lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,360
- 25,456
Madai yake yanahusija Nini na kuhamia Man ?Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,
Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL


brand kubwa ile imefanya makubwa CL Leo hii wahuni wachache masharobaro kina sacho ,rashford na united yenyewe impeleke kucheza Europa motherf**k

