kitasa..mvunja kuni mkata shombo magwaya hayupo tutatoboa kwel[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mmmh...
Elanga
McTominay
Acha tuone..
Casemiro aje tu.
We unataka nani apangwe magwaya au Fred maana sio makosa wamepewa nafasi alafu wanazingua
Naamini EtH ndio kocha na anawajua wachezaji wake kuliko mimi ila nadhani ana tatizo kwenye upangaji wake wa timu.
Acha nisubiri apatiwe wachezaji anaowataka nione vituko.
Kwahiyo anajiona kapatia mwenyewe kumuweka Eriksen kama CM wakati wenye nafasi zao wapo.
Naamini EtH ndio kocha na anawajua wachezaji wake kuliko mimi ila nadhani ana tatizo kwenye upangaji wake wa timu.
Acha nisubiri apatiwe wachezaji anaowataka nione vituko.
mkuu mungu anakuonaHaya na nyie kuleni upepo kidogo![emoji38]
View attachment 2331276
Mkuu nisaidie linkMmmh...
Elanga
McTominay
Acha tuone..
Casemiro aje tu.
[emoji120][emoji120][emoji120]Link za mechi hizi hapa, chagua kulingana na quality unayotaka SD / HD pia kulingana na kifurushi chako.
MANCHESTER UNITED VS LIVERPOOL Live Streaming - TOTALSPORTEK.COM
Watch Manchester United Vs Liverpool match live streaming today on 2022-08-22 starting at 19:00 UK TIME. Live stream thread available 30 minutes before kickoff with 100+ working links.livestreams.totalsportek.com
Ni Peter Kenyon mwaka 2003. Roman Abramovich alipoinunua tu Chelsea mwaka 2003 mtu wa kwanza kumpa kazi alikuwa ni huyu jamaa alimvua kutoka kwetu.Hata Chelsea iliponunuliwa na Roman Abromovic alimchukua mtendaji mkuu David Dein kutoka Man u, ila man u tunamatajiri vilaza sana