Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Barça has two offers for Memphis Depay from the Premier League. Both are of less than €20m.

Memphis Depay returning to #MUFC has always been of interest.


#GerardRomero

manutd |
IMG_20220721_162641_965.jpg
 
#MUFC are planning a large sales push for next year, with Harry Maguire, Fred and Anthony Martial among those earmarked to leave the club.

#JacqueTalbot
#GGMU

manutd
IMG_20220721_162819_906.jpg
 
Jorge Mendes is making it clear to clubs that Cristiano Ronaldo is willing to take a pay cut, potentially as high as 30%.


#BenJacobs
#GGMU

manutd
IMG_20220721_163722_408.jpg
 
Maguire ni beki wa kati kushoto na hiyo ndio primary # yake unless kocha afanye changes,Ila sio kitu cha ziada kutoka kwa Maguire.
Pep ana laporte na alikuwa anamtaka Maguire, linapokuja suala la kutengeneza nafasi kwa mabeki hakuna kiumbe yoyote Epl anaemfikia Maguire.

ETH requirement yake anataka Beki wa Kati kushoto atumie mguu wa kushoto, Maguire anatumia Kulia hivyo kuna uwezekano Mkubwa Martinez akaanza Kushoto, Varane naye Gari la mkaa.
 
Pep ana laporte na alikuwa anamtaka Maguire, linapokuja suala la kutengeneza nafasi kwa mabeki hakuna kiumbe yoyote Epl anaemfikia Maguire.

ETH requirement yake anataka Beki wa Kati kushoto atumie mguu wa kushoto, Maguire anatumia Kulia hivyo kuna uwezekano Mkubwa Martinez akaanza Kushoto, Varane naye Gari la mkaa.
Maguire na nafasi ten mkuu, hell no,,
Poor concentration
Poor making
Poor running

Hasa akiwa man u,, ila hili jamaa

Likiwa apo team ya taifa appreciate..
 
  1. Ole gunnar ni msimamizi wa mazoezi, shughuli zote za ukufunzi uwanja wa mazoezi zinafanywa na mckena, carrick na phelan
  2. ralf rangnick ni professor wa theory
  3. awamu hii wameletewa mwalimu aliyekamilika, show zote anazisimamia mwenyewe na ukileta uzembe anakukaripia au anakutukana iwe ni mazoezini au uwanjani, kwa mfano rejea clip ya degea mechi ya juzi, rejea clip ya zidane iqbal mazoezini hapo jana, rejea clip ya sancho mazoezini alipokuwa anachelewa kupiga pasi na rejea clip ya viwanja vya carrington aliposikika akibweka "too many mistakes".

sijui hawa mabwana wakubwa watakuja na kisingizio gani mwaka huu.
 
siku 27 za erik ten hag
  1. mechi ya crystal palace, david de gea alikuwa anajisahau baadhi ya nyakati hususani kwenye swala zima la utawala wa eneo lake, baadhi ya nyakati wachezaji walikuwa wanafungua nafasi lakini akawa anashindwa kujiamini kupiga pasi hususani kwa midfield. sijui itatokezea hali gani ikiwa klabu itafanikiwa kusajili mchezaji aina ya de jong, pirlo, verrati au tiago halafu bado david de gea akawa akawa na fikra hizi alizonazo. Naamini atazidi kubadilika na hatimaye kurudisha nafasi yake timu ya taifa, nadhani munazikumbuka sababu alizozitaja luis enrique juu ya sifa za goalkeeper anayemtaka.
  2. khofu yangu bado ipo eneo la midfield, nafsi yangu haipo radhi kuendelea kuwaona mcfred wakitawala katikati kwa mwaka wa tatu mfululizo, juzi scott mctominay amegusa mpira mara 33 mpaka anatolewa dakika ya 65 ikiwa nipo sahihi
  3. nitawapima midfields wetu pindi tutakapocheza dhidi ya aston villa na atletico madrid zilizo na utimilifu wa midfields, wote hao wana midfields bora sana ukilinganisha na profiles za midfield wetu. Aston villa wana midfields kama vile kamara, coutinho, buendia, douglas luiz, mc gin na jacob ramsey
  4. sakata la de jong, erik anasema hakuna qualities za kutosha sokoni, hivyo wataendelea kusubiria dili la de jong na endapo itashindikana basi watamtengeneza de jong wao. shughuli nzito hii ndugu na kaka zangu. kwa mtazamo wangu zidane iqbal ndiye mwenye profile ya frankie de jong kwa pale klabuni na hiyo ndio plan B pekee ya timu kwenye eneo la holding midfield kwa sasa.
  5. ni rahisi kumvukisha mto mbuzi mee kuliko kuwa na utulivu wa nafsi pindi unapoona kikosi chenye wan bissaka au dalot, fred, mc tominay na maguire kwa pamoja ndani ya uwanja. Hao watu hawachelewi kufanya blunders.
  6. ajax wanamtaka ethan laird, nimevutiwa na roles yake ya inverted fullback tulipocheza na melbourne, amecheza kwa usahihi kuliko dalot na wan bissaka labda ni kwa sababu ana utulivu. sijui khatma yake itakuwaje
  7. ndugu zangu si kila timu inasajili bali nyengine zinajaza nafasi, madirisha matatu yaliopita tulikuwa tunajaza nafasi (telles, amad, donny, pellistri, cavani, jones mkataba, lingard mkataba, mata mkataba)kuliko kusajili ila kwa sasa tunasajili, ukimchukua tavarez na lokonga wewe umejaza nafasi kwa msimu huo wa ligi ila ukimchukua jesus na zinchenko basi wewe umesajili........wachache watanielewa
  8. tukiwasokota na kuwafinya kimpira na kimatokeo brighton vyakutosha siku hiyo atakayejaaliwa kuwa hai, aiseeee tunakwenda kugombania top 3 tukiwa pamoja na chelsea, arsenal au spurs
  9. sina presha kubwa sana mwaka huu kwa sababu na sisi tuna utambulisho wetu wa mpira kama zilivyo top teams
  10. here we go
 
siku 27 za erik ten hag
  1. mechi ya crystal palace, david de gea alikuwa anajisahau baadhi ya nyakati hususani kwenye swala zima la utawala wa eneo lake, baadhi ya nyakati wachezaji walikuwa wanafungua nafasi lakini akawa anashindwa kujiamini kupiga pasi hususani kwa midfield. sijui itatokezea hali gani ikiwa klabu itafanikiwa kusajili mchezaji aina ya de jong, pirlo, verrati au tiago halafu bado david de gea akawa akawa na fikra hizi alizonazo. Naamini atazidi kubadilika na hatimaye kurudisha nafasi yake timu ya taifa, nadhani munazikumbuka sababu alizozitaja luis enrique juu ya sifa za goalkeeper anayemtaka.
  2. khofu yangu bado ipo eneo la midfield, nafsi yangu haipo radhi kuendelea kuwaona mcfred wakitawala katikati kwa mwaka wa tatu mfululizo, juzi scott mctominay amegusa mpira mara 33 mpaka anatolewa dakika ya 65 ikiwa nipo sahihi
  3. nitawapima midfields wetu pindi tutakapocheza dhidi ya aston villa na atletico madrid zilizo na utimilifu wa midfields, wote hao wana midfields bora sana ukilinganisha na profiles za midfield wetu. Aston villa wana midfields kama vile kamara, coutinho, buendia, douglas luiz, mc gin na jacob ramsey
  4. sakata la de jong, erik anasema hakuna qualities za kutosha sokoni, hivyo wataendelea kusubiria dili la de jong na endapo itashindikana basi watamtengeneza de jong wao. shughuli nzito hii ndugu na kaka zangu. kwa mtazamo wangu zidane iqbal ndiye mwenye profile ya frankie de jong kwa pale klabuni na hiyo ndio plan B pekee ya timu kwenye eneo la holding midfield kwa sasa.
  5. ni rahisi kumvukisha mto mbuzi mee kuliko kuwa na utulivu wa nafsi pindi unapoona kikosi chenye wan bissaka au dalot, fred, mc tominay na maguire kwa pamoja ndani ya uwanja. Hao watu hawachelewi kufanya blunders.
  6. ajax wanamtaka ethan laird, nimevutiwa na roles yake ya inverted fullback tulipocheza na melbourne, amecheza kwa usahihi kuliko dalot na wan bissaka labda ni kwa sababu ana utulivu. sijui khatma yake itakuwaje
  7. ndugu zangu si kila timu inasajili bali nyengine zinajaza nafasi, madirisha matatu yaliopita tulikuwa tunajaza nafasi (telles, amad, donny, pellistri, cavani, jones mkataba, lingard mkataba, mata mkataba)kuliko kusajili ila kwa sasa tunasajili, ukimchukua tavarez na lokonga wewe umejaza nafasi kwa msimu huo wa ligi ila ukimchukua jesus na zinchenko basi wewe umesajili........wachache watanielewa
  8. tukiwasokota na kuwafinya kimpira na kimatokeo brighton vyakutosha siku hiyo atakayejaaliwa kuwa hai, aiseeee tunakwenda kugombania top 3 tukiwa pamoja na chelsea, arsenal au spurs
  9. sina presha kubwa sana mwaka huu kwa sababu na sisi tuna utambulisho wetu wa mpira kama zilivyo top teams
  10. here we go
Mkuu safi sana kwa hili bandiko.

Hebu nipe mtizamo wako kwa kesho ya united chini ya hawa vijana katika eneo la kiungo kwenye mikono salama ya Erik Ten Hag.
1. Savage
2. Hannibal Mejbri
3. James Garner
4. Zidan Iqbal
 
Mkuu safi sana kwa hili bandiko.

Hebu nipe mtizamo wako kwa kesho ya united chini ya hawa vijana katika eneo la kiungo kwenye mikono salama ya Erik Ten Hag.
1. Savage
2. Hannibal Mejbri
3. James Garner
4. Zidan Iqbal
Savage kama atakua monitored vzur dg atakuja kuwa bonge la holding especially akicheza n iqbal ambaye n box yo box mzur. James garner naona hana tofauti ya kiuchezaji n Jacob Ramsey au Antony Gordon n fundi n mtulivu sana.
 
siku 27 za erik ten hag
  1. mechi ya crystal palace, david de gea alikuwa anajisahau baadhi ya nyakati hususani kwenye swala zima la utawala wa eneo lake, baadhi ya nyakati wachezaji walikuwa wanafungua nafasi lakini akawa anashindwa kujiamini kupiga pasi hususani kwa midfield. sijui itatokezea hali gani ikiwa klabu itafanikiwa kusajili mchezaji aina ya de jong, pirlo, verrati au tiago halafu bado david de gea akawa akawa na fikra hizi alizonazo. Naamini atazidi kubadilika na hatimaye kurudisha nafasi yake timu ya taifa, nadhani munazikumbuka sababu alizozitaja luis enrique juu ya sifa za goalkeeper anayemtaka.
  2. khofu yangu bado ipo eneo la midfield, nafsi yangu haipo radhi kuendelea kuwaona mcfred wakitawala katikati kwa mwaka wa tatu mfululizo, juzi scott mctominay amegusa mpira mara 33 mpaka anatolewa dakika ya 65 ikiwa nipo sahihi
  3. nitawapima midfields wetu pindi tutakapocheza dhidi ya aston villa na atletico madrid zilizo na utimilifu wa midfields, wote hao wana midfields bora sana ukilinganisha na profiles za midfield wetu. Aston villa wana midfields kama vile kamara, coutinho, buendia, douglas luiz, mc gin na jacob ramsey
  4. sakata la de jong, erik anasema hakuna qualities za kutosha sokoni, hivyo wataendelea kusubiria dili la de jong na endapo itashindikana basi watamtengeneza de jong wao. shughuli nzito hii ndugu na kaka zangu. kwa mtazamo wangu zidane iqbal ndiye mwenye profile ya frankie de jong kwa pale klabuni na hiyo ndio plan B pekee ya timu kwenye eneo la holding midfield kwa sasa.
  5. ni rahisi kumvukisha mto mbuzi mee kuliko kuwa na utulivu wa nafsi pindi unapoona kikosi chenye wan bissaka au dalot, fred, mc tominay na maguire kwa pamoja ndani ya uwanja. Hao watu hawachelewi kufanya blunders.
  6. ajax wanamtaka ethan laird, nimevutiwa na roles yake ya inverted fullback tulipocheza na melbourne, amecheza kwa usahihi kuliko dalot na wan bissaka labda ni kwa sababu ana utulivu. sijui khatma yake itakuwaje
  7. ndugu zangu si kila timu inasajili bali nyengine zinajaza nafasi, madirisha matatu yaliopita tulikuwa tunajaza nafasi (telles, amad, donny, pellistri, cavani, jones mkataba, lingard mkataba, mata mkataba)kuliko kusajili ila kwa sasa tunasajili, ukimchukua tavarez na lokonga wewe umejaza nafasi kwa msimu huo wa ligi ila ukimchukua jesus na zinchenko basi wewe umesajili........wachache watanielewa
  8. tukiwasokota na kuwafinya kimpira na kimatokeo brighton vyakutosha siku hiyo atakayejaaliwa kuwa hai, aiseeee tunakwenda kugombania top 3 tukiwa pamoja na chelsea, arsenal au spurs
  9. sina presha kubwa sana mwaka huu kwa sababu na sisi tuna utambulisho wetu wa mpira kama zilivyo top teams
  10. here we go
Unajua kuchambua ball mzee
 
siku 27 za erik ten hag
  1. mechi ya crystal palace, david de gea alikuwa anajisahau baadhi ya nyakati hususani kwenye swala zima la utawala wa eneo lake, baadhi ya nyakati wachezaji walikuwa wanafungua nafasi lakini akawa anashindwa kujiamini kupiga pasi hususani kwa midfield. sijui itatokezea hali gani ikiwa klabu itafanikiwa kusajili mchezaji aina ya de jong, pirlo, verrati au tiago halafu bado david de gea akawa akawa na fikra hizi alizonazo. Naamini atazidi kubadilika na hatimaye kurudisha nafasi yake timu ya taifa, nadhani munazikumbuka sababu alizozitaja luis enrique juu ya sifa za goalkeeper anayemtaka.
  2. khofu yangu bado ipo eneo la midfield, nafsi yangu haipo radhi kuendelea kuwaona mcfred wakitawala katikati kwa mwaka wa tatu mfululizo, juzi scott mctominay amegusa mpira mara 33 mpaka anatolewa dakika ya 65 ikiwa nipo sahihi
  3. nitawapima midfields wetu pindi tutakapocheza dhidi ya aston villa na atletico madrid zilizo na utimilifu wa midfields, wote hao wana midfields bora sana ukilinganisha na profiles za midfield wetu. Aston villa wana midfields kama vile kamara, coutinho, buendia, douglas luiz, mc gin na jacob ramsey
  4. sakata la de jong, erik anasema hakuna qualities za kutosha sokoni, hivyo wataendelea kusubiria dili la de jong na endapo itashindikana basi watamtengeneza de jong wao. shughuli nzito hii ndugu na kaka zangu. kwa mtazamo wangu zidane iqbal ndiye mwenye profile ya frankie de jong kwa pale klabuni na hiyo ndio plan B pekee ya timu kwenye eneo la holding midfield kwa sasa.
  5. ni rahisi kumvukisha mto mbuzi mee kuliko kuwa na utulivu wa nafsi pindi unapoona kikosi chenye wan bissaka au dalot, fred, mc tominay na maguire kwa pamoja ndani ya uwanja. Hao watu hawachelewi kufanya blunders.
  6. ajax wanamtaka ethan laird, nimevutiwa na roles yake ya inverted fullback tulipocheza na melbourne, amecheza kwa usahihi kuliko dalot na wan bissaka labda ni kwa sababu ana utulivu. sijui khatma yake itakuwaje
  7. ndugu zangu si kila timu inasajili bali nyengine zinajaza nafasi, madirisha matatu yaliopita tulikuwa tunajaza nafasi (telles, amad, donny, pellistri, cavani, jones mkataba, lingard mkataba, mata mkataba)kuliko kusajili ila kwa sasa tunasajili, ukimchukua tavarez na lokonga wewe umejaza nafasi kwa msimu huo wa ligi ila ukimchukua jesus na zinchenko basi wewe umesajili........wachache watanielewa
  8. tukiwasokota na kuwafinya kimpira na kimatokeo brighton vyakutosha siku hiyo atakayejaaliwa kuwa hai, aiseeee tunakwenda kugombania top 3 tukiwa pamoja na chelsea, arsenal au spurs
  9. sina presha kubwa sana mwaka huu kwa sababu na sisi tuna utambulisho wetu wa mpira kama zilivyo top teams
  10. here we go
Hapa umenena ukweli mtupu Jombaa.

I don't mean to disrespect David Degea ila kusema ukweli kuna vitu vingi sana hana ambavyo magolikipa wa kisasa wanavyo apart from shot stopping ability. Simon Unai (Athletic) au David Raya (Brentford) wanaweza kuwa options sahihi endapo hatabadilika msimu ujao atakapokuwa anamaliza mkataba wake.
 
Erik ten Hag on Man Utd working on signings: “We need more options, we have to strengthen the squad even more, we're looking around but we also need the right players”. #MUFC

“Concerns regarding Ronaldo not back? Of course, but concerning is maybe not the right word”.

#GGMU

manutd
 
Mkuu safi sana kwa hili bandiko.

Hebu nipe mtizamo wako kwa kesho ya united chini ya hawa vijana katika eneo la kiungo kwenye mikono salama ya Erik Ten Hag.
1. Savage
2. Hannibal Mejbri
3. James Garner
4. Zidan Iqbal
Aisee sijui mnaonaga mpira n mrahisi yaan hao madogo ndio wakacheze mid ya Manchester United msimu ujao alafu utoboe nafasi zajuu ...nipo nimekaa pale mtaniambia....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom