Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu pendwa Dunian sasa ndyo tumeanza ligi GGMU forever huyu casemiro ana assist akiwa bench
NB: cheltako arsenyeto laana fc city msilete timu uwanjani huyu sacho balloon dor yake
Nilikuwa nakuheshimu sana kumbe kichwani mwako empty kabisa
 
Ameandika david ornstein

Manchester United confident of reaching an agreement with Ajax to sign Antony.

22yo Brazil international winger now main recruitment focus for #MUFC;

pursuit of PSV Eindhoven attacker Cody Gakpo believed to have cooled somewhat
Tier 1
Inasemeka tutachukua mmoja wapo

Dalili zinaonesha Antony yupo karibu zaidi kusajiliwa

Good move
 
Hiiz ndio club kubwa duniani ,nioneshe man UTD au arsenal nikuoneshe mbwa anayetaga
championsleague-20220825-0001.jpg
 
Hamna noma ila mwaka huu man u Europe league yetu pamoja na epl

Niny wengine nendeni mkashiriki hiyo uefa bana
 
Akiwa wa kawaida huko sio gurantee ataendelea kuwa wa kawaida kwetu.

Kama kocha anamtaka, manake anataka amtumie kwenye formation yake.
Akiwa wa kawaida huko sio gurantee ataendelea kuwa wa kawaida kwetu.

Kama kocha anamtaka, manake anataka amtumie kwenye formation yake.
Gakpo ni wa kawaida kweli anafanana na elanga pia ni winga wa kushoto sema kwasababu miaka ya n 23 hivyo anaendelea kukua
 
Back
Top Bottom