Idrisa1510
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 272
- 418
SANCHO mbona simuoni
wanangu hamna kikosi
Mgonjwa mkuuSANCHO mbona simuoni
Tuna kikosi kipana sana hafu kesho tuna game nyingine OT kwaiyo kocha anataka kila mchezaji acheze kwa muda mrefu ili tuwe fit kuwavaa Brighton jumapili.wanangu hamna kikosi
Wenye akili watakau wamenielewa
Mwenye link ya game United tafadhali
Forward hamna kitu kwa timu zenye ulinzi licha ya kupewa penetration passes hawajaconverts chanceKipindi cha kwanza kimeisha 0-0
Ila dakika 45 za kwanza mpira tuliocheza ni kama tupo Carrington kwenye mazoezi, tusubiri kipindi cha pili tuone itakuaje ila kiukweli mechi haivutii kabisa.
Mbele hamna kitu kabisaaa foward zetu ubishoo mwingi sana, bila ya kusajili striker anaejielewa basi tuhesabie maumivu ligi ikianza.Forward hamna kitu kwa timu zenye ulinzi licha ya kupewa penetration passes hawajaconverts chance
Huwaga simpendi McTomminay kwa mafaulo yake na ubabe ubabe inatuweka hatari kulimwa red cardsHapa viliumana uhuni wa MCtominay siuelewag kabsaa ELANGA nae akiguswa kidogo anajirusha mita 150 ili apewe foul....Fred nae kaanza miyeyusho...Rashidi kidgo anaupiga mwingi,Martial uyu kiumbe kapewa nini?anapiga vzur sema anakosa ukatili mbele ya goli tu...Captain Maguire nyiee ni balaa leo...bruno kashalishwa bangi haelewi ata anachocheza ...naona Martinez,Eriksen wanaingia 2HALF ngoja tuone ila hii ni yetu kabsaa
HT 0-0View attachment 2308829
McTomminay hua nnamkubali kwa mashuti yake tu ya nje ya box.Huwaga simpendi McTomminay kwa mafaulo yake na ubabe ubabe inatuweka hatari kulimwa red cards
Ivi huyo dogo hawezi focus kutoa mchango wa magoli kama aliyokua anatungua kipindi cha ole, like Leeds vs Man U, Man City vs Man U.
Mechi ile ya Leeds alionesha kazi nzuri ila now utafikiri amepotea.
Bruno asee! Dah sijui kawaje. Hao watu wanahitaji challenge kweli kweli.
Bruno
Martial
Trashford
Maguire
De gea
Wanahitaji kujua kuwa majukumu yao yanatelekezwaje, ngoja tuone Ericksen anaoffer kipi?
wameregea wamekutana na wanaume hapa kazi haijaanzaKuna jambo moja linaniudhi sana unakuta Foul ya kawaida tu ila mtu anavyogalagala utafkr kakatwa mguu mbaya zaidi unakuta mpira ulikua ushafika lango la adui So unaamua kusimama...ivi awa wanaangaliaga game za Bundasliga hasa za bayern??
Jambo linalofanya bayern kumchukua mane nahisi moja ya sababu ni majeruhi yaani mpaka uje umuone mane injury ujue kaumia aswaa tena kaumia pakubwa tu ndo sasa wale kina Sengbe kwenye game zao unaweza kuona mtu kamkata rafu ila majamaa yanasonga tu...sasa ndomaana wakamvuta na mane kwenye fainali UCL kuna kiatu alipigwa na Carvajal nkasema uyu hanyanyuki ila mwamba akanyanyuka akaendelea kusakata kama kawa bayern inapenda sana wachezaji dizaini hii..
ila uku kina rashford,Elanga ukimgusa kidgo tu analala kusubiri atengewe foul Tabia inakera sana hii