Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Penalty zilikuwa nyingi huyo bruno mnaemuongelea na msimu mzur wa sosha n penalt alikuwa anazipiga ndio zilimpa stat kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Brentford 1 Manchester united 3

Time:1:30
1660053927214.jpg
 
Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Brentford 1 Manchester united 3

Time:1:30View attachment 2322609
Nacheka lkn naogopa
 
Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Brentford 1 Manchester united 3

Time:1:30View attachment 2322609
Asubuhi ya leo nilikatiza kwenye viunga vya Mloganzila, kila ninaepishana nae anacheka, hata wale wangonjwa waliobebwa kwenye machela na wenyewe wanatabasamu ikabidi nimuulize daktari leo vipi mbona hii hali siielewi?
Dokta akanijibu kua kwa pale hospitali ni kawaida siku Manchester United itapokua inacheza watu wote hua na furaha, hata dawa za kupunguza maumivu siku hio hua hazitumiki sana.
Hapo ndio nikakumbuka ile kauli ya allypipi ya kwamba :-
"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha "
 
Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Brentford 1 Manchester united 3

Time:1:30View attachment 2322609
allypipi sikufichi Leo draw au mnachezea 2-0


Ivan Toney na mbuemo
 
Asubuhi ya leo nilikatiza kwenye viunga vya Mloganzila, kila ninaepishana nae anacheka, hata wale wangonjwa waliobebwa kwenye machela na wenyewe wanatabasamu ikabidi nimuulize daktari leo vipi mbona hii hali siielewi?
Dokta akanijibu kua kwa pale hospitali ni kawaida siku Manchester United itapokua inacheza watu wote hua na furaha, hata dawa za kupunguza maumivu siku hio hua hazitumiki sana.
Hapo ndio nikakumbuka ile kauli ya allypipi ya kwamba :-
"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha "
Leo Draw au Mnapigwa 2-0
 
munionee hurumaa jamani, ninewaamini kwenye kimkeka changu tafadhari.
UMELIWA

Ivan Toney has won more duels than any other player in the Premier League last season

25 games
219 duels won
111 aerial duels won

GW1 this season vs Leceister Toney won 9 duels

This man's physicality is something else

Today its him vs Martinez/Maguire
 
Erik ten Hag would like a goalkeeper that can genuinely challenge David de Gea and, if one becomes available, the sanctioned funds of £7m could go higher.
[lauriewhitwell]

----------------
Tuwe wavumilivu mpaka msimu ujao, sidhani kama Onana ataweza kumweka benchi Handanovic huko Inter Milan.

Hivyo msimu ujao tunaweza kumshawishi Kwa urahisi zaidi.
Mnisamehe lkn herndeson nilimuona bora zaid David
 
Mbolea sasa inanukia kuuzwa kwa Sir Jim Ratcliffe
The Glazer wameshindwa kazi kabisa na nadhani kuna shinikizo la chini kwa chini la kuiuza Man U
View attachment 2322904
Hana hela, amepoteza 2/3 ya utajiri wake ndani ya mwaka. Kifupi ngumu sana kuinunua UTD unless ziwe ni state money kama Man City ama kampuni kubwa.
 
Back
Top Bottom