Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa mujibu wa david ornstein: jorge mendez ambaye ni wakala wa ronaldo alikutana na kufanya mazungumzo na mmiliki mpya wa chelsea. Miongoni mwa ajenda walizozungumza ni mustakabali wa ronaldo. Haijajulikana chelsea watarespond vipi juu ya pendekezo hilo.
 
Kwa mujibu wa david ornstein: jorge mendez ambaye ni wakala wa ronaldo alikutana na kufanya mazungumzo na mmiliki mpya wa chelsea. Miongoni mwa ajenda walizozungumza ni mustakabali wa ronaldo. Haijajulikana chelsea watarespond vipi juu ya pendekezo hilo.
Mendez anamjua Mganga wa Diego costa? Maana kizizi cha Drogba hakijaondoka Chelsea, kama anataka kumaliza Career yake aende huko.
 
FDJ laini Sana ,yule kwa epl atajuta ,

man u mkumbuke sub Ni 5 msimu huu,

Kufika October mtakuwa mshaandamana kwa mmiliki wa timu ,hamna uvumilivu kabisa

Sitashangaa ETH asimalize msimu
 
FDJ laini Sana ,yule kwa epl atajuta ,

man u mkumbuke sub Ni 5 msimu huu,

Kufika October mtakuwa mshaandamana kwa mmiliki wa timu ,hamna uvumilivu kabisa

Sitashangaa ETH asimalize msimu
EtH hatamaliza msimu!?

FDJ mlaini kwa maana ipi? Halafu FDJ hachezi CDM.

Sub 5 maana yake nini kwetu?

Maandamano yanaweza kufanyika hata kabla ya msimu kuanza.
 
Gabriel Jesus will fly to England this week in order to undergo medicals and sign the contract valid until June 2027 as new Arsenal player. #AFC

Manchester City will now focus on Raheem Sterling deal after selling Jesus - with Chelsea preparing a new bid.
 
Leo Ndo tunaanza mazoezi lakini hakuna sura mpya hii timu dah.
Screenshot_20220627-100548.jpg
 
Kuanza kavukavu ni ishara tu kwamba mwanzo mbaya.

Na kama Barca wanataka magiure what's so important kwake? Si aende!
 
Pre-season imeanza kambi haina sura mpya ata moja...NGOJA TUONE iyo game ya Taiwan itakuake
 
Back
Top Bottom