Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,485
Ngoma bado ngumu, ukitoa Hawa waandishi uchwara Tier 1 wetu wanasema deal linakwamishwa na Deferred wages.FDJ atakuja kweli?.
Breaking news,ingawa tushaanza kuchoka sasaFDJ atakuja kweli?.
Kuna clip niliona Fred kala push up mpaka kavimba mashavuMkiruhusu goli mnapiga kwanza push-upsjamaa mkali sana kwenye kazi ila pia anajenga mahusiano mazuri na wachezaji wake.
Eriksen na Malacia Done, Martinez leo Done pia bado kufanya transaction za fuedhaa aje kufanya medical, ni done deal. Bado FDJ na Anthony. Manchester united anaplay smart. FDJ bado yeye kukubali na anawait deferred payment yake tu ndo mana 21 iko reserved for him unless otherwise. So list ya ten hag ukitoa FDJ bado Anthony though tunamkimbiza Brobby wa RB alitokea Ajax kimyakimya, Peredes wa Psg pia. Kuhusu Tielman no approach made wala Neves. Hawa wawili itategemea deal la De jong.Ni yule dogo na martinez ndo tumesajili tangia dirisha lifunguliwe?!
ETH ana list ipi ya wachezaji ambao anataka kuwasajili?
Romano mwenyewe kuna muda anatoa maboko.Tuwe wavumilivu na tuachane na taarifa feki juu ya Man U. Mfatilie Romano pekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshakubaliana na Man u tayariYani palipofikia Barca hawamtaki De Jong kuliko sisi tunavyomhitaji. Jamaa anawadai na bado wanataka aondoke kwa lazima yote ni kwasababu ya ukata uliopo Barca wanaimezea mate pesa ya United.
Barca na Madrid ni moja ya vilabu vya kishenzi kwa jinsi wanavyo-treat wachezaji wao.
Nimemkaushia sababu ya namna alivyojiongeza kusepa mshenzi yule, angalia namna timu inavyo perform in his absense.Mkuu ukiishiwa matusi (ya kumtukana) niambie nikuazime.
Baada ya mechi alisemaje huyu mzalamu.Jurgen Klopp’s first question at the press conference:
“The first question I have. Did it look like this yesterday when Man United was here as well?”
Reporters:
“NO.”
View attachment 2286247
Kauli ya Romano akimjibu mtu anaesema FDJ hataki kuja UTDHuyu dogo anatupotezea muda tuView attachment 2290835
Defensive mid wetu huyo tayari,
Am more than delighted aiseeDefensive mid wetu huyo tayari,