FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,924
- 11,305
MagufuliKwahiyo na nyie mmeondokewa na watu muhimu, ni wapi hao?
MagufuliKwahiyo na nyie mmeondokewa na watu muhimu, ni wapi hao?
Wa 4 uyu unazani nani ataliweza sikio la kufa?Huyo cocha sijui atamfunga nani hapo epl kwa mpira wanaocheza Man U,yaani hapo itakuwa kipigo mpaka wamfukuze hapo sijaona mechi ya kushinda huyo hapo epl,
Anauwezo mdogo sana,watu walimpamba tu lakini uwezo hana kabisa huyo epl haiwezi.
Mimi kwa mtazamo Wangu huyo kwa nanmna timu inavyocheza hawezi kushinda mechi yoyote hapo epl narudia tena hawezi kushinda mechi yoyote pale epl .
Kama huyo Laird sijui anakosaje namba aisee. Baily mtu wa kazi hakuna ubishoo.Afanye kama Arteta..mafaza wote walioletwa kimchongo mchongo na flops wote wawekwe benchi..madogo wapewe nafasi..
Heaton
Laird Bailly Varane Malacia
Zidane Savage Eriksen
Pellistri ×××× Garnacho
Ili akili zitukae sawa na Glazer na bodi nzima waelewe kwamba fagiafagia ndo kitu kinachohitajika maeneo yote..tuanze upya.
Mnashiriki ligi ili msishuke darajaHivi ni kweli glazer ndo tatizo pale united??
Mbona kama ni hela wamemwaga sana.
Wote hawa tumenunua kwa bei za kutisha.
Maguire
Pogba
Sancho
Shaw
Martinez
Mbona kama ni hela maboss wame mwaga sana pale united maana kazi ya maboss ni kumwaga hela kwa kumwaga hela sisi ni wa pili pale EPL nyuma ya city.
Mimi sioni kama maboss wana tatizo kwenye swala la kumwaga mpunga wametoa hela nyingi sana mpaka tulivunja record ya dunia kwa pogba lakini amna kinacho change.
Tatizo la United linaweza kuwa kubwa kuliko tunavyoona.
Kwaiyo tujiandae tu ndugu zangu ushabiki ni kupenda kitu hata na kwenye shida sio raha tu.
Tukubali tu saizi tumekuwa kama Everton tu tunashiriki ligi ili tufuzu Uefa tu.
Hiv anashindwaje kutumia japo Hawa ulioweka hapo??Afanye kama Arteta..mafaza wote walioletwa kimchongo mchongo na flops wote wawekwe benchi..madogo wapewe nafasi..
Heaton
Laird Bailly Varane Malacia
Zidane Savage Eriksen
Pellistri ×××× Garnacho
Ili akili zitukae sawa na Glazer na bodi nzima waelewe kwamba fagiafagia ndo kitu kinachohitajika maeneo yote..tuanze upya.
Wapinzani wote wana uhakika wa kupata points kwetu.Naamini hapa tunaweza ona kitu kinachojengwa.Afanye kama Arteta..mafaza wote walioletwa kimchongo mchongo na flops wote wawekwe benchi..madogo wapewe nafasi..
Heaton
Laird Bailly Varane Malacia
Zidane Savage Eriksen
Pellistri ×××× Garnacho
Ili akili zitukae sawa na Glazer na bodi nzima waelewe kwamba fagiafagia ndo kitu kinachohitajika maeneo yote..tuanze upya.
Itakua ni Clause za mkataba, madogo wamesain as Future first team player, squad rotation players, sporadic and important first team playersHiv anashindwaje kutumia japo Hawa ulioweka hapo??
Kwa hii ratiba ya United. Siion mechi rahisi hadi sasaWapinzani wote wana uhakika wa kupata points kwetu.
Huyu Kocha anajichimbia kaburi mwenyewe. Hadi kufika january aisee atakua ameota nywele vyema sana maana nina uhakika atasahau hata kwenda saloonView attachment 2323610
Nakumbuka Moja na squad iliyo pindua meza kati ya Man na PSG ni Hawa madogo mixer na first team.Itakua ni Clause za mkataba, madogo wamesain as Future first team player, squad rotation players, sporadic and important first team players
While makubwa jinga yamesaini as Crucial first team player it means watakua ndio wanaanza.
Mzee ajivike mabomu atawapa kisingizio kua hawana morale or hawapo onform.
Hope madogo hawawezi mwangusha hata kucheza soka safi inaweza saidia kumpa Ten Haag sababu ya Rebuild.
Piga benchi hao wote na mazoezini ahakikishe hao mafaza hawana kelele bali kazi kazi.
Tena sana, hata ile Fainal angeacha mchanganyiko wa madogo.Nakumbuka Moja na squad iliyo pindua meza kati ya Man na PSG ni Hawa madogo mixer na first team.
Nakuhakikishia Europa madogo watacheza poa sana trust me
Wa 4 uyu unazani nani ataliweza sikio la kufa?
Wakina Iqbal wanauwezo tuConte ndio alikuwa kiboko yao hapo maana yule anakuwa mkali kwa wachezaji mpaka kwa wamiliki wa timu hapendi ujinga.
Wamekosea sana kumleta huyo sio kila kocha anawezakufundisha epl hapo kwa moto hapo huyo mpole