😂😂😂😂Aya kila mtu aseme mechi tano zijazo mtatoka na points ngapi?
Wazee wa nyumbu wakicheza dunia nzima ni Furaha, tumalize hili zoez dogo tu
Binafsi naona 1 point au mnatoka kapaView attachment 2324146
Imekula kwaoAya kila mtu aseme mechi tano zijazo mtatoka na points ngapi?
Wazee wa nyumbu wakicheza dunia nzima ni Furaha, tumalize hili zoez dogo tu
Binafsi naona 1 point au mnatoka kapaView attachment 2324146
Basi jamani tumekoma.Neo maema wa Mamelody ni bora kuliko Eriksen na Bruno combinedView attachment 2324270
Yani hiki mumeona ndio kichaka chenu kwa sasa, sio?Poor yunaitedi. Next Monday tena kichapo. Mtahama duniani muungane na mashetani wenzenu kuzimu.
22nd August mko na LiverpoolYani hiki mumeona ndio kichaka chenu kwa sasa, sio?
Yani kila mwenye kuumwa mavi anakuja kunya huku, sio?
Lakini mujue ligi bado mbichi hii, musije mukatoka nduki.
Liverpool ndo anaenda kutupa uhai sasa.22nd August mko na Liverpool
Alikua anachelewa nini sasa?Kocha ashamchoka huyu kirusiView attachment 2324311
Mmmh mpaka nimeogopa.Aya kila mtu aseme mechi tano zijazo mtatoka na points ngapi?
Wazee wa nyumbu wakicheza dunia nzima ni Furaha, tumalize hili zoez dogo tu
Binafsi naona 1 point au mnatoka kapaView attachment 2324146
Hakuna mchezaji au kipa yeyote yule anayependa kuchoma mahindi. Dogo baada ya kuona hapati namba akaona bora aende kwa mkopo ili kuokoa kipaji chake.Dean Henderson mbona ni kipa mzuri tu, kwann mlimtoa kwa mkopo?
Ronaldo ndio asepeBaadhi ya wachezaji wenzake na Cristiano Ronaldo wanatamani aondoke maana wanaamini itabadilisha mudi ya timu. [ @samuelluckhurst ] #MUFC
Nakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,Liverpool ndo anaenda kutupa uhai sasa.
Shida ni mashambulizi ya Liver dhidi ya beki za Man u hapo ndo tatizo linaanziaNakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,
Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,
Hiyo mech Liverpool anakufa au sare