Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuanza kavukavu ni ishara tu kwamba mwanzo mbaya.

Na kama Barca wanataka magiure what's so important kwake? Si aende!
 
Tuieni hivyo hivyo
IMG_20220627_130030.jpeg
 
Pre-season imeanza kambi haina sura mpya ata moja...NGOJA TUONE iyo game ya Taiwan itakuake
 
Inabidi msajili zaidi ya wachezaji 8 dirisha hili
Tofauti na hapo msiingize timu uwanjani, walai vile. Mtapelekewa moto hadi na waliopanda daraja

Alafu rashford, Bruno, magwaya, Fred hawa hawakutakiwa kuwa na likizo kabisa
 
Back
Top Bottom