Kwa inavoelekea Maguire na Martinez ndio watakua First Choice, Maguire amechezeshwa kama beki wa Kati Kulia juzi, Martinez ni kati kushotio.kwenye nafasi yake kuna mtu kaja so ni swala mmla muda tu ila hao wengine wataanza tu na hakuna mbadala
Maguire ni beki wa kati kushoto na hiyo ndio primary # yake unless kocha afanye changes,Ila sio kitu cha ziada kutoka kwa Maguire.Kwa inavoelekea Maguire na Martinez ndio watakua First Choice, Maguire amechezeshwa kama beki wa Kati Kulia juzi, Martinez ni kati kushotio.
Pep ana laporte na alikuwa anamtaka Maguire, linapokuja suala la kutengeneza nafasi kwa mabeki hakuna kiumbe yoyote Epl anaemfikia Maguire.Maguire ni beki wa kati kushoto na hiyo ndio primary # yake unless kocha afanye changes,Ila sio kitu cha ziada kutoka kwa Maguire.
Maguire na nafasi ten mkuuPep ana laporte na alikuwa anamtaka Maguire, linapokuja suala la kutengeneza nafasi kwa mabeki hakuna kiumbe yoyote Epl anaemfikia Maguire.
ETH requirement yake anataka Beki wa Kati kushoto atumie mguu wa kushoto, Maguire anatumia Kulia hivyo kuna uwezekano Mkubwa Martinez akaanza Kushoto, Varane naye Gari la mkaa.

, hell no,, Akichemka benchi litamhusuKwa inavoelekea Maguire na Martinez ndio watakua First Choice, Maguire amechezeshwa kama beki wa Kati Kulia juzi, Martinez ni kati kushotio.
Mkuu safi sana kwa hili bandiko.siku 27 za erik ten hag
- mechi ya crystal palace, david de gea alikuwa anajisahau baadhi ya nyakati hususani kwenye swala zima la utawala wa eneo lake, baadhi ya nyakati wachezaji walikuwa wanafungua nafasi lakini akawa anashindwa kujiamini kupiga pasi hususani kwa midfield. sijui itatokezea hali gani ikiwa klabu itafanikiwa kusajili mchezaji aina ya de jong, pirlo, verrati au tiago halafu bado david de gea akawa akawa na fikra hizi alizonazo. Naamini atazidi kubadilika na hatimaye kurudisha nafasi yake timu ya taifa, nadhani munazikumbuka sababu alizozitaja luis enrique juu ya sifa za goalkeeper anayemtaka.
- khofu yangu bado ipo eneo la midfield, nafsi yangu haipo radhi kuendelea kuwaona mcfred wakitawala katikati kwa mwaka wa tatu mfululizo, juzi scott mctominay amegusa mpira mara 33 mpaka anatolewa dakika ya 65 ikiwa nipo sahihi
- nitawapima midfields wetu pindi tutakapocheza dhidi ya aston villa na atletico madrid zilizo na utimilifu wa midfields, wote hao wana midfields bora sana ukilinganisha na profiles za midfield wetu. Aston villa wana midfields kama vile kamara, coutinho, buendia, douglas luiz, mc gin na jacob ramsey
- sakata la de jong, erik anasema hakuna qualities za kutosha sokoni, hivyo wataendelea kusubiria dili la de jong na endapo itashindikana basi watamtengeneza de jong wao. shughuli nzito hii ndugu na kaka zangu. kwa mtazamo wangu zidane iqbal ndiye mwenye profile ya frankie de jong kwa pale klabuni na hiyo ndio plan B pekee ya timu kwenye eneo la holding midfield kwa sasa.
- ni rahisi kumvukisha mto mbuzi mee kuliko kuwa na utulivu wa nafsi pindi unapoona kikosi chenye wan bissaka au dalot, fred, mc tominay na maguire kwa pamoja ndani ya uwanja. Hao watu hawachelewi kufanya blunders.
- ajax wanamtaka ethan laird, nimevutiwa na roles yake ya inverted fullback tulipocheza na melbourne, amecheza kwa usahihi kuliko dalot na wan bissaka labda ni kwa sababu ana utulivu. sijui khatma yake itakuwaje
- ndugu zangu si kila timu inasajili bali nyengine zinajaza nafasi, madirisha matatu yaliopita tulikuwa tunajaza nafasi (telles, amad, donny, pellistri, cavani, jones mkataba, lingard mkataba, mata mkataba)kuliko kusajili ila kwa sasa tunasajili, ukimchukua tavarez na lokonga wewe umejaza nafasi kwa msimu huo wa ligi ila ukimchukua jesus na zinchenko basi wewe umesajili........wachache watanielewa
- tukiwasokota na kuwafinya kimpira na kimatokeo brighton vyakutosha siku hiyo atakayejaaliwa kuwa hai, aiseeee tunakwenda kugombania top 3 tukiwa pamoja na chelsea, arsenal au spurs
- sina presha kubwa sana mwaka huu kwa sababu na sisi tuna utambulisho wetu wa mpira kama zilivyo top teams
- here we go
Savage kama atakua monitored vzur dg atakuja kuwa bonge la holding especially akicheza n iqbal ambaye n box yo box mzur. James garner naona hana tofauti ya kiuchezaji n Jacob Ramsey au Antony Gordon n fundi n mtulivu sana.Mkuu safi sana kwa hili bandiko.
Hebu nipe mtizamo wako kwa kesho ya united chini ya hawa vijana katika eneo la kiungo kwenye mikono salama ya Erik Ten Hag.
1. Savage
2. Hannibal Mejbri
3. James Garner
4. Zidan Iqbal
Unajua kuchambua ball mzeesiku 27 za erik ten hag
- mechi ya crystal palace, david de gea alikuwa anajisahau baadhi ya nyakati hususani kwenye swala zima la utawala wa eneo lake, baadhi ya nyakati wachezaji walikuwa wanafungua nafasi lakini akawa anashindwa kujiamini kupiga pasi hususani kwa midfield. sijui itatokezea hali gani ikiwa klabu itafanikiwa kusajili mchezaji aina ya de jong, pirlo, verrati au tiago halafu bado david de gea akawa akawa na fikra hizi alizonazo. Naamini atazidi kubadilika na hatimaye kurudisha nafasi yake timu ya taifa, nadhani munazikumbuka sababu alizozitaja luis enrique juu ya sifa za goalkeeper anayemtaka.
- khofu yangu bado ipo eneo la midfield, nafsi yangu haipo radhi kuendelea kuwaona mcfred wakitawala katikati kwa mwaka wa tatu mfululizo, juzi scott mctominay amegusa mpira mara 33 mpaka anatolewa dakika ya 65 ikiwa nipo sahihi
- nitawapima midfields wetu pindi tutakapocheza dhidi ya aston villa na atletico madrid zilizo na utimilifu wa midfields, wote hao wana midfields bora sana ukilinganisha na profiles za midfield wetu. Aston villa wana midfields kama vile kamara, coutinho, buendia, douglas luiz, mc gin na jacob ramsey
- sakata la de jong, erik anasema hakuna qualities za kutosha sokoni, hivyo wataendelea kusubiria dili la de jong na endapo itashindikana basi watamtengeneza de jong wao. shughuli nzito hii ndugu na kaka zangu. kwa mtazamo wangu zidane iqbal ndiye mwenye profile ya frankie de jong kwa pale klabuni na hiyo ndio plan B pekee ya timu kwenye eneo la holding midfield kwa sasa.
- ni rahisi kumvukisha mto mbuzi mee kuliko kuwa na utulivu wa nafsi pindi unapoona kikosi chenye wan bissaka au dalot, fred, mc tominay na maguire kwa pamoja ndani ya uwanja. Hao watu hawachelewi kufanya blunders.
- ajax wanamtaka ethan laird, nimevutiwa na roles yake ya inverted fullback tulipocheza na melbourne, amecheza kwa usahihi kuliko dalot na wan bissaka labda ni kwa sababu ana utulivu. sijui khatma yake itakuwaje
- ndugu zangu si kila timu inasajili bali nyengine zinajaza nafasi, madirisha matatu yaliopita tulikuwa tunajaza nafasi (telles, amad, donny, pellistri, cavani, jones mkataba, lingard mkataba, mata mkataba)kuliko kusajili ila kwa sasa tunasajili, ukimchukua tavarez na lokonga wewe umejaza nafasi kwa msimu huo wa ligi ila ukimchukua jesus na zinchenko basi wewe umesajili........wachache watanielewa
- tukiwasokota na kuwafinya kimpira na kimatokeo brighton vyakutosha siku hiyo atakayejaaliwa kuwa hai, aiseeee tunakwenda kugombania top 3 tukiwa pamoja na chelsea, arsenal au spurs
- sina presha kubwa sana mwaka huu kwa sababu na sisi tuna utambulisho wetu wa mpira kama zilivyo top teams
- here we go
Lingard uyooo #NTFC
Unajua kuchambua ball mzee

Edo Kumwembe na Oscar ni wachambuzi wa mchongo. Details ndogo tu hawazijuiUkute jamaa ni Ally Mayai au Oscar Oscar au Eddo Kumwembe![]()
Hapa umenena ukweli mtupu Jombaa.siku 27 za erik ten hag
- mechi ya crystal palace, david de gea alikuwa anajisahau baadhi ya nyakati hususani kwenye swala zima la utawala wa eneo lake, baadhi ya nyakati wachezaji walikuwa wanafungua nafasi lakini akawa anashindwa kujiamini kupiga pasi hususani kwa midfield. sijui itatokezea hali gani ikiwa klabu itafanikiwa kusajili mchezaji aina ya de jong, pirlo, verrati au tiago halafu bado david de gea akawa akawa na fikra hizi alizonazo. Naamini atazidi kubadilika na hatimaye kurudisha nafasi yake timu ya taifa, nadhani munazikumbuka sababu alizozitaja luis enrique juu ya sifa za goalkeeper anayemtaka.
- khofu yangu bado ipo eneo la midfield, nafsi yangu haipo radhi kuendelea kuwaona mcfred wakitawala katikati kwa mwaka wa tatu mfululizo, juzi scott mctominay amegusa mpira mara 33 mpaka anatolewa dakika ya 65 ikiwa nipo sahihi
- nitawapima midfields wetu pindi tutakapocheza dhidi ya aston villa na atletico madrid zilizo na utimilifu wa midfields, wote hao wana midfields bora sana ukilinganisha na profiles za midfield wetu. Aston villa wana midfields kama vile kamara, coutinho, buendia, douglas luiz, mc gin na jacob ramsey
- sakata la de jong, erik anasema hakuna qualities za kutosha sokoni, hivyo wataendelea kusubiria dili la de jong na endapo itashindikana basi watamtengeneza de jong wao. shughuli nzito hii ndugu na kaka zangu. kwa mtazamo wangu zidane iqbal ndiye mwenye profile ya frankie de jong kwa pale klabuni na hiyo ndio plan B pekee ya timu kwenye eneo la holding midfield kwa sasa.
- ni rahisi kumvukisha mto mbuzi mee kuliko kuwa na utulivu wa nafsi pindi unapoona kikosi chenye wan bissaka au dalot, fred, mc tominay na maguire kwa pamoja ndani ya uwanja. Hao watu hawachelewi kufanya blunders.
- ajax wanamtaka ethan laird, nimevutiwa na roles yake ya inverted fullback tulipocheza na melbourne, amecheza kwa usahihi kuliko dalot na wan bissaka labda ni kwa sababu ana utulivu. sijui khatma yake itakuwaje
- ndugu zangu si kila timu inasajili bali nyengine zinajaza nafasi, madirisha matatu yaliopita tulikuwa tunajaza nafasi (telles, amad, donny, pellistri, cavani, jones mkataba, lingard mkataba, mata mkataba)kuliko kusajili ila kwa sasa tunasajili, ukimchukua tavarez na lokonga wewe umejaza nafasi kwa msimu huo wa ligi ila ukimchukua jesus na zinchenko basi wewe umesajili........wachache watanielewa
- tukiwasokota na kuwafinya kimpira na kimatokeo brighton vyakutosha siku hiyo atakayejaaliwa kuwa hai, aiseeee tunakwenda kugombania top 3 tukiwa pamoja na chelsea, arsenal au spurs
- sina presha kubwa sana mwaka huu kwa sababu na sisi tuna utambulisho wetu wa mpira kama zilivyo top teams
- here we go
Aisee sijui mnaonaga mpira n mrahisi yaan hao madogo ndio wakacheze mid ya Manchester United msimu ujao alafu utoboe nafasi zajuu ...nipo nimekaa pale mtaniambia....Mkuu safi sana kwa hili bandiko.
Hebu nipe mtizamo wako kwa kesho ya united chini ya hawa vijana katika eneo la kiungo kwenye mikono salama ya Erik Ten Hag.
1. Savage
2. Hannibal Mejbri
3. James Garner
4. Zidan Iqbal