Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu fala pamoja na kumtetea sana humu ila safari hii ameamua kutuvua nguo kabisa hadharani, hichi anachotuonyesha ni ubinfsi wa hali ya juu sana.
Alivyo na akili mbovu timu karibia zote hazimtaki halafu yeye anaamua kunyea kambi.
Binafsi nimeanza kumchukia na hata akiamua kubaki sidhani kama atapata sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki.
timu haitaki kusajili yani wale watatu ndo wamefunga usajili jamaa umri umeenda anataka watu wamsaidie yeye kazi yale kutupia tu sasa mtamlazimisha kucheza Mctominay na rashford hata mimi nsingekubali ! tatizo la man u ni washabiki sio glazers
 
Sporting CP’s head coach Ruben Amorim is not thrilled with the idea of signing Cristiano Ronaldo.

The main worry would be how Ronaldo would change the dynamics of the current squad and his high salary.
(Source: @lauriewhitwell)
 
Point yangu ni kwamba Ten hag alisema hatoentertain big price signing. alikuwa anamaanisha bei gani?

Pili, hajapewa blank cheque, kapewa Badget, very limited ndio maana tunaona speed na namba ya wachezaji wanaosajiliwa na watakaoishia kusajiliwa, sasa unaoperate under such a limited budget, bado £85M inaendelea kuwa hela ya kawaida?

ukumbuke Man utd hii inahitaji kuwa overhauled? at least wachezaji saba wanapaswa kuwa replaced kwenye first timu yetu? tunaweza fanya hivyo kwa bei za namna hiyo?

kuna taarifa, wachezaji wote wamekatwa mishahara between 20-30%, maana ake hatuko vizuri kifedha, sasa inakuwaje tutoe hela ndefu namna hiyo?

Kama huku wachezaji wanakatwa mishahara tunamng'angania de jong wa nini wakati ishajulikana hayuko tayali kupunguzwa mshahara huko aliko? we want to make him the highest paid?

bei ya kwanza ya de jong ilikuwa pound 55, mi nilijua imeongezwa kufikia pound 85 sababu baca wameomba wapewe na hela ya kumlipa madeni yake, kumbe sio, sasa bei imepanda kwa msingi gani?
Wamekatwa mishahara kwasababu hatujafuzu UCL. Hiyo ipo kwenye mkataba na inajulikana, labda wewe hufahamu.

Kununua wachezaji 7 haipo realistic kama tunavyotaka.

Ten hag ameshasisitiza, tutasajili ila wachezaji sahihi (anaewataka yeye).

Mpaka sasa nafasi ambazo ni critical ni midfield na defence, na inafanyiwa kazi. Hizo nafasi nyingine wachezaji wanafundishika.

Man Utd haijawahi kuwa na shida kifedha, ni cash cow wa familia ya glazers.

Wakati wa Ed tulikuwa tunafanya kufuru sokoni, ila sio wachezaji sahihi uwanjani zaidi ya kibiashara. Sahivi tunachukua wachezaji sahihi uwanjani.

Misimu mitatu ijayo tumpime Ten hag na timu atakayokuwa anaitengeneza.
 
Mbona ishu ni simple tu jamani mbona tunagandana na huyu mtu mbinafsi?..ni kutemana nae fasta tu..

EtH akimweka kwenye mipango yake nitamdharau sana

Hakuna fahari yoyote kuangalia mechi na Ronaldo akiwemo kikosini.View attachment 2306911
Man Utd wangemwambia anunue mkataba wake waachane nae kwa amani.

Haya mengine ni kujishushia heshima kama club.
 
CR7 kamuumbua mwanahabari mmoja Habari anazoziona mpaka mwenyewe anashangaa zinatokea wapi!!?
20220729_110906.jpg
 
Man Utd wangemwambia anunue mkataba wake waachane nae kwa amani.

Haya mengine ni kujishushia heshima kama club.
Ni mkubwa kuliko timu yenu, hamna uwezo wa kumfanya chochote hajaja kwenye tour yenu na haendi huko oslo! Kizazi jeuri cr7
 
Maana yake ni mkubwa kuliko timu yenu, hamuwezi afford kumpoteza, ndio maana mmechutama na kupiga magoti hamtaki aondoke

Timu ipo inamtaka? Unafikir wao wajinga waseme hawamtak halafu wapate hasara? Kila mchezaj huwa hauzwi au kumtakiwa kwamba hatakiwi ukifanya hivyo unaharibu biashara unafikir ingeenda ofa wangemzuia?
 
Bado wiki moja ligi ianze
Wan bisaka, shaw, rashford, martial, Fred, mactominay, cr7

Bado wanatambulika kama wachezaji wenu. HAMPO SERIOU
Wapo chini ya 10Hg sasa hivyo acha kukalili ukadhani ni zama za mbwatukaji Ralf rangnick... wapo kwenye mikono salama now watakushangaza sana...
 
Back
Top Bottom