Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sema wakuu huyu ETH yupo serious sana, nafatilia mazoezi ya pre season the way ana demand, anaelekeza n.k akipata right players atatusogeza sehemu naamini
 
ETH naye ameanza mambo ya kidaku.. Maguire ameachive success ipi
EtH mbona kaeleza vizuri tu lazima awajue wachezaji wake wote. Captain anachaguliwa kutokana na vigezo sisi wotr hatujui hawa wachezaji wana tabia gani huko mazoezini kwenye dressing room tunachoona ni wakiwa uwanjani tu na lifestyle yao mitandaoni.

Pia kubadili Captain ghafla tu ingeweza kugawa timu pia ingemshusha zaidi Maguire ambaye anatukanwa sana. Kocha anajua kulinda wachezaji wake.
 
EtH mbona kaeleza vizuri tu lazima awajue wachezaji wake wote. Captain anachaguliwa kutokana na vigezo sisi wotr hatujui hawa wachezaji wana tabia gani huko mazoezini kwenye dressing room tunachoona ni wakiwa uwanjani tu na lifestyle yao mitandaoni.

Pia kubadili Captain ghafla tu ingeweza kugawa timu pia ingemshusha zaidi Maguire ambaye anatukanwa sana. Kocha anajua kulinda wachezaji wake.
Nimekuelewa vema Mkuu

Namkubali jamaa kwenye huu ufundishaji.
 
Wewe ni bogus kabisa. Samahani mkuu.
Hivi Ndugu Yangu Tuongee Tu Ukweli...Hivi Ni Kweli Kabisa Hakuna Midfielders Wengine Wazuri Kama De Jong Au Walio Vizuri Zaidi Kuliko Yeye?... Midfielders Kama Sergej Milinkovic Savic, Youri Tielemans Na Ruben Neves Hivi Hawana Ubora Ambao De Jong Anao? Tena Usikute Wote Hawa Wanamzidi Jamaa...... Hivi Ni Majukumu Gani Hayo Ambayo ETH Anataka Kumpa De Jong Ambayo Mifano Ya Hao Watu Watatu Apo Hawawezi Kumuelewa, Kwa Akili Gani Walizokuwa Nazo??.... United Wanalazimisha Tu Hili Dili Na Barca Na ilhali Barca Hawako Tayari Kufanya Biashara Nao Kama Kweli Barca Wapo Serious Na Hili Dili Lingeshaishaga Kitambo... Na Pia De Jong Mwenyewe Priority Yake Ni Kuendelea Kubaki Pale...Hivi Vp Wakimsajili Then Akaja Kucheza Utumbo Pale United, Jumlisha Muda Waliopoteza Kuhangaika Na Usajili Wake Pamoja Na Ada Ya Uhamisho Wake Ambayo Bila Shaka Itakuwa €85M Huo Si Ndio Utakuwa Ubogus Wenyewe Sasa.....Kwenye Hili Suala United Is Just Getting Me Pissed Aisee!
 
Mbona kama tupo serious na mechi hafu Liverpool kapanga kawaida tu.
1657626463033.jpg
 
Hivi Ndugu Yangu Tuongee Tu Ukweli...Hivi Ni Kweli Kabisa Hakuna Midfielders Wengine Wazuri Kama De Jong Au Walio Vizuri Zaidi Kuliko Yeye?... Midfielders Kama Sergej Milinkovic Savic, Youri Tielemans Na Ruben Neves Hivi Hawana Ubora Ambao De Jong Anao? Tena Usikute Wote Hawa Wanamzidi Jamaa...... Hivi Ni Majukumu Gani Hayo Ambayo ETH Anataka Kumpa De Jong Ambayo Mifano Ya Hao Watu Watatu Apo Hawawezi Kumuelewa, Kwa Akili Gani Walizokuwa Nazo??.... United Wanalazimisha Tu Hili Dili Na Barca Na ilhali Barca Hawako Tayari Kufanya Biashara Nao Kama Kweli Barca Wapo Serious Na Hili Dili Lingeshaishaga Kitambo... Na Pia De Jong Mwenyewe Priority Yake Ni Kuendelea Kubaki Pale...Hivi Vp Wakimsajili Then Akaja Kucheza Utumbo Pale United, Jumlisha Muda Waliopoteza Kuhangaika Na Usajili Wake Pamoja Na Ada Ya Uhamisho Wake Ambayo Bila Shaka Itakuwa €85M Huo Si Ndio Utakuwa Ubogus Wenyewe Sasa.....Kwenye Hili Suala United Is Just Getting Me Pissed Aisee!
Kuna namna kocha anataka tucheze hivyo de jong ndio perfect kwenye mfumo huo kuliko hao viungo wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom