LONE_WOLF
Senior Member
- Nov 21, 2015
- 175
- 259
Aya Mke wetu Kipenzi.Sisi kama Southampton ligi ndyo tunaanza Leo![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya Mke wetu Kipenzi.Sisi kama Southampton ligi ndyo tunaanza Leo![]()
Ana chomoa na anashindaCity izi goli kwa palace hachomoi
City hii ligi kaishika, wapo kamili kila eneo. Goli 2 ni nyingi ila ndo kama hivyo wanapeta tu.City izi goli kwa palace hachomoi
Bruno anazingua kichizi..Bruno sasa hivi amekua ni zaidi ya mzigo kwenye timu, angetafutiwa hata litimu la mkopo aende akajinoe kwanza.
Tuna points 6 mna points 7 fala wewe. Leicester kawakimbiza huko mmebana mbupu muda wote wa mechi. Unaisema United wakati timu yako haina striker, kiungo tia maji tia maji tu.manjestaa nyie bado Ni takataka tu.