Kwa soko la wachezaji kwa sasa limebadilika saivi 70M hadi 100M is common kwa potential player (wale wanatarajiwa kuwa empowered) i.e: Nunez,Grealish et al.Huyu antony hata goli 10 eredivise hana afu ndo wakumnunua kwa zaidi ya 90m pounds kweli?
Sure thing,yaan kwa performance ya jana,itachochea sana ujio wa Anthony.Kwa akina Elanga bora tu pesa itokeView attachment 2337382
Left footed RW tumekosa kwa muda mrefu hii itampa Ten Hag options za kutosha kikosini.Sure thing,yaan kwa performance ya jana,itachochea sana ujio wa Anthony.
I am glad tumeperform vibaya kabla ya dirisha kufungwa na gaps zimeonekana.
That's not your money...that's UNITED'S money....wanajua zaidi yako wewe na mimi...Wewe chagua kuwa shabiki au haterHuyu antony hata goli 10 eredivise hana afu ndo wakumnunua kwa zaidi ya 90m pounds kweli?








#MUFC

Baba yake haaland kacheza city na anabifu na united maana kidogo mmvunje mguu enzi hizo ,automatic haaland asingeweza kuja united hata kwa £500million mezani .....!!Hivi kwanini hatukumfikiria Halaan, alikataa au ilikuwaje?
Duh dau limezidi hadi la haalandKimewakaaaaaa
Antony to Manchester United, here we go! Agreement in principle with Ajax, €100m fee. Contract until June 2027 with option until 2028. To be signed tomorrow.#MUFC
Contracts being prepared, it’s Eredivisie historical record fee — Antony will be in Manchester next week.
#FabrizioRomano
#GGMU![]()
United walisema wanahofia atakuja kunenepeana kama baba yake na hivyo kushindwa ku-deliverHivi kwanini hatukumfikiria Halaan, alikataa au ilikuwaje?

Mkuu kipi hujaona humu Duniani, maana hata serikali kuongeza mshahara ma Daktari mpaka waliandamana na sio kwamba hawakuwa na hela hapana walikuwa nazo sema kibri ko Glazer na wao mpaka BOOSTER mKuuDuh dau limezidi hadi la haaland
Mashabiki mda mwingine tuna mihemko watu wanataka glazer waondoke lakn mbona wana mwaga pesa ttz litakuwa kwenye scouting ya tim

Bas wawe wanaandaliwa sasa booster za kutosha 😀Mkuu kipi hujaona humu Duniani, maana hata serikali kuongeza mshahara ma Daktari mpaka waliandamana na sio kwamba hawakuwa na hela hapana walikuwa nazo sema kibri ko Glazer na wao mpaka BOOSTER mKuu![]()