Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Diogo Dalot amepewa kisu ameambiwa leo jukumu lake ni moja tu la kumenya Kiazi.
Bruno ni katika kirusi ambacho mashabiki hawakizungumzii sana ila anaigharimu timu kwa kiwango kikubwa, anapoteza mipira sana na kujiangusha hovyo, inatakiwa atafutiwa hata timu ya mkopo aende akajinoe tena kama itashindikana kuuzwa.
 
Back
Top Bottom