Na dirisha bado halijafungwa waseme Sasa kwamba hatuhitaji kusajili ama lakuna watu wanatwambiaga sisi tumekata tamaa hatujui mpira timu inahitaji rebuilding na kocha hatujui anataka kucheza vipi ni mapema sana pia usaji wanasema unatosha ! bado hamkubali ? kama wale wanaongia uwanjani wenzao wanaandamana
Ligi ipi?? 😁😁😁😁😁😁😁Kabisa kabisa kocha aliamini anaweza kuna kauli zake mwanzoni niliona zitamcost kwamba kikosi bado ni kizuri sababu kilimaliza ligi nafasi ya 2 msimu uliopita
Tatizo kubwa ni katikati.. Bedford wanapita kama maji, Tena wanaficha eneo la Kati kana Kwamba hawakitumii lkn kiungonwao anagwan mipira kama hataki vile. Jmn nimekubali sisi ni wapuuziKabisa kabisa kocha aliamini anaweza kuna kauli zake mwanzoni niliona zitamcost kwamba kikosi bado ni kizuri sababu kilimaliza ligi nafasi ya 2 msimu uliopita