Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hivi wakuu timu inaondoka lini kuweka kambi la kuanza msimu mpya maana naona mechi yetu ya kwanza itakuwa dhidi ya Liverpool tarehe 12/7.
 
hivi wakuu timu inaondoka lini kuweka kambi la kuanza msimu mpya maana naona mechi yetu ya kwanza itakuwa dhidi ya Liverpool tarehe 12/7.
Wachezaji wote ambao hawakucheza mechi za kimataifa wanahitajika kurudi tarehe 27, JUNE itakuwa jumatatu.
 
De jong hachezi 10, sio kama Fernandez, Kipindi wanacheza ajax Van De Beek ndio alikuwa anacheza mbele kama kiungo mshabuliaji, na FDJ alikuwa nyuma.

Kwa sisi man U hatukuwa tukicheza na Regista ndio maana unaona kwetu idea ya regista si kubwa.

Ila angalia majirani zetu Chelsea Kante anacheza na Jorginho, huyu Jorginho si mkabaji ila anakaa Nyuma, Mount ama Havertz anakuwa mbele.

Sasa fikiria Mount kama Bruno na FDJ kama Jorginho.

Linabaki sasa swali la mwisho nani atakuwa kante wetu? patner wa FDJ ambaye atamkabia? Fred ama DM mpya?.
Yeah sure bro .Ten Hag hamtaki de Jong kuwa mkabaji anatakaka de Jong ka mtu wa kwanza kurecieve mpira kwa mabeki na kuipeleka mbele kwa usahihi kitu ambacho Fred na mcsauce hawana. Ka Chelsea jorginho n holding ila kante mkabaji
 
Nachoona kwa upande wangu labda kocha hana mpango wa kuingia sokoni kwenye dirisha la msimu huu.

Labda kocha anataka kuingia na kikosi hiki hiki msimu mpya aanze nacho.

Maana Manchester sio kwamba tuna kikosi kabaya sana labda ni mbinu za makocha tu zilishindwa.

Mimi hata tusipo fanya usajili naona sawa tu maana wachezaji tunao kibao kwakuwa kocha ana jenga timu naona tu asitumie nguvu kubwa kwenye dirisha hili maana wachezaji wenye wapo haja fanya nao kazi hata kidogo.

Mimi naona msimu wa 2023/2024 ndo tunaweza kufanya cha maana kwenye usajili sio dirisha hili.
Nakubalianaa na ww endapo tutaongeza nguvu kwenye midfield. Tukimpata FDJ na DM mmoja.
 
Tuna Julian Ward huyu ni moto mwingine... Ile policy ya recruit from within imesaidia sana hii transition maana wengi walihofu baada ya Edwards itakua aje nadhani jibu unalo baada ya kuwapora chap Tottenham Diaz January na Nunez Manchester United nao wakamkosa kwa mbinu kali sana kutoka Ward.

Tupo kwenye mikono salama.

Tunamtakia mema Edwards. Fununu kadhaa zinatajwa kwanza ilikua Barcelona, Ajax, Manchester United na Chelsea.

Popote atakapopata kazi no hard feelings aisee.
Kwetu kafanya mengi mazuri sana kwa hio miaka 10 aliyokaa nasi ni BIG UP kwake.

YNWA
 
Kuna gepuu kubwa kwenye kikosi wameondoka wachezaji karibu wa 6
Cavan
Mata
Lingard
Pogba
Matic
Greenwood

Apa kwa haraka ili kubalance kikosi atleast tusajili wachezaji 4 d
Ili depth ya kikosi iwe sawa..ukumbuke tuna Europa League na Premier League michuano yote tunatafuta nafasi nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
bado hatujawa na usawa wa kikosi licha ya kuondoka kwa hao wachezaji 6 uliowataja, changamoto kubwa tulionayo ni kuwa na kundi kubwa la wachezaji wenye taathira ndogo sana ya kiuchezaji jambo linalopelekea kuwa frustrated.

licha ya kuondoka kwa hao wachezaji walioishiwa mikataba yao lakini bado tunao wachezaji hawa wa kikosi cha kwanza waliotolewa mkopo, bahati mbaya sana hakuna mwenye uwezo wa kufikia matarajio yetu ndio maana tunawaza usajili.

facundo pellistri + amad + anthony martial + tuanzebe + james garner +tahit chong + teden mengi + levitt​
 
bado hatujawa na usawa wa kikosi licha ya kuondoka kwa hao wachezaji 6 uliowataja, changamoto kubwa tulionayo ni kuwa na kundi kubwa la wachezaji wenye taathira ndogo sana ya kiuchezaji jambo linalopelekea kuwa frustrated.

licha ya kuondoka kwa hao wachezaji walioishiwa mikataba yao lakini bado tunao wachezaji hawa wa kikosi cha kwanza, bahati mbaya sana hakuna mwenye uwezo wa kufikia matarajio yetu ndio maana tunawaza usajili.

facundo pellistri + amad + anthony martial + tuanzebe + james garner +tahit chong + teden mengi.​
Tuna mabeki wa kati 7, Maguire, Varane, lindelof, Bailly, Jones, Tuanzebe na Mengi hapo Mpaka wauzwe watatu ama zaidi ndio tuanze kufikiria mengine.

Winga wa Kulia Tumenunua sana Sasa hivi elanga anacheza Kule, Amad, Pellistri na Sancho ukitoa Sancho wengine hawaeleweki eleweki ngoja Kocha awaangalie wengine watoke kwa Mkopo.

No 10 nayo kama Anakuja Eriksen ina maana wapo wengi pia, VDB, Bruno, Perreira na Eriksen inabidi auzwe Perreira hapo.

Sehemu pekee ambayo hakuna watu wa kutosha ni Striker.
 
Mashabiki wa United tukisubiri transfer news
20220623_155114.jpg
 
Hivi Henderson anatolewa kisa nini?..

Hatoshi kuwa 2nd goalkeeper..au anataka game time ya kutosha?

Hii move sijaielewa kabisa.
Naona kocha kachagua De Gea awe no 1 msimu ujao. Dean anataka game time watoto wanaibuka tu pale England kila leo, anahofia kupotea kabisa nadhani
 
Hii timu hii sasa wachezaji wanatoka tu sasa wanatoa kipa kijana huyu mbona akili za hii timu sizielewi.View attachment 2270766
Henderson ni kipa mzuri na yeye kulazimisha kupewa mechi za kutosha ni suala linaeleweka kabisa. Kitu kizuri United hawajauza kabisa maana bado kama watu hawana uhakika pale Sheffield United (PL) ni one season wonder au vipi? Hii move nzuri sana kwake na kocha, mwisho wa msimu kocha atapata picha nzuri kipa yupi anamfaa kwenye timu yake maana rebuild ndiyo kwanza inaanza.
 
Hivi Henderson anatolewa kisa nini?..

Hatoshi kuwa 2nd goalkeeper..au anataka game time ya kutosha?

Hii move sijaielewa kabisa.
Henderson hawezi kukubali Kuwa choice no 2, ni kipa mzuri kwa Timu yoyote ile midtable epl pale. Aliwafikisha Shefield mpaka nafasi ya 6 kabla ya Corona.
 
Back
Top Bottom