-Ni kweli manchester united imekuwa dhaifu takribani miaka kumi
mzizi wa tatizo upo kwa wamiliki ...but how!?
Timu inaendeshwa kizamani imeshindwa kubadirika na mazingira

bodi imeshindwa kuajiri sport director makini kwa kipindi kirefu
-ni ngumu kupata wachezaji sahihi kwakuwa usajiri unafanyika bila mipango maalumu..kuna mda malegend wa timu wanahusika kutoa maoni yao juu ya usajiri

hii nayo mbaya sana ,kama mna kumbukumbu usajiri wa Daniel james ulishinikizwa na Legend wetu Ryan Gigs mwisho wa siku akatimkia leeds

unaposajiri bila uwepo sport director madhara yake ni makubwa sana
Wachezaji wengi wapo man united kimakosa ,lakini kosa kubwa linakuwa kwa bodi...
kila anapoajiriwa kocha mpya anapewa mamlaka hafifu (limited authority)..
Jose mourinho alitoa mapendekezo shaw na martial wauzwe bodi ikapinga
Ragnick kama mshauri wa timu alitoa mapendekezo wachezaji wanaotakiwa kusajiriwa na kutemwa bodi ikapinga pia!! mwisho wa sku wakamfuta na kazi !!
-Erick ten haag amepewa nguvu lakini hajapewa fedha za kutosha
just imagine man city ametwaa EPL lakini ameboresha kikosi eneo la kiungo na eneo la ushambuliaji
just imagine Real madrid imetwaa UEFA lakini imefanya usajiri wa hela ndefu kwa mchezaji mmoja na walikuwa tayari kumnunua mbappe kwa dau kubwa !!

man united inamaliza msimu nafasi ya 2 bajeti ya usajiri ni €200m
man united inamaliza msimu nafasi ya 6 bajeti ni €200m
bodi yetu ina makando mengi siwezi kumaliza kwa kuandika labda nirekodi voice note ya miaka miwili !


Reminder


liverpool ilikuwa na ukame kwa miaka 31 bila kombe la EPL
Klopp kabla ya kupata mafanikio alipitia changamoto kadhaa
alifika fainal mbili ,alipoteza fainal dhidi ya sevilla (ueropa) alipoteza dhidi ya madrid (uefa)
pep guardiola
msimu wake kwanza ulikuwa changamoto kwake kiasi kwamba mashabiki wa man city walisusa kuhudhuria mechi
kujenga timu kunahitaji mda na ushirikiano wa mabosi
GGMU