Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Na timu haijawahi kuwekeza pesa kutafuta mtu kwenye eneo hilo zaidi ya Lukaku.Tangu aondoke Van Persie pale OT hatujawahi kupata 9 ya kueleweka.
Sikuona kama Lukaku alikuwa anafanikiwa Manchester United maana Lukaku hawezi kucheza timu zenye pressure kubwa.
Nafikiri kuibuka kwa Mason Greenwood kuliwaaminisha matajiri wa United kuwa huenda wamepata mtu wa kuitumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi ijayo.
Nimeona tetesi za Benjamin Sesko nikiri sijawahi kumuona Sesko ila kwangu naona heri tungempata Lautaro Martinez au Rafael Leao kama hatumuoni Schick kama jibu la eneo hilo.
