Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jiulize kwanini kabla ajaja ronaldo Fernandez alianza ligi wa moto sana mpaka mechi ya kwanza tu kapiga 3 kwanini aje ronaldo tu mambo yaanze kuyumba.

Sio kwamba atumpendi ronaldo ila tunaomba hatupishe tu kwasasa tutengeneze timu ya vijana wadogo.

Kama una mahaba na ronaldo hata uko haendako uta mshabikia tu usiwaze.

Maaba tuweke pembeni ronaldo hatufai.
 
Unyama unyama.
IMG_20220709_132008.jpg
 
Wachezaji wa cku hz hawana mapenzi na timu wanataka pesa. Hakuna mchezaji wa kizazi atakataa kuchezea utd sema wameweka tamaa ya pesa mbele wakichagizwa na mawakala wao.
Kila mtu anafata chake, hela muhimu ila kuna Factor nyingine pia. Sisi tunalipa mishahara kibao ila wachezaji wengi wa South America hawataki UTD sababu ya hali ya hewa, wanakimbilia Spain huko. Wengine wanafuata style fulani ya uchezaji, wengine wanasikiliza mademu zao etc.
 
Hii ilikuwa zamani mkuu sio sasa.
Mfano De gea anaipenda sana UTD ila sababu kubwa ya Kutaka kurudi spain ni Demu wake, di maria haipendi Manchester pamoja na Familia yake, Lukaku Huyo kaacha mahela kibao Uingereza karudi Italy sababu mfumo haumfai, Lingard timu kibao zinamtaka ikiwemo westham wanataka kumpa hela Ndefu kuliko anayoipata UTD, ila anaenda MLS sababu anaona lifestyle ile inamfaa akakuze Jlingz brand etc.
 
Mkuu acha kukaza fuvu toka 2013 kuna msimu tumekuwa wabovu kama huu??
Sikazi fuvu ila ukweli ndo huo mkuu, hakuna msimu hata mmoja ambayo mliwahi kukaa na kuevaluate mapungufu ya team kwa ujumla, badala yake ni mabingwa kupoint mchezaji mmoja mmoja na kumuona kama aliyefelisha team nzima.

Huko nyuma mmewahi kuwalaumu akina de gea, Lukaku, Pogba, Bissaka, Tominay, Maguire,Fred, OLE baada ya hapo mkahamia kwa waingereze na sasa ni Ronaldo.

Sasa kama kikosi chote mmewahi kukilalamikia kwanini usikubali kuwa tuna wachezaji avarage, na kwamba hiyo ndio sababu ya kufeli kwetu sikuzote?

Mpaka sasa hata tukimtoa Ronaldo, bado hakuna uhakika wa kutoboa top four wala kuchukua kombe lolote.

TUKUBALI TU KUWA TUNA TEAM AVARAGE NA TUANZE KUJIJENGA UPYA.
 
Michezaji ya hovyo bado ipo mingi sn utd, na tunayo mpk itazeeka hapo cz hayauziki.
Na hapo ndipo failure ya Man Utd inapoanzia, katika team kubwa zote ulaya Utd ndio team pekee ambayo ina wachezaji wengi wa hovyo wasiouzika. Fikiria kwenye first eleven yetu hakuna mchezaji yeyote aliyewahi kuonyesha outstanding perfomance angalau kwa nusu msimu tu (achilia mbali msimu mzima). Hapa niataja wote na wale ambao waliondoka:-

De gea
Maguire
Bissaka
Shaw
Tominay
Lukaku
Fred
Rashid
Lingard
Martial
 Greenwood
Lindelolf ....nk

Haya atokee yoyote hapo anionyeshe mchezaji yeyote yule alitumikia Man Utd kwa level yenye kujipambanua, zote takataka kabisa.


Hatuna team hapo kuanzia backline, midfilders na stikers eti tunategemea akina Rashid na Martial😂😂😂

Kombe haliji kizembe wakuu.







 
Kila mtu anafata chake, hela muhimu ila kuna Factor nyingine pia. Sisi tunalipa mishahara kibao ila wachezaji wengi wa South America hawataki UTD sababu ya hali ya hewa, wanakimbilia Spain huko. Wengine wanafuata style fulani ya uchezaji, wengine wanasikiliza mademu zao etc.
Hata ingekuwa mimi nisingependa kukaa wala kufanya kazi Manchester.

Hali ya hewa ya pale ni mbaya mno kwa waliozoea kukaa maeneo ya joto.
 
Sikazi fuvu ila ukweli ndo huo mkuu, hakuna msimu hata mmoja ambayo mliwahi kukaa na kuevaluate mapungufu ya team kwa ujumla, badala yake ni mabingwa kupoint mchezaji mmoja mmoja na kumuona kama aliyefelisha team nzima.

Huko nyuma mmewahi kuwalaumu akina de gea, Lukaku, Pogba, Bissaka, Tominay, Maguire,Fred, OLE baada ya hapo mkahamia kwa waingereze na sasa ni Ronaldo.

Sasa kama kikosi chote mmewahi kukilalamikia kwanini usikubali kuwa tuna wachezaji avarage, na kwamba hiyo ndio sababu ya kufeli kwetu sikuzote?

Mpaka sasa hata tukimtoa Ronaldo, bado hakuna uhakika wa kutoboa top four wala kuchukua kombe lolote.

TUKUBALI TU KUWA TUNA TEAM AVARAGE NA TUANZE KUJIJENGA UPYA.
Kweli kabisa.
 
Hata ingekuwa mimi nisingependa kukaa wala kufanya kazi Manchester.

Hali ya hewa ya pale ni mbaya mno kwa waliozoea kukaa maeneo ya joto.
Sio kweli bhn, mbn wachezaji walikuwa wanakaa miaka mingi tu enzi zile? Tatizo ni timu iko hovyo kwa ss.
 
Sikazi fuvu ila ukweli ndo huo mkuu, hakuna msimu hata mmoja ambayo mliwahi kukaa na kuevaluate mapungufu ya team kwa ujumla, badala yake ni mabingwa kupoint mchezaji mmoja mmoja na kumuona kama aliyefelisha team nzima.

Huko nyuma mmewahi kuwalaumu akina de gea, Lukaku, Pogba, Bissaka, Tominay, Maguire,Fred, OLE baada ya hapo mkahamia kwa waingereze na sasa ni Ronaldo.

Sasa kama kikosi chote mmewahi kukilalamikia kwanini usikubali kuwa tuna wachezaji avarage, na kwamba hiyo ndio sababu ya kufeli kwetu sikuzote?

Mpaka sasa hata tukimtoa Ronaldo, bado hakuna uhakika wa kutoboa top four wala kuchukua kombe lolote.

TUKUBALI TU KUWA TUNA TEAM AVARAGE NA TUANZE KUJIJENGA UPYA.
Tuna wachezaji ambao hawauziki alafu tunalaumu watu, timu inalipa lipa hovyo mapesa kibao wachezaji average unategemea nini.
 
Sio kweli bhn, mbn wachezaji walikuwa wanakaa miaka mingi tu enzi zile? Tatizo ni timu iko hovyo kwa ss.
Hao waliokaa ni kina nani? Core ya Timu yetu ilikuwa na watu wa ulaya wengi, Tevez alikimbia, Heinze ndio original Snake hata kabla ya Di maria, kleberson kazingua, Veron kazingua, Forlan kazingua etc.

Wachezaji ambao tulikaa nao kidogo ni Rafael, Fabio, Valencia na Anderson, na hawa wawili Rafael na Fabio wametoka academy hivyo walikulia pale Valencia Tayari alikua na Uzoefu pia tulimtoa wigan, Anderson pekee ndio ali adapt.

Wachezaji wa Ulaya wengi wanafit Man U mfano kutoka Uholanzi tuna malegend wengi, Ufaransa, Ureno etc
 
Hao waliokaa ni kina nani? Core ya Timu yetu ilikuwa na watu wa ulaya wengi, Tevez alikimbia, Heinze ndio original Snake hata kabla ya Di maria, kleberson kazingua, Veron kazingua, Forlan kazingua etc.

Wachezaji ambao tulikaa nao kidogo ni Rafael, Fabio, Valencia na Anderson, na hawa wawili Rafael na Fabio wametoka academy hivyo walikulia pale Valencia Tayari alikua na Uzoefu pia tulimtoa wigan, Anderson pekee ndio ali adapt.

Wachezaji wa Ulaya wengi wanafit Man U mfano kutoka Uholanzi tuna malegend wengi, Ufaransa, Ureno etc
Rafael na fabio walikuwa academy ya mufc ? walisainiwa 2008
 
Back
Top Bottom