



Ralph alisema tunahitaji wachezaji 7 hadi 10 ili team ikae sawa, watu mkaja na maswala ya historia. Hapo nyuma na kwenye kiungo hatuna watu.Hili litumu la kiseng.e


@ Alipipi how are u my brother?Rasmi nimehama kushabikia man u nahamia madrid




***** pakiti ya pili huko... I'm here bossMan u wanacheza na Dunia yote inafuraha@ Alipipi how are u my brother?

furaha ni pamoja na kuchapwa kama hivi.nimescreen shotKwa kumbukumbu ya vizazi vijavyo, huu ndo Msimamo wa ligi 2022: