Tukutane Oslo saa saba mchana.. simeoni leo hata akipaki treni atakula za kutosha
Utabiri... man 4 atletico 1.


Gundu lilianzia hapa hii team lenu limelaaniwaKhaa! Kweli uchawi upo hadi ulaya.tumepiga kofuli asiondokeView attachment 2309034
.Lakini wapumbavu wachache wakajaribu kutupa mzigo wa team mbovu kwa mtu mmoja (ronaldo), wakati haiihitaji akili nyingi kujua kuwa tuna magarasa yamejaa hapo, tena ambayo hatuwezi kuyauza popote.mkitaka kuamini tuna wachezaji wa hovyo angalia perfomance ya wachezaji wapya eriksen na malacia kisha waliobaki ukitoa fred ndo mana wengine tunasema bado usajili haujatosha yale matakataka ndo mana Ralf alisema waje 10 wapya
Upo sahihi kabisa ,Mpira wa Leo wa city na Liver ni too normal AK basic. Natumaini ligi ikianza hawatacheza vile. Kulikuwa na kupwaya sana kwenye difense. Hasa city
Mbona hao nao tunawaongelea, tushasema mara nyingi ili man u urudi tunahitaji kuondoa ufaza na ubishoo, Ronaldo kubwa la mafaza hasara tupu.Lakini wapumbavu wachache wakajaribu kutupa mzigo wa team mbovu kwa mtu mmoja (ronaldo), wakati haiihitaji akili nyingi kujua kuwa tuna magarasa yamejaa hapo, tena ambayo hatuwezi kuyauza popote.
Ukiwatoa De gea, Malacia, Ronaldo, Eriksen, Martinez hapo Man U tuna wachezaji gani wa maana?? (Fred ni mzuri ila hana consistency).
hivi Ten hag anaelewa upuuzi ulio kichwani mwa huyu jamaa?Khaa! Kweli uchawi upo hadi ulaya.tumepiga kofuli asiondokeView attachment 2309034
Kutoa mawazo kwa kuanza kutukana au kukashfu wengine ni utoto.Lakini wapumbavu wachache wakajaribu kutupa mzigo wa team mbovu kwa mtu mmoja (ronaldo), wakati haiihitaji akili nyingi kujua kuwa tuna magarasa yamejaa hapo, tena ambayo hatuwezi kuyauza popote.
Ukiwatoa De gea, Malacia, Ronaldo, Eriksen, Martinez hapo Man U tuna wachezaji gani wa maana?? (Fred ni mzuri ila hana consistency).
Ngoja tuone next week mambo yanaanza...hivi Ten hag anaelewa upuuzi ulio kichwani mwa huyu jamaa?