D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Most of players bado wanaamini Chelsea Ni klabu ndogo TU,Kitoabu, Daemusin, Chief Mkwawa, Bavaria
Nje kidogo ya nyumba yetu, hivi ni kitu gani kinaendelea Chelsea? Mbona wachezaji wengi hawaendi? Na ofa zao huwa zinakuwa nzuri kuliko hata wapinzani wao. (Raphinha na Jules Kounde)
Jules Kounde anaenda Barcelona kwa Pound 46M na mshahara wa euro 7M kwa mwaka hapo hapo ofa ya Chelsea ilikuwa pound 55M na mshahara wa euro 12M kwa mwaka. Naomba nipewe ufafanunuzi kidogo hapa nini kinaendelea?
Chelshit ni spurs iliyochangamkaMost of players bado wanaamini Chelsea Ni klabu ndogo TU,
Huyu fala pamoja na kumtetea sana humu ila safari hii ameamua kutuvua nguo kabisa hadharani, hichi anachotuonyesha ni ubinfsi wa hali ya juu sana.Sure, anazingua.
Kwan Barcelona ina ukubwa ganiMost of players bado wanaamini Chelsea Ni klabu ndogo TU,
Waulize wachezaji wanaokataa mishahara Mikubwa Chelsea ili wanalipwe kiduchu barca
Kijamaa ni kibinafsi sijapata kuona.Mbona ishu ni simple tu jamani mbona tunagandana na huyu mtu mbinafsi?..ni kutemana nae fasta tu..
EtH akimweka kwenye mipango yake nitamdharau sana
Hakuna fahari yoyote kuangalia mechi na Ronaldo akiwemo kikosini.View attachment 2306911
Timu inapoingia kwenye project mpya hutakiwi kuwa na matarajio ya ubingwa.Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.
Sure, anazingua.
timu haitaki kusajili yani wale watatu ndo wamefunga usajili jamaa umri umeenda anataka watu wamsaidie yeye kazi yale kutupia tu sasa mtamlazimisha kucheza Mctominay na rashford hata mimi nsingekubali ! tatizo la man u ni washabiki sio glazersHuyu fala pamoja na kumtetea sana humu ila safari hii ameamua kutuvua nguo kabisa hadharani, hichi anachotuonyesha ni ubinfsi wa hali ya juu sana.
Alivyo na akili mbovu timu karibia zote hazimtaki halafu yeye anaamua kunyea kambi.
Binafsi nimeanza kumchukia na hata akiamua kubaki sidhani kama atapata sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki.