Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa akina Elanga bora tu pesa itoke
Screenshot_20220828-145923_Twitter.jpg
 
Huyu antony hata goli 10 eredivise hana afu ndo wakumnunua kwa zaidi ya 90m pounds kweli?
Kwa soko la wachezaji kwa sasa limebadilika saivi 70M hadi 100M is common kwa potential player (wale wanatarajiwa kuwa empowered) i.e: Nunez,Grealish et al.

While miaka kumi iliyopita price za 70M-100M zilikua ni kwaajili ya wachezaji wanaodeliver direct i.e cr7,Bale..
 
Sure thing,yaan kwa performance ya jana,itachochea sana ujio wa Anthony.

I am glad tumeperform vibaya kabla ya dirisha kufungwa na gaps zimeonekana.
Left footed RW tumekosa kwa muda mrefu hii itampa Ten Hag options za kutosha kikosini.

Vipi kuhusu Centre Forward, Martial ameanza kuwa Pancha na hatma ya CR7 haieleweki au

RB Dalot bado hatabiriki na kiwango chake
 
Antony fresh,bado namba 9,sioni rashfod kutupeleka popote,martial ni injury prone,ronaldo tia maji....ndo maana nilielewa tulivomtaka anautovic.

Pia Dalot anahitaji competition,anapitika kirahisi sana,kama game ya jana Saints walikua wanashinda upande wake tu.
 
Kimewakaaaaaa

Antony to Manchester United, here we go! Agreement in principle with Ajax, €100m fee. Contract until June 2027 with option until 2028. To be signed tomorrow. #MUFC

Contracts being prepared, it’s Eredivisie historical record fee — Antony will be in Manchester next week.

#FabrizioRomano
#GGMU
 
Kimewakaaaaaa

Antony to Manchester United, here we go! Agreement in principle with Ajax, €100m fee. Contract until June 2027 with option until 2028. To be signed tomorrow. #MUFC

Contracts being prepared, it’s Eredivisie historical record fee — Antony will be in Manchester next week.

#FabrizioRomano
#GGMU
Duh dau limezidi hadi la haaland
Mashabiki mda mwingine tuna mihemko watu wanataka glazer waondoke lakn mbona wana mwaga pesa ttz litakuwa kwenye scouting ya tim
 
Duh dau limezidi hadi la haaland
Mashabiki mda mwingine tuna mihemko watu wanataka glazer waondoke lakn mbona wana mwaga pesa ttz litakuwa kwenye scouting ya tim
Mkuu kipi hujaona humu Duniani, maana hata serikali kuongeza mshahara ma Daktari mpaka waliandamana na sio kwamba hawakuwa na hela hapana walikuwa nazo sema kibri ko Glazer na wao mpaka BOOSTER mKuu
 
Back
Top Bottom