Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Nyumbu kesho wakishinda mniite mbwa nimekaa pale 








bora huyu alieregea kuliko lile choko la scotlandYani mimi sioni kabisa rabiot kama hatatufaa kabisa yani kama jamaa kalegea hivi.
Penalty zilikuwa nyingi huyo bruno mnaemuongelea na msimu mzur wa sosha n penalt alikuwa anazipiga ndio zilimpa stat kubwaBruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.
Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili
Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.


Nacheka lkn naogopaAise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekachekayani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609



Mkishinda niite mbwaAise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekachekayani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609
Asubuhi ya leo nilikatiza kwenye viunga vya Mloganzila, kila ninaepishana nae anacheka, hata wale wangonjwa waliobebwa kwenye machela na wenyewe wanatabasamu ikabidi nimuulize daktari leo vipi mbona hii hali siielewi?Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekachekayani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609


"allypipi sikufichi Leo draw au mnachezea 2-0Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekachekayani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609
Leo Draw au Mnapigwa 2-0Asubuhi ya leo nilikatiza kwenye viunga vya Mloganzila, kila ninaepishana nae anacheka, hata wale wangonjwa waliobebwa kwenye machela na wenyewe wanatabasamu ikabidi nimuulize daktari leo vipi mbona hii hali siielewi?
Dokta akanijibu kua kwa pale hospitali ni kawaida siku Manchester United itapokua inacheza watu wote hua na furaha, hata dawa za kupunguza maumivu siku hio hua hazitumiki sana.
Hapo ndio nikakumbuka ile kauli ya allypipi ya kwamba :-
"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha"
UMELIWAmunionee hurumaa jamani, ninewaamini kwenye kimkeka changu tafadhari.
Mnisamehe lkn herndeson nilimuona bora zaid DavidErik ten Hag would like a goalkeeper that can genuinely challenge David de Gea and, if one becomes available, the sanctioned funds of £7m could go higher.
[lauriewhitwell]
----------------
Tuwe wavumilivu mpaka msimu ujao, sidhani kama Onana ataweza kumweka benchi Handanovic huko Inter Milan.
Hivyo msimu ujao tunaweza kumshawishi Kwa urahisi zaidi.
Wewe ni mkuu Putin hatuwezi kukuita mbwaNyumbu kesho wakishinda mniite mbwa nimekaa pale![]()
Hana hela, amepoteza 2/3 ya utajiri wake ndani ya mwaka. Kifupi ngumu sana kuinunua UTD unless ziwe ni state money kama Man City ama kampuni kubwa.Mbolea sasa inanukia kuuzwa kwa Sir Jim Ratcliffe
The Glazer wameshindwa kazi kabisa na nadhani kuna shinikizo la chini kwa chini la kuiuza Man U
View attachment 2322904