Newzealand360
Member
- Aug 10, 2022
- 88
- 122
Hiv anashindwaje kutumia japo Hawa ulioweka hapo??Afanye kama Arteta..mafaza wote walioletwa kimchongo mchongo na flops wote wawekwe benchi..madogo wapewe nafasi..
Heaton
Laird Bailly Varane Malacia
Zidane Savage Eriksen
Pellistri ×××× Garnacho
Ili akili zitukae sawa na Glazer na bodi nzima waelewe kwamba fagiafagia ndo kitu kinachohitajika maeneo yote..tuanze upya.
Wapinzani wote wana uhakika wa kupata points kwetu.