Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.

Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.

Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja.
Wanacheza mkuu, kuna Mifumo mingi sana na mechi za kutosha. Eriksen anaweza cheza pembeni, no ya Bruno ama kiungo wa kawaida.

Siku unacheza na watoto wamepaki basi unawatupia tu wote humo ndani, siku mechi kubwa unahitaji kupress mmoja anakaa benchi kupisha kina fred etc.,
 
Nadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.

dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.

mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?

2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?

3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?

4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.

5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.

kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.
Mkuu ukiishiwa matusi (ya kumtukana) niambie nikuazime.
 
“Which team do you look forward to playing most this season?”

Erling Haaland: “I don’t like to say the words but… Manchester United, yeah.”

@Manchester_Utdfc
 
Wanacheza mkuu, kuna Mifumo mingi sana na mechi za kutosha. Eriksen anaweza cheza pembeni, no ya Bruno ama kiungo wa kawaida.

Siku unacheza na watoto wamepaki basi unawatupia tu wote humo ndani, siku mechi kubwa unahitaji kupress mmoja anakaa benchi kupisha kina fred etc.,
Vipi de jong unamuona hakicheza namba ngapi.
 
Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.

Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.

Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja
Pep system hiyo, Double 8/10


Lazima uwe na kiburi
 
Kikosi ni kilekile mbele mgeni ni mmoja tu..Tusitegemee makubwa(Overexpectation) badae tuje kuanza kutukana All in all naomba tutoke draw na kama tutaelemewa zaidi basi watufunge kwa handicap ya goli 1 tu sio tutoke 3-0,4-0 ni aibu
Screenshot_20220710-233451_1.jpg
 
Kikosi ni kilekile mbele mgeni ni mmoja tu..Tusitegemee makubwa(Overexpectation) badae tuje kuanza kutukana All in all naomba tutoke draw na kama tutaelemewa zaidi basi watufunge kwa handicap ya goli 1 tu sio tutoke 3-0,4-0 ni aibuView attachment 2286709
Hata kama liva fool atatupiga lakini sio kizembezembe.





paul dyabala tunamuachaje ikiwa ni free agentplayer?
 
Ten Hag confirms Harry Maguire will be Manchester United captain for the season.

"I have to get to know all the players, but he's an established captain and he's achieved a lot of success."

#MUFC

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ten Hag confirms Harry Maguire will be Manchester United captain for the season.

"I have to get to know all the players, but he's an established captain and he's achieved a lot of success."

#MUFC

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ofcourse hata wewe ungemuachia ukapten yeye.


Habari za chini ya zulia ni kwamba msimu huu 23/24 atagombea namba ukaptein sio ishu. Muhimu namba, Kwanza. Akiwekwa nyama chini bench atakuwa Hana namba na bado uhitaji wa beki wa kati unaenda kwa Kasi. Akija beki yeye basi kabisa hata bench atakuwa anagombea, hapo timu za kina Barca zitakuwa zinamuwinda.

Kwa nn umnyanyase MTU bana na ugeni wote huo. ETH wa watu atakupa chance.. RR mwenyewe aliishaanza kumuweka benchi. Japo tuliendelea kulamba mchanga.
 
Erik Ten Hag's Pre-Match Press Conference - United v Liverpool, Pre-Season, Bangkok - 12-July

Laurie Whitwell


Ten Hag: "We are planning with Cristiano Ronaldo for this season, that's it. I am looking forward to working with him. He hasn't told me this. I have read [he wants to leave]. We want success together"
 
Back
Top Bottom