Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,867
- 15,825
Ndio maana ronaldo akawapa wake up call, man u hatupo makini nowdays!Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.