Mmebakisha kuuza tu,Wazee, ETH kashamaliza kusajili au?
Hakuna nyumbu anaeingia kwenye hii 11.
View attachment 2297535








Source zako za kipumbavu kama wewe.
Man u huwa inahusishwa na wachezaji wote duniani, huyo Tielemans atacheza wapi kwa sasa pale?
FredMan u huwa inahusishwa na wachezaji wote duniani, huyo Tielemans atacheza wapi kwa sasa pale?
kwenye nafasi yake kuna mtu kaja so ni swala mmla muda tu ila hao wengine wataanza tu na hakuna mbadalaMaguire vipi? Bora hao waanze sio Maguire
Fungua kichwa chako waweke sokoni wewe mwenyewe utajua thamani zao.Fred
Mactominay
Van de beek
Hao wote hawafikii uwezo tielemans
Hayo ni maoni yako sio fact we arsenane.