Newzealand360
Member
- Aug 10, 2022
- 88
- 122
Lingard anazomewa bana na mashabiki wa West Ham
Kama niliongea herndeson ni Bora sijui kwann wamempeleka Kwa mkopo
Kama niliongea herndeson ni Bora sijui kwann wamempeleka Kwa mkopo
Kadaka penalty.
Lingard anazomewa bana na mashabiki wa West HamView attachment 2323668
Kama niliongea herndeson ni Bora sijui kwann wamempeleka Kwa mkopo
United ishakufa tayari ,jitu lenyewe linajiita shetani mwekundu ,ona hizo dharau zote kwa mwenyezi MunguDean Henderson mbona ni kipa mzuri tu, kwann mlimtoa kwa mkopo?






Kama mazuzu vile..hii move ya Henderson hata sikuielewa waliwazaje hawa watu..United kama mafala, sasa hivi wanatafuta kipa mwingine.![]()
Shida no kwamba jina De gea linatisha so kiuhalisia hata angebaki angekaa benchi maana watu wameshazoea de gea ndo numero unoKama mazuzu vile..hii move ya Henderson hata sikuielewa waliwazaje hawa watu..
Wahurumie hawa mkuu. Hata sisi last season tulipigwa 9 game 3 za mwanzo ila tulifufuka ingawa mwishoni tuliboronga tenaThanks for the memories
it's time to say goodbye TEN
Mazoezini huwa unaenda mkuu?Kama huyo Laird sijui anakosaje namba aisee. Baily mtu wa kazi hakuna ubishoo.
Hicho kikosi ni sub 3 tu ila hizo beki dk 90 zinatoboa. Kikosi tunacho basi tu makocha wanakariri sijui wanapangiwa kikosi.
Yani ni kitu basic tu kocha kutambua hawezi kufika mahali na wakina Maguire, Shaw, Dalot, Fred, McTominay, Rashford, De Gea wanapoanza kikosi cha kwanza.
Okay japo namuona kaisha Sana Hana speed ileee.Anazomewa sababu alikataa kujiunga na Westham akaenda jiunga na Forest kwa sababu ya pesa, mbaya zaidi katoa assist ya goli.
Kwa kikosi gani huyo kocha wenu awe mkorofi?!😆😆 nyie mnachekesha kweli aisee!Okay japo namuona kaisha Sana Hana speed ileee.
Enda
Jamani Leo nimependa fight ya tuchel na conte.
Imemaliza machungu yangu ya Mimi man utd dam dam. Nataka kocha awe mkorofi inaweza ikasaidia. Namuombea Eric ten hag awe mkorofi