ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
@Daemushin: aliwahi kusema Bruno hawezi mpira wa structureBruno anazingua kichizi..
It's big time ETH amsogeze Erisken juu kwenye baadhi ya mechi Bruno naye aanzie benchi.
@Daemushin: aliwahi kusema Bruno hawezi mpira wa structureBruno anazingua kichizi..
It's big time ETH amsogeze Erisken juu kwenye baadhi ya mechi Bruno naye aanzie benchi.
Huyu Elanga ni mpuuzi flani tu.Elanga ana tofauti gani na lingardinho???
Wewe ni ze dudu , mpira utajulia wapi dudu weweCity izi goli kwa palace hachomoi



This is Manchester city ,...ukiscore goal 2 usifikili umemaliza maana tunaweza kukunyukasito au kukucrystopalizeCity izi goli kwa palace hachomoi
Tuna points 6 mna points 7 fala wewe. Leicester kawakimbiza huko mmebana mbupu muda wote wa mechi. Unaisema United wakati timu yako haina striker, kiungo tia maji tia maji tu.
Lucky day kwa Chelsea inaweza kuikuta timu yoyote ile. Leicester msimu huu hawapo vizuri, wangekuwa clinical ilikuwa habari nyingine. Mimi najua mbupu nusu zipasuke leo nimeangalia hiyo mechi. Unlucky Leicester City.NYUMBU angelimwa kadi nyekundu zile dakika una uhakika angepata ushindi?
Yes katika mechi tulizofungwa timu ilicheza vizuri ila tulifungwa.Sio kila game team itacheza vizuri kama unapata point 3 na cleansheet ni jambo zuri
Bruno anapewa nafasi kucheza kwa sababu ya uwezo wake wa kutengeneza nafasi.Bruno anazingua kichizi..
It's big time ETH amsogeze Erisken juu kwenye baadhi ya mechi Bruno naye aanzie benchi.
Shida ni kwamba mashabiki wa Man u wengi hawanaga heshima kwa wachezaji, ni kama mashabiki wa Madrid na Barca.Bruno anapewa nafasi kucheza kwa sababu ya uwezo wake wa kutengeneza nafasi.
Sasa hivi timu yetu haina uelewano mkubwa hivyo unahitaji sana mtu anayetengeza nafasi na kuwa na goal threat kwa mpinzani akiwa eneo lolote.
Angalia goli alilofunga out of a blue kakupa point tatu.
Ikiwemo wewe mwenyeweShida ni kwamba mashabiki wa Man u wengi hawanaga heshima kwa wachezaji, ni kama mashabiki wa Madrid na Barca.
Kivipi elezea.Ikiwemo wewe mwenyewe
Wewe una waheshimu Martial na Rashford??Shida ni kwamba mashabiki wa Man u wengi hawanaga heshima kwa wachezaji, ni kama mashabiki wa Madrid na Barca.




Huyo Gakpo wa kawaida saana ,yaani ni kama elanga tu.
Bora antony

Kuwazuia kwenye nini nyie ni team ya ovyoGGMU FOREVER HAKUNA WA KUTUZUIA BEST CLUB IN DA WORLD![]()
World gan unayoizungumziaGGMU FOREVER HAKUNA WA KUTUZUIA BEST CLUB IN DA WORLD![]()
Huyu antony hata goli 10 eredivise hana afu ndo wakumnunua kwa zaidi ya 90m pounds kweli?