Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

-Ni kweli manchester united imekuwa dhaifu takribani miaka kumi

mzizi wa tatizo upo kwa wamiliki ...but how!?

Timu inaendeshwa kizamani imeshindwa kubadirika na mazingira

bodi imeshindwa kuajiri sport director makini kwa kipindi kirefu
-ni ngumu kupata wachezaji sahihi kwakuwa usajiri unafanyika bila mipango maalumu..kuna mda malegend wa timu wanahusika kutoa maoni yao juu ya usajiri hii nayo mbaya sana ,kama mna kumbukumbu usajiri wa Daniel james ulishinikizwa na Legend wetu Ryan Gigs mwisho wa siku akatimkia leeds

unaposajiri bila uwepo sport director madhara yake ni makubwa sana

Wachezaji wengi wapo man united kimakosa ,lakini kosa kubwa linakuwa kwa bodi...

kila anapoajiriwa kocha mpya anapewa mamlaka hafifu (limited authority)..

Jose mourinho alitoa mapendekezo shaw na martial wauzwe bodi ikapinga

Ragnick kama mshauri wa timu alitoa mapendekezo wachezaji wanaotakiwa kusajiriwa na kutemwa bodi ikapinga pia!! mwisho wa sku wakamfuta na kazi !!

-Erick ten haag amepewa nguvu lakini hajapewa fedha za kutosha

just imagine man city ametwaa EPL lakini ameboresha kikosi eneo la kiungo na eneo la ushambuliaji

just imagine Real madrid imetwaa UEFA lakini imefanya usajiri wa hela ndefu kwa mchezaji mmoja na walikuwa tayari kumnunua mbappe kwa dau kubwa !!


man united inamaliza msimu nafasi ya 2 bajeti ya usajiri ni €200m

man united inamaliza msimu nafasi ya 6 bajeti ni €200m

bodi yetu ina makando mengi siwezi kumaliza kwa kuandika labda nirekodi voice note ya miaka miwili !

Reminder
liverpool ilikuwa na ukame kwa miaka 31 bila kombe la EPL

Klopp kabla ya kupata mafanikio alipitia changamoto kadhaa

alifika fainal mbili ,alipoteza fainal dhidi ya sevilla (ueropa) alipoteza dhidi ya madrid (uefa)

pep guardiola
msimu wake kwanza ulikuwa changamoto kwake kiasi kwamba mashabiki wa man city walisusa kuhudhuria mechi

kujenga timu kunahitaji mda na ushirikiano wa mabosi

GGMU
IMG-20220814-WA0427.jpg
 
Man u mna madogo wazuri Sana hamjui TU, wale madogo kina Iqbar ,gadner , Wana uwezo kuliko mac tominay, ila tatizo Kocha wenu muoga

Man u Ni moja ya timu yenye academy nzuri ulaya , ila makocha wenu wapo under pressure

Fanyen maamuz magumu ,mpigen chin Degea , pale Kati yule Zidane Iqbar , Kuna dogo Mwingine nilimuona preseason Wana uwezo sana ,shida hawaaminiwi

Kocha ajivike mabomu awape nafasi ,ndipo wataibuka na wakuwasaidia

Arsenal tulikuwa tunaamini Willian ,Pepe, Auba, Lacazette, ozil watatusaidia

Kocha akajivika mabomu ,piga chini ozil, auba ,willian ,Pepe, Akawapa nafas Smith Rowe ,saka kwa Pepe, Martinell , bila kusikiliza makelele ya watu , wakaanza kumsikiliza anachowaambia

Ten hagg anasema amewaambia wakawajibike wameenda kufanya wanachojua wao .

Ninachoona Ten hagg ajilipue mabomu tu ,
 
Aya kila mtu aseme mechi tano zijazo mtatoka na points ngapi?

Wazee wa nyumbu wakicheza dunia nzima ni Furaha, tumalize hili zoez dogo tu

Binafsi naona 1 point au mnatoka kapa
Screenshot_20220815-083922.jpg
 
Back
Top Bottom