Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni swala la muda tu ,ila hii man utd inaenda kuharibikiwa na hakuna mchezaji yeyote star anayewaza kufika mbali anaweza sogeza mkono wake na pen kutia Saini kwa hii timu walahi naapia kwa mwenyezi Mungu hakuna ....hata huyo Ronaldo kaja kula pension tu na ulegend+ mashabiki wanaomkubali kwani anaelekea ukingoni ...!
Hahah...Tulia usajili wa ajabu ajabu hakuna saiv kulazimisha mchezaji kama ilivyokuwa kipind tunamchukua lukaku hukuna tena.. Nunez amewaumiza wengi mlikuwa na mategemeo makubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni swala la muda tu ,ila hii man utd inaenda kuharibikiwa na hakuna mchezaji yeyote star anayewaza kufika mbali anaweza sogeza mkono wake na pen kutia Saini kwa hii timu walahi naapia kwa mwenyezi Mungu hakuna ....hata huyo Ronaldo kaja kula pension tu na ulegend+ mashabiki wanaomkubali kwani anaelekea ukingoni ...!
Acha kujichekesha huku Wewe nenda kafufue uzi wenu kule una wiki sasa amna mchangiaji hata mmoja.
 
Acha kujichekesha huku Wewe nenda kafufue uzi wenu kule una wiki sasa amna mchangiaji hata mmoja.

Niko hapa pembeni ....

Akija mchezaji yeyote wa maana akachukua pen na karatasi kutia Saini kwa hii man utd niite mbwa ..!

RR mwenyewe kashaona hii timu ni mzoga ,kaamua kuvunja mkataba
 
Katika muda ambao man city na Liverpool zinatambulisha nunez na halaand man u wao wapo kwny kuhusishwa na kila mchezaji
 
Mkuu Issue ya Alvarez ilikuwa nje ya Uwezo wetu, Man City wanamtangaza Leo Alvarez haikuchukua Siku nyingi yule Pimbi Greenwood anafanya yake.

Kwa Greenwood tulikuwa Tayari tuna future Top striker tunamkuza Taratibu, ndio maana Hatukuwa na Umuhimu wa kutafuta Striker wakati una Ronaldo, Cavani na Greenwood.

Pia mimi naungana na ETH, kikosi chetu si kibaya kama watu wanavyotaka kutuaminisha, yazibwe tu Mapengo, priority iwe midfielder, Board ikinunua Midfielder 2 za kazi, beki wa pembeni, na Backup striker Tunaanza vizuri tu Msimu wetu, then kuanzia hapo ndio tutajua mbivu na mbichi, ambaye hatajituma na kumsikiliza mwalimu safari yake ndio itaishia hapo.
Kaka nakuelewa sn na inaonekana timu ubaijua mda mrefu sn naona mashabiki wengi wamekalia ushabiki kuliko uhalisia
 
Hii timu kocha mpya akija anaona inahitaji marekebisho machache hata RR alisema hivyo lakini baada ya kufundisha ndio akajua kuwa kazi iliyopo ni ngumu sana na the way wachezaji walivyokuwa wancheza msimu uliopita kocha alikuwa sahihi kusema timu inahitaji kununua wachezaji wengi na kibaya zaidi ni kuwa tayari our main competitors(Liverpool & City) wako kwenye peak.Vikosi vyao vimeshakamilika na still wanaendelea kuboresha
Utd wamekosa mazoez ya maana na ndio mana hata ralf alisema wanshindwa mudu pressing na ndio mana th amesema ataanza nao mapema zaid kabla ya wiki 2ya ratiba kamili hivo sina shaka kuwa watacopy tu
 
Utd inahitaji wachezaji wanne had watano kwa msimu huu na nawapongeza sn mabos wapya wa sasa wako makin sn kutoa hela mana wanajua jins tulivyoumizwa huko nyuma

Mchezaji kama nunez mwache aende liverpool sbb liverpool wanahitaji mchezaji mmoja tu au wawili kwa kikos chao hivo kutoa hela kama ile kwa nunez wala sio shida kwao sbb tayar kikos chao kimeshehen
Hata hivo kiuhalisia nunez sio wa bei hio na hapo ndo naisifu bod ya utd ya sasa

Kipaumbele na mido ndio mana wamekomaa na fdj na neves wa wolves

Sasa hebu jiulize kama unajua mpira kweli kama ukifanikiwa kuwapata nees na fdj nini kitatokea pale utd chin ya th
Kocha anajua anachokifanya na mm sina shaka na jamaa katika kufundisha suala la msingi tusijipe mategemeo makubwa sn msimu sbb kwanza jamaa ndo anaanza

Utd bado wana option nyingi tu zinazoweza patikana na wakafanya vizur hivo ss kama mashabiki tupunguze mihemheko na ujuaji mwingi

Liverpool kwanza walikua hawana namna mana washaona haland katua city ww ulitegemea wasilipe ile hela?

Timu ya usajili ya man u ipo makin sn hio ni sbb ya makosa yaliofanyika huko nyuma na ninawapongeza sn kwa hilo mana mashabiki kindakindaki wa utd wanajua kuwa timu ilitakiwa kujengwa kama hivi tunavyokwenda sasa na kocha apewe mamlaka kamiki na kocha apendekeze wachezaji mwenyewe sio kama muun edwood alivyokuwa anafanya
 
Utd inahitaji wachezaji wanne had watano kwa msimu huu na nawapongeza sn mabos wapya wa sasa wako makin sn kutoa hela mana wanajua jins tulivyoumizwa huko nyuma

Mchezaji kama nunez mwache aende liverpool sbb liverpool wanahitaji mchezaji mmoja tu au wawili kwa kikos chao hivo kutoa hela kama ile kwa nunez wala sio shida kwao sbb tayar kikos chao kimeshehen
Hata hivo kiuhalisia nunez sio wa bei hio na hapo ndo naisifu bod ya utd ya sasa

Kipaumbele na mido ndio mana wamekomaa na fdj na neves wa wolves

Sasa hebu jiulize kama unajua mpira kweli kama ukifanikiwa kuwapata nees na fdj nini kitatokea pale utd chin ya th
Kocha anajua anachokifanya na mm sina shaka na jamaa katika kufundisha suala la msingi tusijipe mategemeo makubwa sn msimu sbb kwanza jamaa ndo anaanza

Utd bado wana option nyingi tu zinazoweza patikana na wakafanya vizur hivo ss kama mashabiki tupunguze mihemheko na ujuaji mwingi

Liverpool kwanza walikua hawana namna mana washaona haland katua city ww ulitegemea wasilipe ile hela?

Timu ya usajili ya man u ipo makin sn hio ni sbb ya makosa yaliofanyika huko nyuma na ninawapongeza sn kwa hilo mana mashabiki kindakindaki wa utd wanajua kuwa timu ilitakiwa kujengwa kama hivi tunavyokwenda sasa na kocha apewe mamlaka kamiki na kocha apendekeze wachezaji mwenyewe sio kama muun edwood alivyokuwa anafanya
Mpira wa sasa hela ndo inaongea.

Wachezaji kuuzwa juu ya €100M utaanza kuona kawaida.

Man Utd ibadilike, itoe mpunga watu wafanye kazi.

Nina uhakika ETH anatafuta cheaper options maana watu wa uhakika huwezi wapata kwa hela ya mbuzi.
 
Utd inahitaji wachezaji wanne had watano kwa msimu huu na nawapongeza sn mabos wapya wa sasa wako makin sn kutoa hela mana wanajua jins tulivyoumizwa huko nyuma

Mchezaji kama nunez mwache aende liverpool sbb liverpool wanahitaji mchezaji mmoja tu au wawili kwa kikos chao hivo kutoa hela kama ile kwa nunez wala sio shida kwao sbb tayar kikos chao kimeshehen
Hata hivo kiuhalisia nunez sio wa bei hio na hapo ndo naisifu bod ya utd ya sasa

Kipaumbele na mido ndio mana wamekomaa na fdj na neves wa wolves

Sasa hebu jiulize kama unajua mpira kweli kama ukifanikiwa kuwapata nees na fdj nini kitatokea pale utd chin ya th
Kocha anajua anachokifanya na mm sina shaka na jamaa katika kufundisha suala la msingi tusijipe mategemeo makubwa sn msimu sbb kwanza jamaa ndo anaanza

Utd bado wana option nyingi tu zinazoweza patikana na wakafanya vizur hivo ss kama mashabiki tupunguze mihemheko na ujuaji mwingi

Liverpool kwanza walikua hawana namna mana washaona haland katua city ww ulitegemea wasilipe ile hela?

Timu ya usajili ya man u ipo makin sn hio ni sbb ya makosa yaliofanyika huko nyuma na ninawapongeza sn kwa hilo mana mashabiki kindakindaki wa utd wanajua kuwa timu ilitakiwa kujengwa kama hivi tunavyokwenda sasa na kocha apewe mamlaka kamiki na kocha apendekeze wachezaji mwenyewe sio kama muun edwood alivyokuwa anafanya
Timu ya usajili ya Man United haiko makini tusidanganyane mkuu.
 
Mpira wa sasa hela ndo inaongea.

Wachezaji kuuzwa juu ya €100M utaanza kuona kawaida.

Man Utd ibadilike, itoe mpunga watu wafanye kazi.

Nina uhakika ETH anatafuta cheaper options maana watu wa uhakika huwezi wapata kwa hela ya mbuzi.
This is very true ukiangalia miaka ya mwanzoni mwa 2000 mchezaji anayeuzwa 80 au 60 ni proven player yaan anaenda kudeliver 100%

Ila kwasasa hiyo 100 ni kwaajili ya potential player (not matured enough) i.e nunez

Btw: Naamini usajili wa middle 2 msimu huu itakua mafanikio ya awali
 
Mpira wa sasa hela ndo inaongea.

Wachezaji kuuzwa juu ya €100M utaanza kuona kawaida.

Man Utd ibadilike, itoe mpunga watu wafanye kazi.

Nina uhakika ETH anatafuta cheaper options maana watu wa uhakika huwezi wapata kwa hela ya mbuzi.

Liverpool na ubahili wao wote wamemwaga £80million + £20 mill kalibia £100 million Kwa Darwin 😅😅😅...!

Siku hizi hakuna mchezaji cheap ,labda ukanunue wachezaji wa mafungu kama wa arsenal,pepe,sijui ordegard ....
 
Back
Top Bottom