Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunawajua sisi siku zote akiwa kocha mpya mnashindaga game hata 5 consecutively lakin ETH ana bahati mbaya ,hizi game anazowin ilitakuwa iwe league lakin mtafika kwenye league honey moon imeisha
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
tuseme ukweli ,mnamkosesha heshima Ronaldo kucheza Europa,Hadi anawatafuta kina simeon ilimradi tu acheze CL
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
Ndio maana tunapinga kila siku humu. Tatizo watu hawakubali kuwa Ronaldo kafikia mwisho wa kilele cha soka, wao wanafikiri Ronaldo tuliyenaye ni yule wa 2008-2019.

For now anahitaji kuwekwa pembeni, ikiwa tunahitaji kusuka timu mtu anayeforce kuvuruga mipango kisa Brand na Umaarufu hatuna future.


Mendes Mwenyewe kasema he is slight higher than Club, kuna haja gani ya kumkomalia, tuappreciate alivyotusaidia enzi za babu Fergie.

Aende timu ya kutunza brand yake na umaarufu.

Kocha asajili mshambuliaji asitegemee hawa mafaza martial na Trashford, wakikosa challenge wana utoto.
 
Ronaldo mambo yake ya familia hayajaisha tu sio?

Atakuja ligi ikianza na kutaka kuanza kikosini na kila mpira aletewe yeye.

Poor team player na link up player..Sijui ETH atamtumiaje kwa kweli.

Mendes anazungukazunguka tu hajapata timu inayocheza UEFA ampeleke..kuna tetesi wameenda hadi Atletico Madrid kulialia.

Tukicheza na number 9 anayeweza pia kuhold mpira ni tight areas,our wide attackers watashine sana tofauti na tutakavyocheza na selfless old Ronaldo.
Mkui watu tukiwaambia ronaldo hatufai kwasasa wanatuona kama hatumpendi jamaa.

Umeona saizi japo ni mechi za maandalizi ya msimu lakini tunaona kila mchezaji hanaweza kufunga tofauti na akiwepo Vr7 kila mpira anataka apewe yeye ndo afunge.

Mimi nasema Cr7 asipokuwepo tutakuwa na msimu mzuri sana tofauti na hakiwepo.
 
Mkui watu tukiwaambia ronaldo hatufai kwasasa wanatuona kama hatumpendi jamaa.

Umeona saizi japo ni mechi za maandalizi ya msimu lakini tunaona kila mchezaji hanaweza kufunga tofauti na akiwepo Vr7 kila mpira anataka apewe yeye ndo afunge.

Mimi nasema Cr7 asipokuwepo tutakuwa na msimu mzuri sana tofauti na hakiwepo.
Wasipompa pass kwenye press conference anasema madogo hawamasikilizi, anawaita Rooney, Giggs kuwa alikua anawasikiliza.

Era yake inaelekea mwishoni awe mpole, akubali hata kupewa gametime huku akivuna mapato kupitia brand, akifosi fosi hakuna club itamkubali.

Maana muunganiko utapotea, wachezaji wataona hawathaminiwi kila kitu yeye yeye hata asifunge.


Watu waelewe he is not right man for Us as of now, but he is Legend in our hearts.
 
Hivi nyie ndo mlimaliza na goal difference (GD) 0 last season eeh?🤔

Maana nilikuwa nishasahau!
 
Leo nimewaelewa wale wote ambao hawamtaki Ronaldo japokuwa bado Ronaldo siyo tatizo ila simuoni aki-fit kwenye mfumo kocha atakaotumia.
Tuliona mapema, tatizo ni moja tukiwa nae tukifocus kwake tu club as whole haifiki kokote maana nae yupo ukingoni.

Why tusiwekeze in future kwa madogo na walio kwenye vilele kisoka.

Ukitoa hao matakataka yanayofukuzisha makocha ambayo yamepunguzwa.
 
Ten hag ameamua kuwa honest
Try the best with squad, win every game and success
Why? Because this is man u, that's y anakua na high expectations

Tuanze na cr7,
Kuna faida nyingi akistep aside kuliko awepo kwenye squad
Kwa umri wake, work rate ya pressing ni kujidanganya
New modern football inasema mtu wa kwanza kuanzisha mashambuliz ni goalkeeper na mtu wa kwanza kuanza ukabaji ni mshambuliaji.
Let us succeed or failed because of him
(Sijakataa msimu uliopita alisaidia sana, )

Cr7 kama player at the same time ni bussines/taasisi
Kind of player hav too much Ego, sometimes anafanya dressing room ijigawe.

Maguire
Huyu ubora wake utategemea midfielders, hakuna beki ambae akiletewa moto mara nne mfululizo asipoteane
Mkipata kiungo aina ya ngolo, partey au fernandinho kutakua na balance sana
Kuliko huyo dejong
Hakuna sehemu niliposema dejong hafai

Bruno mchezaji mzuri, so attacking force itakua poa

Elanga sijui bado hana utulivu au vipi, but ten had anaweza akamfanya awe best

Sancho pia ni best, tumemuona last season

Namba tisa, yan mshambuliaji hapa ndio tatizo lingine litaanza
Kama ya arsenal tunacheza mpira mfungaji hayupo. Dakika 90 game inaisha bila bila au tunapigwa kabisa

Na manunuzi ya CF muwe makini majirani
Nazani mnakiona kinachoendelea kwa Liverpool na Nunez wao

Lisandro Martinez ni usajiri mzuri coz ata sisi tulimtaka ila pesa ndio imeamua. Siwezi kusema mmepigwa
Ila tahadhari ninayowapa ni kuwa akatumike kwenye nafasi yake

Wafuatao inabidi waondoke kwa kutaka au kwa lazima
Cr7
Cavan
Wanbisaka
Shaw
Mata
Martial

Mata kasepa mzeee
 
Leo nimewaelewa wale wote ambao hawamtaki Ronaldo japokuwa bado Ronaldo siyo tatizo ila simuoni aki-fit kwenye mfumo kocha atakaotumia.
Umewaelewa ambao hawamtaki Ronaldo. Lakini yeye siyo tatizo. Ingawa ha fit kwenye mfumo wa ETH.

YANI UMEANZA KWA KU SUPPORT POINT,UKAMTETEA HALAFU UKAMALIZA KWA KU PONDA
 
Back
Top Bottom