Cactus_assa
Member
- May 26, 2021
- 58
- 100
Ukiacha greenwood hakuna mchezaji pale utd yupo Comfortable upande wa kulia .n greenwood bado kizingumkuti mpk mda huu
Antony anaspeed so anaeza cover alot of space
Ukiacha greenwood hakuna mchezaji pale utd yupo Comfortable upande wa kulia .n greenwood bado kizingumkuti mpk mda huu
Anacheza CAM, squad depth pia ni muhimu eneo hilo. Eriksen ni mkali zaidi ya Bruno kwenye playmaker role lakini itakuwa ni ngumu sana yeye kuanza kila mechi. EPL mechi 38, Europa mechi 6 group stage + 8 knockout stage, FA Cup & League Cup. Mechi ni nyingi sana lazima kuwe na rotation ili ku-compete kila mashindano.
Issue mkuu ETH ana mifumo mingi kama anatumia False 9 bila Striker maalum anatufaa sana Tu maana wanaweza cheza wote yeye, Sancho na mwengine kama Rashford, ila kama tunacheza Traditional 4231 na Ronaldo mbele basi lazma mtu akae benchi.Chief-Mkwawa Daemushin
Huyu Anthony anatufaa?..
Mimi naona Yes ataongeza depth sana..
But maeneo yetu ya msingi ya DM,RB,No9,CB ni lazima tuyama
Hana uwezo au
Jadon Sancho ni right wing mkuu na siyo left wingUkiacha greenwood hakuna mchezaji pale utd yupo Comfortable upande wa kulia .n greenwood bado kizingumkuti mpk mda huu
Antony anaspeed so anaeza cover alot of space
De Jong hawezi kusimama kama DM na sijawahi kumuona akicheza hivyo.Issue mkuu ETH ana mifumo mingi kama anatumia False 9 bila Striker maalum anatufaa sana Tu maana wanaweza cheza wote yeye, Sancho na mwengine kama Rashford, ila kama tunacheza Traditional 4231 na Ronaldo mbele basi lazma mtu akae benchi.
Itategemea na Bei.
Na nafikiri De jong ndio DM wetu, akija De jong na Eriksen sidhani kama Atakuja mwengine.



Schone hakucheza Nyuma ya FDJ Ajax alikuwa mbele ya FDJ, De jong ni regista kama Pirlo, Alonso, Carrick etcDe Jong hawezi kusimama kama DM na sijawahi kumuona akicheza hivyo.
Pale Ajax alikuwa akicheza na Schone na VDB mid 3 huku Frenkie akicheza kama CM na Schone akicheza kama DM.
Barcelona anacheza na Sergio Bosquets na yeye anacheza kama CM.
Hapo United DM atakuja kucheza nani ???
Hili timu ni muda wa kuacha kuliangalia litatuua hili tusipokuwa makini.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwangu de jong namuona ni aina ya bruno na Fernandez ambao wote tunao labda kama anakuja tu kuongeza uwingi wa wachezaji kwangu Fernandez ni bora kuliko de jong sisi naona tunaitaji sana defensive midfielder kuliko kitu chochote pale OT.Schone hakucheza Nyuma ya FDJ Ajax alikuwa mbele ya FDJ, De jong ni regista kama Pirlo, Alonso, Carrick etc
Regista Hakabi na kufanya Tackling kama DM wa kawaida ila anakaa Deep kabisa
Hizi ni screenshot nimezitoa jukwaa la Man U reddit za Average position Ajax mechi zote mbili za Madrid na Juve
View attachment 2269091
View attachment 2269092View attachment 2269093View attachment 2269094
Screenshot zote zinaonesha FDJ anacheza deep kuliko schone Fdj ni namba 21 na schone 20. Juzi hapa baada ya mechi uholanzi alimcriticise xavi kwamba yeye anapenda kuwa wa kwanza kupokea Mpira kutoka kwa mabeki na akicheza juu quality zake hazionekani.
Pia Pirlo alikuwa hivi hivi Juve, anakaa deep kabisa japo yeye sio mkabaji na mbele yake kunakua na Pogba, Marchisio na Vidal.
De jong hachezi 10, sio kama Fernandez, Kipindi wanacheza ajax Van De Beek ndio alikuwa anacheza mbele kama kiungo mshabuliaji, na FDJ alikuwa nyuma.Kwangu de jong namuona ni aina ya bruno na Fernandez ambao wote tunao labda kama anakuja tu kuongeza uwingi wa wachezaji kwangu Fernandez ni bora kuliko de jong sisi naona tunaitaji sana defensive midfielder kuliko kitu chochote pale OT.
kwa mwendo tunaokwenda nao bila ya shaka scott mctominay ndiye atakayecheza kwa sababu fred hayupo comfortable kutokea upande wa kuliaLinabaki sasa swali la mwisho nani atakuwa kante wetu? patner wa FDJ ambaye atamkabia? Fred ama DM mpya?.
nafasi anayocheza frankie de jong sidhani kama bruno fernandez anaweza kucheza kwa ufasaha hata kama utamuahidi mshahara wa paundi millioni 1 kwa wiki.Kwangu de jong namuona ni aina ya bruno na Fernandez ambao wote tunao labda kama anakuja tu kuongeza uwingi wa wachezaji kwangu Fernandez ni bora kuliko de jong sisi naona tunaitaji sana defensive midfielder kuliko kitu chochote pale OT.
Hili nalo neno mkuu, FDJ anacheza kushoto, McTominay uchezaji wake ni kama FDJ aliechoka, same type of players, maybe Tutacheza Diamond ili ku wa Accomodate wote FDJ na Fred. Ngumu sana kujua Huyu kocha anaplan nini. Ngoja tuone.kwa mwendo tunaokwenda nao bila ya shaka scott mctominay ndiye atakayecheza kwa sababu fred hayupo comfortable kutokea upande wa kulia
tukumbuke frankie de jong anacheza zaidi upande wa kushoto.
mpaka muda hakuna tetesi yeyote ya kusajili kiungo wa kati wa asili zaidi ya frankie de jong.
tumempotezea vitinha, palhinha, enzo fernandez, bissouma, ruben nevez
jicho langu linaniambia tunalazimishwa tuwe na kiungo muingereza hapo chini, kuna uwezekano msimu ujao zikaelekezwa nguvu kwa jude belingham au declan rice.