Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie nafasi yenu ni kuanzia tano huko...top four sahauni kabisa aisee
Asernal eee kweli kabisa.

Hii kitu ya de jong inanisononesha Sana. Waandish wa habari wanatabia ya kuelezea inner core ya Hali ilivyo japo inauma.
Hiki mitandaoni mara usome uridhike mara utiwe pressure, jaman Umri imeenda tutakufa!

Nakumbuka nilichukia sana alcantara huyu kiungo alitugomea mazima, nikaumia sana maskin Mimi, Luca modric alituchomolea kama Dem wa masaki, akaangukia Madrid na mafanikio Yao, maamae tukasota Hadi leo, huyu de jong naye anaongea yaani kama vile sisi hatujawahi kuingia champion. Anaongea hovyo kwamba the blue kwake ndiyyo kila kitu, atagombea Mataji. Jamani tuna kimavi Gani sisi,


Kwa Sasa Kuna mchezaji kama rabiot anaipenda timu yetu, vile vile kiungo savic anatupenda man utd. Sasa sie Kwa nn tuhangaike na mijitu haitupendi??
 
Daaah hii ni ile interior kabisa,
Asante jf hakuna ubaguzi
 
Huu ni upuuzii apewe mda gan kwamba n shamba la bibi kila mtu akija apewe muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah yani nashangaa fans wenzangu mnavyo lalamika yani hivi mlitegemea nini cha ajabu man u tutafanya msimu huu.

Yani kocha hata mechi 10 ajamaliza kelele mbona tulikubalia humu kuwa msimu huu tusitarajie makubwa mmekuwaje hivi.

Hivi mnajua mki panic mashabiki mna mpa kocha nae pressure ya kufanya nae a panic.

Mimi kama allypipi kwangu kwenda big 4 au kushinda ueropa naona ndo yatakuwa mafanikio makubwa kwetu msimu huu hakuna jipya.

Nakushauri tu kama una tegemea makubwa kutoka kwa Manchester united msimu huu bora uache kufatilia mpira tu Mpaka pale utaposikia mambo yapo sawa.

hata Ac milan wamekaa muda lakini wamevumilia msimu ulio kwisha wametwaa taji.

Inabidi tu tukubali kwamba kwa sasa hatuna uwezo huo wakujilinganisha na liver,city

Tuvumilie tu ndo timu yetu.
 
We kenge kumbe na wewe unajua ku foka
 
Wambie pia Liverpool alijiandaa miaka 30 mpaka kuja kuchukua ubingwa.
 
[emoji706]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Umemaliza kila kitu.

Mctominay sio Holding wakutegemea kabisa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…