Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliekuwa target ya Man Utd kwa kipindi kirefu, Kalvin Phillips hatimae amesajiliwa na Man City😆
mpango wa kumsajili kelphin phillips ulishasitishwa tokea mwishoni mwa mwezi may, upinzani wa jadi uliopo dhidi ya leeds umekuwa chanzo kikuu kwa kalphin kujiweka mbali na ofa ya manchester united. Lakini swali linakuja mbona leeds united waliuziwa daniel james kutoka manchester united.
 
mpango wa kumsajili kelphin phillips ulishasitishwa tokea mwishoni mwa mwezi may, upinzani wa jadi uliopo dhidi ya leeds umekuwa chanzo kikuu kwa kalphin kujiweka mbali na ofa ya manchester united. Lakini swali linakuja mbona leeds united waliuziwa daniel james kutoka manchester united.
Alan smith, Rio ferdinand, Eric Cantona, Dani James, Borthwick Jackson etc.

Philips ni Type za Kina RR sidhani kama ETH ana Time naye.
 
Alan smith, Rio ferdinand, Eric Cantona, Dani James, Borthwick Jackson etc.

Philips ni Type za Kina RR sidhani kama ETH ana Time naye.
nakubaliana na mtazamo wako, nyuma ya pazia upo uwezekano mkubwa wa ten hag kusitisha mchakato wa kusajiliwa kwa phillips ambaye alishalengwa na scouts.
 
Kwa mujibu wa david ornstein: jorge mendez ambaye ni wakala wa ronaldo alikutana na kufanya mazungumzo na mmiliki mpya wa chelsea. Miongoni mwa ajenda walizozungumza ni mustakabali wa ronaldo. Haijajulikana chelsea watarespond vipi juu ya pendekezo hilo.
 
Kwa mujibu wa david ornstein: jorge mendez ambaye ni wakala wa ronaldo alikutana na kufanya mazungumzo na mmiliki mpya wa chelsea. Miongoni mwa ajenda walizozungumza ni mustakabali wa ronaldo. Haijajulikana chelsea watarespond vipi juu ya pendekezo hilo.
Mendez anamjua Mganga wa Diego costa? Maana kizizi cha Drogba hakijaondoka Chelsea, kama anataka kumaliza Career yake aende huko.
 
FDJ laini Sana ,yule kwa epl atajuta ,

man u mkumbuke sub Ni 5 msimu huu,

Kufika October mtakuwa mshaandamana kwa mmiliki wa timu ,hamna uvumilivu kabisa

Sitashangaa ETH asimalize msimu
 
FDJ laini Sana ,yule kwa epl atajuta ,

man u mkumbuke sub Ni 5 msimu huu,

Kufika October mtakuwa mshaandamana kwa mmiliki wa timu ,hamna uvumilivu kabisa

Sitashangaa ETH asimalize msimu
EtH hatamaliza msimu!?

FDJ mlaini kwa maana ipi? Halafu FDJ hachezi CDM.

Sub 5 maana yake nini kwetu?

Maandamano yanaweza kufanyika hata kabla ya msimu kuanza.
 
Gabriel Jesus will fly to England this week in order to undergo medicals and sign the contract valid until June 2027 as new Arsenal player. #AFC

Manchester City will now focus on Raheem Sterling deal after selling Jesus - with Chelsea preparing a new bid.
 
Leo Ndo tunaanza mazoezi lakini hakuna sura mpya hii timu dah.
Screenshot_20220627-100548.jpg
 
Back
Top Bottom