Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,867
- 15,815
Ndio maana ronaldo akawapa wake up call, man u hatupo makini nowdays!Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.
brand kubwa ile imefanya makubwa CL Leo hii wahuni wachache masharobaro kina sacho ,rashford na united yenyewe impeleke kucheza Europa motherf**k

