Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lingard anazomewa bana na mashabiki wa West Ham
Screenshot_20220814-162959.jpg


Kama niliongea herndeson ni Bora sijui kwann wamempeleka Kwa mkopo
 
Kama huyo Laird sijui anakosaje namba aisee. Baily mtu wa kazi hakuna ubishoo.

Hicho kikosi ni sub 3 tu ila hizo beki dk 90 zinatoboa. Kikosi tunacho basi tu makocha wanakariri sijui wanapangiwa kikosi.

Yani ni kitu basic tu kocha kutambua hawezi kufika mahali na wakina Maguire, Shaw, Dalot, Fred, McTominay, Rashford, De Gea wanapoanza kikosi cha kwanza.
Mazoezini huwa unaenda mkuu?
 
Angalieni mpira wa kisasa na WA kibingwa unaochezwa na Chelsea bingwa wa Dunia kule darajani mjifariji nafasini mwenu
 
Anazomewa sababu alikataa kujiunga na Westham akaenda jiunga na Forest kwa sababu ya pesa, mbaya zaidi katoa assist ya goli.
Okay japo namuona kaisha Sana Hana speed ileee.


Enda
Jamani Leo nimependa fight ya tuchel na conte.

Imemaliza machungu yangu ya Mimi man utd dam dam. Nataka kocha awe mkorofi inaweza ikasaidia. Namuombea Eric ten hag awe mkorofi
 
Okay japo namuona kaisha Sana Hana speed ileee.


Enda
Jamani Leo nimependa fight ya tuchel na conte.

Imemaliza machungu yangu ya Mimi man utd dam dam. Nataka kocha awe mkorofi inaweza ikasaidia. Namuombea Eric ten hag awe mkorofi
Kwa kikosi gani huyo kocha wenu awe mkorofi?!😆😆 nyie mnachekesha kweli aisee!

Unaanzisha ugomvi kama una wanaume kweli uwanjani, sio ule utumbo wenu.. alaaah!
 
Back
Top Bottom