Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tangu aondoke Van Persie pale OT hatujawahi kupata 9 ya kueleweka.
Na timu haijawahi kuwekeza pesa kutafuta mtu kwenye eneo hilo zaidi ya Lukaku.

Sikuona kama Lukaku alikuwa anafanikiwa Manchester United maana Lukaku hawezi kucheza timu zenye pressure kubwa.

Nafikiri kuibuka kwa Mason Greenwood kuliwaaminisha matajiri wa United kuwa huenda wamepata mtu wa kuitumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi ijayo.

Nimeona tetesi za Benjamin Sesko nikiri sijawahi kumuona Sesko ila kwangu naona heri tungempata Lautaro Martinez au Rafael Leao kama hatumuoni Schick kama jibu la eneo hilo.
 
Jaman ndo kwaanza tuna mwezi mmoja na kocha mpya tunapanic hivyo,na wakat angalau after msimu mmoja ndo tuanze kuongea.

Tim bado inajengwa,na leo ni matokea tu ya friend mech,tuvute subira,tuna kocha mzuri tu.
 
Tukutane Oslo saa saba mchana.. simeoni leo hata akipaki treni atakula za kutosha
Utabiri... man 4 atletico 1.

Pole sana. Expected Man U win over 3.5

Reality Atlentico won the match.

Note: don’t expect more from man u, u will die b4 ur day
 
Khaa! Kweli uchawi upo hadi ulaya.tumepiga kofuli asiondoke
Screenshot_20220730-184244_Facebook.jpg
 
mkitaka kuamini tuna wachezaji wa hovyo angalia perfomance ya wachezaji wapya eriksen na malacia kisha waliobaki ukitoa fred ndo mana wengine tunasema bado usajili haujatosha yale matakataka ndo mana Ralf alisema waje 10 wapya
 
Kwahiyo tunaanza msimu mpya tukiwategemea akina Rashid, Elanga na Martial kama striking players wetu?

Kiungo macho tunakikabidhi kwa Tominay na Fred(ingawa leo kacheza vizuri), tupo serious kweli?

Hehehe, kazi ipo.

Usajili wa Malacia mpaka sasa unaonekana kuleta matumaini, bado sijamuona vizuri Martinez.
 
mkitaka kuamini tuna wachezaji wa hovyo angalia perfomance ya wachezaji wapya eriksen na malacia kisha waliobaki ukitoa fred ndo mana wengine tunasema bado usajili haujatosha yale matakataka ndo mana Ralf alisema waje 10 wapya
Lakini wapumbavu wachache wakajaribu kutupa mzigo wa team mbovu kwa mtu mmoja (ronaldo), wakati haiihitaji akili nyingi kujua kuwa tuna magarasa yamejaa hapo, tena ambayo hatuwezi kuyauza popote.

Ukiwatoa De gea, Malacia, Ronaldo, Eriksen, Martinez hapo Man U tuna wachezaji gani wa maana?? (Fred ni mzuri ila hana consistency).
 
Manchester united. Vs Atletico Madrid ,

Imenikatisha tamaa Sana. ETH anawakati mgumu Sana kuijenga timu.

The likes of Rashford, Maguire, dalot, Marshal na Fernandez Wana performance ya kiduanzi Sana. Wakati mwingine wanawapa kazi kubwa wenzao.
 
Lakini wapumbavu wachache wakajaribu kutupa mzigo wa team mbovu kwa mtu mmoja (ronaldo), wakati haiihitaji akili nyingi kujua kuwa tuna magarasa yamejaa hapo, tena ambayo hatuwezi kuyauza popote.

Ukiwatoa De gea, Malacia, Ronaldo, Eriksen, Martinez hapo Man U tuna wachezaji gani wa maana?? (Fred ni mzuri ila hana consistency).
Mbona hao nao tunawaongelea, tushasema mara nyingi ili man u urudi tunahitaji kuondoa ufaza na ubishoo, Ronaldo kubwa la mafaza hasara tupu.

Alafu boss kubali Ronaldo tuliyenaye sio yule wa United ya Fergie wala Madrid
 
Back
Top Bottom