hvo tungepigwa saundi hakuna signing za maana!

Le go reds

#GGMU
 
Kwa akili yako Zichenko ni back up ya Tierney?
Tumekosa shaba tumepata almasi

Sisi wenyewe tumeshukuru kumkosa Martinez,
Maana zincheko imekua super deal

By the way, Tierney na zinchenko wanagombania namba
Ila zinchenko pia ni midfielder mzuri tu, na ndio namba yake akiwa timu ya taifa
 
Back
Top Bottom