Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Karibu sana mwamba Benjamin Sesko... ujio wako lazima vibeki uchwara vipate mhaho...
 
Huyu director mf, ashow off Likitambi la nerd watu tucheke
IMG_20220729_185858_838.JPG
 
Cr7 anadhani ataendelea kucheza ucl mpka lin
Huyu anazeeka vibaya hataki kukubaliana na muda
 
Timu ipo inamtaka? Unafikir wao wajinga waseme hawamtak halafu wapate hasara? Kila mchezaj huwa hauzwi au kumtakiwa kwamba hatakiwi ukifanya hivyo unaharibu biashara unafikir ingeenda ofa wangemzuia?
Hehehe unajidanganya wewe, kubalini ombi lake la kuvunja mkataba by mutual consent uone kama sekunde 2 mbele hajatangazwa na bayern au chelsea! U buying into these rubbish the media post, who doesnt want a goal machine into their team!
 
In a new lay-out agreed with Erik, the home and away dugouts have been permanently switched so that the United manager, staff and substitutes will now be sat in the seats to the west of the half-way line.

Switching sides will also position the home staff and players closer to the Stretford End.
ManUtd.com
UzPdVhki98IsqEL0v7opHBEox9pKJOoeRLDFtPNcerk.jpg
 
Mike Verweij:
The €10M variables that Manchester United are paying to Ajax to make it a €67M deal are easily achievable.

Ajax are receiving 66,667 euro's for every game that he plays for Manchester United, no matter as a sub or as a starter.
 
WhoScored:
Of goalkeepers that started at least 15 games in the Premier League last season,

David de Gea attempted the fewest high cross claims (8).

Robert Sanchez attempted the most with 60
 
Bado wiki moja ligi ianze
Wan bisaka, shaw, rashford, martial, Fred, mactominay, cr7

Bado wanatambulika kama wachezaji wenu. HAMPO SERIOUS
Hawa wachezaji timu zinawagwaya Kwa sababu ya tabia ya kugomea walimu wao.

Pogba, martial walionesha tabia ya kisngerua Sana. Kila mwalimu anahisi watakuja kuletanl virusi. Pogba aeoewa heshima tu huko alipo.

Maeneo wanayocheza yote yanafanyiwa mipango.

Nafasi zao.
Sekko >>>> martial, Cr7, Rashford.
Anthony>>>>>>>

De Jong>>>>>>>Fed, Mactonomy.

Na wengine bado hawez kuwaachia mapema na ameshaweka Sheria Kali dhidi kiburi Chao.

Margure amepewa nafasi ya mwisho.

We are serious jo
 
Huyu fala pamoja na kumtetea sana humu ila safari hii ameamua kutuvua nguo kabisa hadharani, hichi anachotuonyesha ni ubinfsi wa hali ya juu sana.
Alivyo na akili mbovu timu karibia zote hazimtaki halafu yeye anaamua kunyea kambi.
Binafsi nimeanza kumchukia na hata akiamua kubaki sidhani kama atapata sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki.
Mashabiki wa timu zingine wanamkataa pia.

Alitakiwa awe royal Kwa timu
 
Atletico leo anakufa vzr sana... jamaa watachezewa mpira mwingi na kila kikosi ambacho 10Hag atakipanga... naiona hatrick ya martial leo...
 
Back
Top Bottom