Nilisemaga humu,watu wakawa wanaleta uchambuzi na viingereza vingi! Nilisisema gemu tano za mwanzo tukitoboa ndio tuseme tuna timu.
Haya mlete uchambuzi wenu sasa,tukisema hatuna timu muwe mnaelewa. Hii game tumepigwa old trafford mjue..
Sent using
Jamii Forums mobile app