Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio hela nyingi,infact ni £84,ambayo kwa dunia ya sasa ni kawaida sana,ukiweka €100 inaonekana nyingi sana.

Ingawa huu ni uzembe mwingine wa board,kama tungefanya mapema,hela isingezidi £70

Anyway mimi ni naani nilalamike hela,nachotaka good players,perfomance and good results.

Tuhamie Kwa De Jong Na Gakpo Sasa Tufunge Usajili.
 
Antoni tangu mwezi wa pili huko ana tugoli sijui tutatu yet anaitwa straika anazidiwa na kiungo wa ajax kwa idadi ya magoli cs haaland ambaye juzi tu amejipigia tatu za chapchap
 
Utd arena katika ubora wake, hii ilikuwa ni 2019

Sichoki kusoma analysis zake
1661744476538.png


1661744539883.png
 
Antoni tangu mwezi wa pili huko ana tugoli sijui tutatu yet anaitwa straika anazidiwa na kiungo wa ajax kwa idadi ya magoli cs haaland ambaye juzi tu amejipigia tatu za chapchap
A forward is any player playing in an attacking position for the team, and a striker is a single player positioned nearest to the opposition goal
 
Back
Top Bottom