Bando bandohata YouTube unaipata tu mkuu hizi mechi azina masharti upatikanaji wake.
EtH mbona kaeleza vizuri tu lazima awajue wachezaji wake wote. Captain anachaguliwa kutokana na vigezo sisi wotr hatujui hawa wachezaji wana tabia gani huko mazoezini kwenye dressing room tunachoona ni wakiwa uwanjani tu na lifestyle yao mitandaoni.ETH naye ameanza mambo ya kidaku.. Maguire ameachive success ipi
Nimekuelewa vema MkuuEtH mbona kaeleza vizuri tu lazima awajue wachezaji wake wote. Captain anachaguliwa kutokana na vigezo sisi wotr hatujui hawa wachezaji wana tabia gani huko mazoezini kwenye dressing room tunachoona ni wakiwa uwanjani tu na lifestyle yao mitandaoni.
Pia kubadili Captain ghafla tu ingeweza kugawa timu pia ingemshusha zaidi Maguire ambaye anatukanwa sana. Kocha anajua kulinda wachezaji wake.
Mkiruhusu goli mnapiga kwanza push-upsSema wakuu huyu ETH yupo serious sana, nafatilia mazoezi ya pre season the way ana demand, anaelekeza n.k akipata right players atatusogeza sehemu naamini
jamaa mkali sana kwenye kazi ila pia anajenga mahusiano mazuri na wachezaji wake.Hivi Ndugu Yangu Tuongee Tu Ukweli...Hivi Ni Kweli Kabisa Hakuna Midfielders Wengine Wazuri Kama De Jong Au Walio Vizuri Zaidi Kuliko Yeye?... Midfielders Kama Sergej Milinkovic Savic, Youri Tielemans Na Ruben Neves Hivi Hawana Ubora Ambao De Jong Anao? Tena Usikute Wote Hawa Wanamzidi Jamaa...... Hivi Ni Majukumu Gani Hayo Ambayo ETH Anataka Kumpa De Jong Ambayo Mifano Ya Hao Watu Watatu Apo Hawawezi Kumuelewa, Kwa Akili Gani Walizokuwa Nazo??.... United Wanalazimisha Tu Hili Dili Na Barca Na ilhali Barca Hawako Tayari Kufanya Biashara Nao Kama Kweli Barca Wapo Serious Na Hili Dili Lingeshaishaga Kitambo... Na Pia De Jong Mwenyewe Priority Yake Ni Kuendelea Kubaki Pale...Hivi Vp Wakimsajili Then Akaja Kucheza Utumbo Pale United, Jumlisha Muda Waliopoteza Kuhangaika Na Usajili Wake Pamoja Na Ada Ya Uhamisho Wake Ambayo Bila Shaka Itakuwa €85M Huo Si Ndio Utakuwa Ubogus Wenyewe Sasa.....Kwenye Hili Suala United Is Just Getting Me Pissed Aisee!Wewe ni bogus kabisa. Samahani mkuu.
Kuna namna kocha anataka tucheze hivyo de jong ndio perfect kwenye mfumo huo kuliko hao viungo wengineHivi Ndugu Yangu Tuongee Tu Ukweli...Hivi Ni Kweli Kabisa Hakuna Midfielders Wengine Wazuri Kama De Jong Au Walio Vizuri Zaidi Kuliko Yeye?... Midfielders Kama Sergej Milinkovic Savic, Youri Tielemans Na Ruben Neves Hivi Hawana Ubora Ambao De Jong Anao? Tena Usikute Wote Hawa Wanamzidi Jamaa...... Hivi Ni Majukumu Gani Hayo Ambayo ETH Anataka Kumpa De Jong Ambayo Mifano Ya Hao Watu Watatu Apo Hawawezi Kumuelewa, Kwa Akili Gani Walizokuwa Nazo??.... United Wanalazimisha Tu Hili Dili Na Barca Na ilhali Barca Hawako Tayari Kufanya Biashara Nao Kama Kweli Barca Wapo Serious Na Hili Dili Lingeshaishaga Kitambo... Na Pia De Jong Mwenyewe Priority Yake Ni Kuendelea Kubaki Pale...Hivi Vp Wakimsajili Then Akaja Kucheza Utumbo Pale United, Jumlisha Muda Waliopoteza Kuhangaika Na Usajili Wake Pamoja Na Ada Ya Uhamisho Wake Ambayo Bila Shaka Itakuwa €85M Huo Si Ndio Utakuwa Ubogus Wenyewe Sasa.....Kwenye Hili Suala United Is Just Getting Me Pissed Aisee!
Tunataka kombe hilo.Mbona kama tupo serious na mechi hafu Liverpool kapanga kawaida tu.View attachment 2287941
Shida iko wapi?..
Kwamba makocha wote wamekosa namna ya kubadili....naona kama n mfumo mbovu haujatusidia kwa muda mrefuShida iko wapi?..
Hakuna viungo sasa atafanyajeKwamba makocha wote wamekosa namna ya kubadili....naona kama n mfumo mbovu haujatusidia kwa muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app