shakwenya
Senior Member
- Mar 5, 2017
- 177
- 303
Hahah...Tulia usajili wa ajabu ajabu hakuna saiv kulazimisha mchezaji kama ilivyokuwa kipind tunamchukua lukaku hukuna tena.. Nunez amewaumiza wengi mlikuwa na mategemeo makubwaNi swala la muda tu ,ila hii man utd inaenda kuharibikiwa na hakuna mchezaji yeyote star anayewaza kufika mbali anaweza sogeza mkono wake na pen kutia Saini kwa hii timuwalahi naapia kwa mwenyezi Mungu hakuna ....hata huyo Ronaldo kaja kula pension tu na ulegend+ mashabiki wanaomkubali kwani anaelekea ukingoni ...!


Sent using Jamii Forums mobile app

