Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Huyu Felix ameshatuzoea sasa
Hahaha no way, ni kuwa Bruno toka Ronaldo aje hajatulia yupo kutafuta influence aliyoipoteza ndio maana anaharibu haribu.Tupeni Bruno tuwape Mashine ya kazi Ross Barkley
martial,rashford,elanga na Mctominay wote miyayushoHuyu Dogo Malacia naona anautumia upande wake vyema zile Pass ndefu ndefu penetration nimezipenda, zimesaidia kujua kua Tusipo sajiri sura mpya mbele (Forward) hatufiki popote Martial ubishoo tele, Trashford hasara tupu kila kitu anataka kupiga na hana accuracy, Ronaldo ndio hivyo katukera kwa kujiona yeye ndie mkubwa kuliko Timu.
Forward isajiliwe haraka tunahitaji Sura mpya ya Kazi na Uchu, hawa madogo wametosheka sana.
Man united inafeli kutokana na ubishoo wa wachezaji, kujiangusha hovyo na kupenda kulalamika kwa refa ndio kitu inayonifanya nisimkubali kiviiile Bruno Fernandez, na huu upuuzi tayari ameshawaambukiza wachezaji wengi wa United.Kuna jambo moja linaniudhi sana unakuta Foul ya kawaida tu ila mtu anavyogalagala utafkr kakatwa mguu mbaya zaidi unakuta mpira ulikua ushafika lango la adui So unaamua kusimama...ivi awa wanaangaliaga game za Bundasliga hasa za bayern??
Jambo linalofanya bayern kumchukua mane nahisi moja ya sababu ni majeruhi yaani mpaka uje umuone mane injury ujue kaumia aswaa tena kaumia pakubwa tu ndo sasa wale kina Sengbe kwenye game zao unaweza kuona mtu kamkata rafu ila majamaa yanasonga tu...sasa ndomaana wakamvuta na mane kwenye fainali UCL kuna kiatu alipigwa na Carvajal nkasema uyu hanyanyuki ila mwamba akanyanyuka akaendelea kusakata kama kawa bayern inapenda sana wachezaji dizaini hii..
ila uku kina rashford,Elanga ukimgusa kidgo tu analala kusubiri atengewe foul Tabia inakera sana hii
Dogo ni fundi sana anajua kutumia vizuri nafasi.Huyu Felix ameshatuzoea sasa
Dunia kwasasa haina CFnaona kichapo ni cha muhimu kuliko tungeshinda tungejiona tunaingia kwenye ligi tupo bora kumbe amna kitu.
Nilichokiona mbele kwenye ufungaji bado tuna legalega nadhani imetukosti kufatana na sancho kukosekana pale mbele.
Ila bado wakuu tunaitaji sana strike pale mbele.
Huo Ubishoo ndo unaponza kwakweli Fred,MCtomminay na hata Cr7 wajitafakari hasira zao wasubiri mpira uishe Fred kakanyaga mtu vbaya sana na Red card juu...Felix analijua goli vizuri achana na foward zetu zinavyofeli pamoja na yote ERICKSEN ni MASHINE acha ETH azibe Ufa kesho kikosi kinabadilika pakubwa ngoja tuone itavyokua....Man united inafeli kutokana na ubishoo wa wachezaji, kujiangungusha hovyohovyo na kupenda kulalamika kwa refa ndio kitu inayonifanya nisimkubali kiviiile Bruno Fernandez, na huu upuuzi tayari ameshawaambukiza wachezaji wengi wa United.
Timu imejaa umama sana na kupenda kudekezwa hovyo.
Ok ok alright alrightSiku ya furaha ni leo,Siku ya ku enjoy ni leo, ni leo, ndugu yangu furahi hata mimi na furahisiku ya kuponywa roho zetu imefika.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha.
Prediction
Manchester united 2 atletico Madrid 1
View attachment 2308488
Na timu haijawahi kuwekeza pesa kutafuta mtu kwenye eneo hilo zaidi ya Lukaku.Tangu aondoke Van Persie pale OT hatujawahi kupata 9 ya kueleweka.
Ronaldo akiondoka wachezaji wengi sana wataimprove kikosi chetu ni kama wachezaji wengi wanasumbuliwa na ugonjwa ambao uliwatesa Argentina wakati Messi akiwa kwenye ubora wake.Hahaha no way, ni kuwa Bruno toka Ronaldo aje hajatulia yupo kutafuta influence aliyoipoteza ndio maana anaharibu haribu.