Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.
Ndio maana ronaldo akawapa wake up call, man u hatupo makini nowdays!
 
Sio kwamba hayupo tayari nilivyosoma gazeti la Marca ni kuwa hayupo tayari kukatwa hela zake na kama kwenda Man U ni mpaka sloped usd 17m anazowadai Baraca ambao wanataka waktupoe Man U bila kumlipa chochote
Haitaji Man U kwa sababu ya UCl kama ambavyo Ronaldo naye anaikacha Man U kwa sababu ya UCL na hakuna jitihada za kufanya usajili wa maana
Watu wa karibu na De Jong walisema anaona project ya Chelsea iko structured vizuri kuliko hii ya Man United. Masuala ya deni hayana uhusiano kabisa na maamuzi ya De Jong kuikataa Man U. Ten Man U wametoa pesa ndefu ndio ingekuwa rahisi kusawazisha deni lakini kakataa
Iko hivi De Jong akiuzwa sehemu ya mapato atalipwa deni lake, akikataa kuuzwa amepewa masharti akubali kupunguziwa mshahara wake

Baadhi ya sababu hizi hapa
  1. Kanuanua nyumba Barcelona hata hajaifaidi anatakiwa kuhama
  2. Partner wake hayuko tayari kuondoka Barcelona, ana furaha kuishi Barcelona
  3. De Jong ndoto yake tangu utotoni ni kuichezea Barcelona
  4. Man U haishiriki UCL ambapo De Jong anaona kushiriki mashindano makubwa ni jambo muafaka katika kipindi cha ubora wake kwenye career yake ya mpira. Anaona akichezea MAn U ni kama kujidowngrade kisoka. kwa sababu anaona mafanikio ya Man U yamepitwa na wakati, kombe la mwisho 2017 na Mounrinho
  5. Man u itampatia balaa kwenye career yake
  6. Hapendi pia hali ya hewa ya England
  7. Anataka kucheza chini ya Xavi ili kumuhakikishia kuwa anaweza kucheza vizuri zaidi ya Bernado Silva. Xavi anaamini Bernado Silva ndie anayefaa kucheza nafasi anayocheza De Jong
  8. De Jong kakasirishwa na ripoti za media kumuhusisha na yeye kuhamia MAn U wakati clabu yake haikuwahi hata kumuendea na kumuambia hayo mambo ya kwenye media
  9. Hakupenda tabia ya timu yake kumalizana na MAn United wakati yeye hajashirikishwa
  10. Na ndio maana sasa kama atataoka Barcelona basi De Jong atapenda kwenda zaidi Chelsea kwa sababu Chelsea wanashiriki UCL na mradi wao wa kubeba makombe uko structured kuliko ule wa Man U
 
Barça wants to pressurise Frenkie de Jong and force to cooperate 'voluntarily'. Agent Ali Dursun, who has honestly told that a new club is ready for his player, has already said that Joan Laporta with his club must fulfill all obligations first.

Frenkie de Jong is stuck with Barcelona. Man Utd would like to take him over but the player will not leave until he receives millions in the form of back payments from the Spanish club.

marcel van de kraan
 
Kitasa kipya ndani ya OT una ambiwa jamaa anaweza kaba mpaka akili za wapinzani wanachowaza.
1658926945064.jpg
 
De Jong yuko tayari kucheza beki.. kukatwa mshahara.. ilimradi tu asije kwenye hili timu.

Aliwahi kuongea na Luis Van Gaal akampanga hali ilivyo kwenye hii klabu yenu ya ajabu, very bad dressing room atmosphere, No UCL..

Sasa hivi anaenjoy na Barca yake. Tena kwenye mechi ya juzi ya kirafiki dhidi ya Madrid akachezeshwa beki no. 5 na kakamua vizuri tu, kisha anafuraha.. SASA NYIE MNATAKA AENDE WAPI NYIE NZI WEKUNDU?
 
De Jong yuko tayari kucheza beki.. kukatwa mshahara.. ilimradi tu asije kwenye hili timu.

Aliwahi kuongea na Luis Van Gaal akampanga hali ilivyo kwenye hii klabu yenu ya ajabu, very bad dressing room atmosphere, No UCL..

Sasa hivi anaenjoy na Barca yake. Tena kwenye mechi ya juzi ya kirafiki dhidi ya Madrid akachezeshwa beki no. 5 na kakamua vizuri tu, kisha anafuraha.. SASA NYIE MNATAKA AENDE WAPI NYIE NZI WEKUNDU?
Shibe hiyo
 
Nmetoka kuangalia training session ( mazoezi) ya man u chini ya 10hag.

Personally I HOPE A LOT
 
Kitoabu, Daemusin, Chief Mkwawa, Bavaria

Nje kidogo ya nyumba yetu, hivi ni kitu gani kinaendelea Chelsea? Mbona wachezaji wengi hawaendi? Na ofa zao huwa zinakuwa nzuri kuliko hata wapinzani wao. (Raphinha na Jules Kounde)

Jules Kounde anaenda Barcelona kwa Pound 46M na mshahara wa euro 7M kwa mwaka hapo hapo ofa ya Chelsea ilikuwa pound 55M na mshahara wa euro 12M kwa mwaka. Naomba nipewe ufafanunuzi kidogo hapa nini kinaendelea?
 
Kaka tusubrie....ERA COMES TO AN END hii ni kauli ya 10hag kwa city na liver na lzm itatimia
United is back, ETH atatufikisha tena mpm kweny mafanikio
Roma haikujengw kwa cku moja...hata izo Liverpool na city zili delay kabla ya kuwa kwenye form hii ya sasa
 
Kitoabu, Daemusin, Chief Mkwawa, Bavaria

Nje kidogo ya nyumba yetu, hivi ni kitu gani kinaendelea Chelsea? Mbona wachezaji wengi hawaendi? Na ofa zao huwa zinakuwa nzuri kuliko hata wapinzani wao. (Raphinha na Jules Kounde)

Jules Kounde anaenda Barcelona kwa Pound 46M na mshahara wa euro 7M kwa mwaka hapo hapo ofa ya Chelsea ilikuwa pound 55M na mshahara wa euro 12M kwa mwaka. Naomba nipewe ufafanunuzi kidogo hapa nini kinaendelea?
1. Barca ni brand kubwa kushinda Chelsea.

2. Barca na Madrid ni club za mataji, ni rahisi kushinda kombe la ligi ukiwa Barca au Madrid kuliko ukiwa Chelsea. Ni kutokana na EPL kuwa na timu nyingi zinazokaribiana uwezo na kuongeza ugumu katika ukusanyaji points.

3. Kucheza Barca una nafasi kubwa ya kushiriki UCL kila msimu kwasababu ya uhakika wa kumaliza ndani ya top 4. EPL huo uhakika haupo ukiwatoa City na Liverpool.

4. Kuna nafasi kubwa kushinda taji la UCL kutokana na ushiriki wa mara kwa mara inayoongeza uzoefu katika kikosi.

5. Project ya Barca chini ya Xavi inaeleweka.

6. Chelsea ni kama ndiyo wanaanza kuchochea moto uliozima, Barca moto ushaanza kuwaka ni kuongeza tu mkaa uwake vizuri.

Ukitoa pesa hizo ni mojawapo ya sababu zinawafanya wachezaji waende Barca badala ya Chelsea.
 
Back
Top Bottom