Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ameandika david ornstein

Manchester United confident of reaching an agreement with Ajax to sign Antony.

22yo Brazil international winger now main recruitment focus for #MUFC;

pursuit of PSV Eindhoven attacker Cody Gakpo believed to have cooled somewhat
Tier 1
Inasemeka tutachukua mmoja wapo

Dalili zinaonesha Antony yupo karibu zaidi kusajiliwa

Good move
 
Hiiz ndio club kubwa duniani ,nioneshe man UTD au arsenal nikuoneshe mbwa anayetaga
championsleague-20220825-0001.jpg
 
Hamna noma ila mwaka huu man u Europe league yetu pamoja na epl

Niny wengine nendeni mkashiriki hiyo uefa bana
 
Akiwa wa kawaida huko sio gurantee ataendelea kuwa wa kawaida kwetu.

Kama kocha anamtaka, manake anataka amtumie kwenye formation yake.
Akiwa wa kawaida huko sio gurantee ataendelea kuwa wa kawaida kwetu.

Kama kocha anamtaka, manake anataka amtumie kwenye formation yake.
Gakpo ni wa kawaida kweli anafanana na elanga pia ni winga wa kushoto sema kwasababu miaka ya n 23 hivyo anaendelea kukua
 
Bado manchester haijawa sawa maana livakuku haiko fom na ina mapungufu sehemu ya katikati ambako keita au tiago wange fit in majeruh pia kuto kuwepo kwa konate au matip kuli week defensive isitoshe tume shinda lakin mechi kwa ujumla tumezidiwa kiasi kikubwa kasoro magori sisi tulicheza kwa kuvizia ndio maana tukapata nafasi zile lakin kwa timu ndogo hatuwezi kuvizia maana nao wanasubili watuvizie (poccession liva 71 man 29 shoot liva17 man 13 coner 8liva man 6 )lakin imeonyesha mwanga ila itakua shrong ikikamilisa antony,dejong, na right back

Mtu yeyote alieangalia game vs liver anapata majibu

Man u ya fagasoni imerudi kabisa
 
Back
Top Bottom