Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,524
HUYU Kocha wenu atafeli MBELENI, project yake haieleweki inataka nnmnasema rebuilding inahitaji muda na kocha anataka wachezaji sahihi sa huu usajili wa marko aunotovic vipi
AgreedHUYU Kocha wenu atafeli MBELENI, project yake haieleweki inataka nn
Nadhan presha iliyopo man u Ni kubwa Sana nadhan kuliko timu zote EPL
Anataka short terms kwa faster ,hao wazee watamsaidia mech 2 au 3 ,
Atafute damu changa ,wazoeane , Kuna kina Sesko, Ivan Toney,
allypipi muache tu, mtu wa watu Hana matusi, atakuja kwenye nyuzi zetu. ,Atakukera ,ata like ataondokaKumbe we mzembe ni shabiki wa mwantesa united.
Usiwe unakuja kule darajani kutuletea ghasia zako.
Pambana na Hali Yako humu mzee kipipi
Hahaha sawa Chali angu nitajitaidi niandike vizuri.Munaliwa
Munashinda.
Acha kuongea kiree mtoto wa chuga. Unandika kama lisukuma lichafu la kolomije huko.
Sema Mnaliwa, Mnashinda. Pumbaaaaaf
We na Ronaldo wako unaboa sasa, mtu yupo kwenye kikosi na kaingizwa kipindi cha pili wakati timu ishafungwa goli mbili bila na bado unalaumu kwnn kaingia ulitaka asiingie ili awe analipwa mshahara wa bure? Punguza bias basi, kuna mda uwe rational bhn.sikuangalia mechi, lakini kwa mujibu wa statistics, hasa kwenye ball possession basi naona timu iko poa ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo ya jana cocha yuko responsible kwa kuwapanga Shaw na Sancho ambao hawakuwa fit for the match almost during the whole of last week.
He even made it worse kwa kumuingiza Ronaldo.
Maake hapo kwanza nchekeLeo asubuhi na mapema nimeamka zangu kwenda kufanya mazoezi navyozidi kutembea nikawa nasikia kama kelele hivi.
Jinsi navyozidi kusogea nazo zile sauti nazo zilikuwa zina zidi kuwa kubwa maskioni mwangu nikaanza kupata hofu kwamba kuna nini mapema yote hii hata akuja kucha vizuri watu wanalia
Nika bahatika kumuona mzee mmoja hivi analia sana yule mzee nikafika pale nikamuuliza mzee wangu pole kwanza, nataka nataka nijue unalia nini mzee wangu sikuamini jibu alilonipa yule mzee kwamba furahani kubwa pale mtahani mpaka watu wanalia kilio cha furaha.
Ooh ni ilo tu mzee sasa furaha ya nini iyo mzee wangu akanambia kijana we acha tu ile kitu inayo tupaga burudani kila wiki imeludi kwaiyo hapa tunalia vilio vya furaha kijana.
Bado sikukoshwa na lile jibu alilonipa nikamwambia mzee funguka basi Wat's wrong alicho ni jibu sasa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
prediction
Manchester united 2 Brighton 1
time:10:00 View attachment 2316667
Plan B ni Eriksen na ameshafika. Na kocha hawezi kuwa na pendekezo la mchezaji mmoja bodi ya United iliwachukua miezi minne kumsajili Harry Maguire, ikawachukua miezi mitatu kumsajili Wan Bissaka.Kama umenisoma vizuri,nimemlaumu kwakuwa inaonekana chaguo lake ni Frankie pekee na anaonekana hana plan B kama akimkosa Frankie.
Hayo matatizo mengine yanafahamika ni ya timu nzima.
Duh unaota wewe mdadasikuangalia mechi, lakini kwa mujibu wa statistics, hasa kwenye ball possession basi naona timu iko poa ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo ya jana cocha yuko responsible kwa kuwapanga Shaw na Sancho ambao hawakuwa fit for the match almost during the whole of last week.
He even made it worse kwa kumuingiza Ronaldo.
Man u shida yao kuu hawasajili wachezaji sahihiPlan B ni Eriksen na ameshafika. Na kocha hawezi kuwa na pendekezo la mchezaji mmoja bodi ya United iliwachukua miezi minne kumsajili Harry Maguire, ikawachukua miezi mitatu kumsajili Wan Bissaka.
Kwa hatua tuliyoifikia kwa sasa kama timu ni wazi kwamba tatizo letu siyo ubora wa makocha tena.
Hata Ole alikuwa kocha mzuri tu ila hakuwa na watu sahihi wa kufundisha.
Nafasi ya bruno angecheza nani?Hata kama tunahitaji kusajili ila mchezo wa jana tangu line up inatoka nliwaambia wadau kwenye group whatsapp kwamba kocha kashaua team balance ni ngumu sana kutoboa
Kulikua na haja gani ya kumuanzisha bruno kama winga? Kwanza hana sifa za winga,pili kiwango chake kiko chini
Poor team selection imetucost sana jana
Nimepoteza imani na Ten haag kabisa
Aaa! bhana huo ni ushabiki mandazi, we game mmoja tu hauna imani na kocha?😂😃.Hata kama tunahitaji kusajili ila mchezo wa jana tangu line up inatoka nliwaambia wadau kwenye group whatsapp kwamba kocha kashaua team balance ni ngumu sana kutoboa
Kulikua na haja gani ya kumuanzisha bruno kama winga? Kwanza hana sifa za winga,pili kiwango chake kiko chini
Poor team selection imetucost sana jana
Nimepoteza imani na Ten haag kabisa