Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Antony fresh,bado namba 9,sioni rashfod kutupeleka popote,martial ni injury prone,ronaldo tia maji....ndo maana nilielewa tulivomtaka anautovic.

Pia Dalot anahitaji competition,anapitika kirahisi sana,kama game ya jana Saints walikua wanashinda upande wake tu.
hela yote ilotumika halafu rashford na mctominay ndo wawe wanaanza
 
Duh dau limezidi hadi la haaland
Mashabiki mda mwingine tuna mihemko watu wanataka glazer waondoke lakn mbona wana mwaga pesa ttz litakuwa kwenye scouting ya tim
Mancunian wanataka Glazers waondoke kwasababu pesa wanayotumia kununua wachezaji ni pesa ambayo timu imetengeneza yenyewe na sio uwekezaji wao. Pia wameipa club madeni hata walipoinunua walichukua mkopo na kuhamishia deni kwenye timu. Kingine wanachukua gawio kila mwaka kupitia United baada ya kuiweka katika soko la hisa. Yani wao wanachota tu kidogo kinachobaki ndiyo timu inatumia.

Kubwa zaidi ni uendeshaji wa timu, ipo kibiashara zaidi hata kocha Louis van Gaal kathibitisha hili. Wenyewe wanasema yoyote anaweza kuiendesha Manchester United kwa jinsi wanavyoiendesha Glazers.
 
Duh dau limezidi hadi la haaland
Mashabiki mda mwingine tuna mihemko watu wanataka glazer waondoke lakn mbona wana mwaga pesa ttz litakuwa kwenye scouting ya tim
Hizo pesa wanazotoa sio zao, na hawana mipango ya kusuka Timu kila msimu huwa wanasajili mashabik wakiwapa presha, yaan sisi kusajil kwetu ni mwishon mwa Dirisha,
 
Baba yake haaland kacheza city na anabifu na united maana kidogo mmvunje mguu enzi hizo ,automatic haaland asingeweza kuja united hata kwa £500million mezani .....!!
Hahah! Haaland ni professional player. Kama ni kuja United angekuja kabla ya kwenda Dortmund ila shida ilikuwa ni kwenye mkataba wake walitaka waweke kipengele cha 'release clause' timu kama United siyo 'a selling club' wangekubali huo mkataba huenda angeondoka mapema tu kwa hali iliyopo.

Dortmund wao kuuza ndiyo kazi yao ndiyo maana ilikuwa rahisi kwenda kule. Msimu huu hata tungejaribu kumsajili tusingeweza kumshawishi kirahisi. Angekuwa hana release clause msingemtoa BVB bila £150 au zaidi.
 
Kimewakaaaaaa

Antony to Manchester United, here we go! Agreement in principle with Ajax, €100m fee. Contract until June 2027 with option until 2028. To be signed tomorrow. #MUFC

Contracts being prepared, it’s Eredivisie historical record fee — Antony will be in Manchester next week.

#FabrizioRomano
#GGMU
Sio hela nyingi,infact ni £84,ambayo kwa dunia ya sasa ni kawaida sana,ukiweka €100 inaonekana nyingi sana.

Ingawa huu ni uzembe mwingine wa board,kama tungefanya mapema,hela isingezidi £70

Anyway mimi ni naani nilalamike hela,nachotaka good players,perfomance and good results.
 
Sio hela nyingi,infact ni £84,ambayo kwa dunia ya sasa ni kawaida sana,ukiweka €100 inaonekana nyingi sana.

Ingawa huu ni uzembe mwingine wa board,kama tungefanya mapema,hela isingezidi £70

Anyway mimi ni naani nilalamike hela,nachotaka good players,perfomance and good results.

Tuhamie Kwa De Jong Na Gakpo Sasa Tufunge Usajili.
 
Antoni tangu mwezi wa pili huko ana tugoli sijui tutatu yet anaitwa straika anazidiwa na kiungo wa ajax kwa idadi ya magoli cs haaland ambaye juzi tu amejipigia tatu za chapchap
 
Utd arena katika ubora wake, hii ilikuwa ni 2019

Sichoki kusoma analysis zake
1661744476538.png


1661744539883.png
 
Antoni tangu mwezi wa pili huko ana tugoli sijui tutatu yet anaitwa straika anazidiwa na kiungo wa ajax kwa idadi ya magoli cs haaland ambaye juzi tu amejipigia tatu za chapchap
A forward is any player playing in an attacking position for the team, and a striker is a single player positioned nearest to the opposition goal
 
Back
Top Bottom