Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi nyie ndo mlimaliza na goal difference (GD) 0 last season eeh?🤔

Maana nilikuwa nishasahau!
 
Leo nimewaelewa wale wote ambao hawamtaki Ronaldo japokuwa bado Ronaldo siyo tatizo ila simuoni aki-fit kwenye mfumo kocha atakaotumia.
Tuliona mapema, tatizo ni moja tukiwa nae tukifocus kwake tu club as whole haifiki kokote maana nae yupo ukingoni.

Why tusiwekeze in future kwa madogo na walio kwenye vilele kisoka.

Ukitoa hao matakataka yanayofukuzisha makocha ambayo yamepunguzwa.
 
Ten hag ameamua kuwa honest
Try the best with squad, win every game and success
Why? Because this is man u, that's y anakua na high expectations

Tuanze na cr7,
Kuna faida nyingi akistep aside kuliko awepo kwenye squad
Kwa umri wake, work rate ya pressing ni kujidanganya
New modern football inasema mtu wa kwanza kuanzisha mashambuliz ni goalkeeper na mtu wa kwanza kuanza ukabaji ni mshambuliaji.
Let us succeed or failed because of him
(Sijakataa msimu uliopita alisaidia sana, )

Cr7 kama player at the same time ni bussines/taasisi
Kind of player hav too much Ego, sometimes anafanya dressing room ijigawe.

Maguire
Huyu ubora wake utategemea midfielders, hakuna beki ambae akiletewa moto mara nne mfululizo asipoteane
Mkipata kiungo aina ya ngolo, partey au fernandinho kutakua na balance sana
Kuliko huyo dejong
Hakuna sehemu niliposema dejong hafai

Bruno mchezaji mzuri, so attacking force itakua poa

Elanga sijui bado hana utulivu au vipi, but ten had anaweza akamfanya awe best

Sancho pia ni best, tumemuona last season

Namba tisa, yan mshambuliaji hapa ndio tatizo lingine litaanza
Kama ya arsenal tunacheza mpira mfungaji hayupo. Dakika 90 game inaisha bila bila au tunapigwa kabisa

Na manunuzi ya CF muwe makini majirani
Nazani mnakiona kinachoendelea kwa Liverpool na Nunez wao

Lisandro Martinez ni usajiri mzuri coz ata sisi tulimtaka ila pesa ndio imeamua. Siwezi kusema mmepigwa
Ila tahadhari ninayowapa ni kuwa akatumike kwenye nafasi yake

Wafuatao inabidi waondoke kwa kutaka au kwa lazima
Cr7
Cavan
Wanbisaka
Shaw
Mata
Martial

Mata kasepa mzeee
 
Leo nimewaelewa wale wote ambao hawamtaki Ronaldo japokuwa bado Ronaldo siyo tatizo ila simuoni aki-fit kwenye mfumo kocha atakaotumia.
Umewaelewa ambao hawamtaki Ronaldo. Lakini yeye siyo tatizo. Ingawa ha fit kwenye mfumo wa ETH.

YANI UMEANZA KWA KU SUPPORT POINT,UKAMTETEA HALAFU UKAMALIZA KWA KU PONDA
 
Hakuna nyumbu anaeingia kwenye hii 11.
IMG-20220719-WA0017.jpg
 
Back
Top Bottom