Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Madai yake yanahusija Nini na kuhamia Man ?
 
Madai yake yanahusija Nini na kuhamia Man ?
Hawezi kuondoka Barca bila kulipwa pesa yake ila pia De Jong mwenyewe anapendelea kubaki Barca.

Pia Barca hawamuuzi De Jong kwa kupenda kwasababu Xavi bado anamhitaji abaki. Tatizo lipo kwa Barca kwenye masuala ya kifedha.

Barca wao wanamtumia De Jong kama sehemu ya kutatua matatizo yao. Ni lazima wamuuze De Jong au wapunguze mshahara wake wa msimu ujao kwa 50% ili waweze kusajili wachezaji wao wapya kwenye kikosi cha msimu ujao.

Kwa De Jong options alizonazo sasa ni mbili tu, akubali kuondoka Barca alipwe deni lake na Barca wachukue pesa ya United ambayo itawasaidia kwenye mambo mengi lakini pia kuondoka kwa De Jong watapunguza mshahara mkubwa anaotakiwa kulipwa msimu ujao 100% ambao unaweza kutumika kulipa wachezaji wawili au zaidi.

Option nyingine ni De Jong akubali kukatwa mshahara wake kwa 50% ili abaki Barca, kitu ambacho De Jong mwenyewe hataki na ana kila haki ya kukataa vyote hivyo kwasababu ana mikataba inayompa haki kuamua anachoona kitafaa.

Mwisho wa siku lazima De Jong na Barca watafute ufumbuzi wa hili suala kupitia hizo njia mbili au la wapate njia nyingine tofauti na hizo. Zote zipo tricky, De Jong abaki 50% ya mshahara ikatwe huku bado anawadai pesa kibao au aondoke alipwe deni lake apate mkataba mpya Manchester United.

 
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
De jong hayupo tayari kwenda Man huo ndo ukweli ni bora aendelee kubaki Barca hata wakimpunguzia mshahara wake
 
De jong hayupo tayari kwenda Man huo ndo ukweli ni bora aendelee kubaki Barca hata wakimpunguzia mshahara wake

Sio kwamba hayupo tayari nilivyosoma gazeti la Marca ni kuwa hayupo tayari kukatwa hela zake na kama kwenda Man U ni mpaka sloped usd 17m anazowadai Baraca ambao wanataka waktupoe Man U bila kumlipa chochote
 
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Wapi alisema haipendi United? Zaidi ni vyanzo vingi vya habari vinasema De Jong anapendelea kubaki Barca kwasababu ni club ya ndoto yake tokea alipokuwa mdogo, pia anataka kucheza UCL.

Ila pia alipoulizwa kuhusu yeye kuhamia United alipokuwa kambi ya timu ya taifa ya Netherlands alisema hana shida kuhamia timu nyingine na hawezi kusema kwasababu anapenda kubaki Barca kuwa akienda timu tofauti hatacheza kwa 100%

De Jong ni professional player kusema haipendi tu United ni uongo. Suala la pesa hata United wanampa mkataba mzuri tu ila kikubwa anaipenda Barca.

FDJ mapenzi yake kwa Barca ni kama Paul Scholes kwa United.

"If you want me to play for you, you'd have to buy this club." -Paul Scholes
 
Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.
Ndio maana ronaldo akawapa wake up call, man u hatupo makini nowdays!
 
Sio kwamba hayupo tayari nilivyosoma gazeti la Marca ni kuwa hayupo tayari kukatwa hela zake na kama kwenda Man U ni mpaka sloped usd 17m anazowadai Baraca ambao wanataka waktupoe Man U bila kumlipa chochote
Haitaji Man U kwa sababu ya UCl kama ambavyo Ronaldo naye anaikacha Man U kwa sababu ya UCL na hakuna jitihada za kufanya usajili wa maana
Watu wa karibu na De Jong walisema anaona project ya Chelsea iko structured vizuri kuliko hii ya Man United. Masuala ya deni hayana uhusiano kabisa na maamuzi ya De Jong kuikataa Man U. Ten Man U wametoa pesa ndefu ndio ingekuwa rahisi kusawazisha deni lakini kakataa
Iko hivi De Jong akiuzwa sehemu ya mapato atalipwa deni lake, akikataa kuuzwa amepewa masharti akubali kupunguziwa mshahara wake

Baadhi ya sababu hizi hapa
  1. Kanuanua nyumba Barcelona hata hajaifaidi anatakiwa kuhama
  2. Partner wake hayuko tayari kuondoka Barcelona, ana furaha kuishi Barcelona
  3. De Jong ndoto yake tangu utotoni ni kuichezea Barcelona
  4. Man U haishiriki UCL ambapo De Jong anaona kushiriki mashindano makubwa ni jambo muafaka katika kipindi cha ubora wake kwenye career yake ya mpira. Anaona akichezea MAn U ni kama kujidowngrade kisoka. kwa sababu anaona mafanikio ya Man U yamepitwa na wakati, kombe la mwisho 2017 na Mounrinho
  5. Man u itampatia balaa kwenye career yake
  6. Hapendi pia hali ya hewa ya England
  7. Anataka kucheza chini ya Xavi ili kumuhakikishia kuwa anaweza kucheza vizuri zaidi ya Bernado Silva. Xavi anaamini Bernado Silva ndie anayefaa kucheza nafasi anayocheza De Jong
  8. De Jong kakasirishwa na ripoti za media kumuhusisha na yeye kuhamia MAn U wakati clabu yake haikuwahi hata kumuendea na kumuambia hayo mambo ya kwenye media
  9. Hakupenda tabia ya timu yake kumalizana na MAn United wakati yeye hajashirikishwa
  10. Na ndio maana sasa kama atataoka Barcelona basi De Jong atapenda kwenda zaidi Chelsea kwa sababu Chelsea wanashiriki UCL na mradi wao wa kubeba makombe uko structured kuliko ule wa Man U
 
Barça wants to pressurise Frenkie de Jong and force to cooperate 'voluntarily'. Agent Ali Dursun, who has honestly told that a new club is ready for his player, has already said that Joan Laporta with his club must fulfill all obligations first.

Frenkie de Jong is stuck with Barcelona. Man Utd would like to take him over but the player will not leave until he receives millions in the form of back payments from the Spanish club.

marcel van de kraan
 
Kitasa kipya ndani ya OT una ambiwa jamaa anaweza kaba mpaka akili za wapinzani wanachowaza.
1658926945064.jpg
 
De Jong yuko tayari kucheza beki.. kukatwa mshahara.. ilimradi tu asije kwenye hili timu.

Aliwahi kuongea na Luis Van Gaal akampanga hali ilivyo kwenye hii klabu yenu ya ajabu, very bad dressing room atmosphere, No UCL..

Sasa hivi anaenjoy na Barca yake. Tena kwenye mechi ya juzi ya kirafiki dhidi ya Madrid akachezeshwa beki no. 5 na kakamua vizuri tu, kisha anafuraha.. SASA NYIE MNATAKA AENDE WAPI NYIE NZI WEKUNDU?
 
De Jong yuko tayari kucheza beki.. kukatwa mshahara.. ilimradi tu asije kwenye hili timu.

Aliwahi kuongea na Luis Van Gaal akampanga hali ilivyo kwenye hii klabu yenu ya ajabu, very bad dressing room atmosphere, No UCL..

Sasa hivi anaenjoy na Barca yake. Tena kwenye mechi ya juzi ya kirafiki dhidi ya Madrid akachezeshwa beki no. 5 na kakamua vizuri tu, kisha anafuraha.. SASA NYIE MNATAKA AENDE WAPI NYIE NZI WEKUNDU?
Shibe hiyo
 
Nmetoka kuangalia training session ( mazoezi) ya man u chini ya 10hag.

Personally I HOPE A LOT
 
Kitoabu, Daemusin, Chief Mkwawa, Bavaria

Nje kidogo ya nyumba yetu, hivi ni kitu gani kinaendelea Chelsea? Mbona wachezaji wengi hawaendi? Na ofa zao huwa zinakuwa nzuri kuliko hata wapinzani wao. (Raphinha na Jules Kounde)

Jules Kounde anaenda Barcelona kwa Pound 46M na mshahara wa euro 7M kwa mwaka hapo hapo ofa ya Chelsea ilikuwa pound 55M na mshahara wa euro 12M kwa mwaka. Naomba nipewe ufafanunuzi kidogo hapa nini kinaendelea?
 
Back
Top Bottom