Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na akija kuwa kimeo wataimba
Liverpool na ubahili wao wote wamemwaga £80million + £20 mill kalibia £100 million Kwa Darwin 😅😅😅...!

Siku hizi hakuna mchezaji cheap ,labda ukanunue wachezaji wa mafungu kama wa arsenal,pepe,sijui ordegard ....
 
Mpira wa sasa hela ndo inaongea.

Wachezaji kuuzwa juu ya €100M utaanza kuona kawaida.

Man Utd ibadilike, itoe mpunga watu wafanye kazi.

Nina uhakika ETH anatafuta cheaper options maana watu wa uhakika huwezi wapata kwa hela ya mbuzi.
Ibadilike vp msimu uliopita tumesajili Sancho kwa pesa ndefu varane na Ronaldo....sasa ww unataka itoepesa kias gan au unataka tuwe kama PSG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Everton imemshinda? Angalia alivyoondoka Timu ilikuwa inashuka Daraja, msimu uliopita Everton walikuwa nafasi ya 10 wakiwa na 59 ambazo ni point 2 tu Nyuma ya Arsenal na Point 3 Nyuma ya spurs na Point 8 waingie Top 4. Ila msimu huu chupu chupu washuke Daraja, Unapata wapi Guts za kusema Alifanya Vibaya?.

Everton kwa misimu kama 5 wanasajili tu Attacking midfielder, wanaweza fika hata 8 wote wanacheza position moja, na jamaa kaimudu timu.

Na kocha yeyote wa system hawezi kufanya Vizuri na kundi la wachezaji tu, Nikukumbushe tu msimu wa kwanza Klop kamaliza nafasi ya 8,
Ni kweli kabisa carlo ni bonge la manager huwezi fananisha na mapimbi wengine.
 
Kocha alisema anatamani mpaka pre season inaanza awe kapata wachezaji anaowataka ila mpaka leo hamna hata mmoja aliekuja na zimebaki wiki 2 sijui.
sasa kama de jong hadi leo hawajamchukua hao wengine itakuwaje?? tusishangae tukaanza msimu bado tunapambana na mchezaji mmoja.
Liver kaingilia dili letu hata wiki haijaisha washabeba tunasema hatuna haraka hahha okay wacha tuone ila binafsi sielewi wanataka kusajili nini mpaka sasa.
 
Kocha alisema anatamani mpaka pre season inaanza awe kapata wachezaji anaowataka ila mpaka leo hamna hata mmoja aliekuja na zimebaki wiki 2 sijui.
sasa kama de jong hadi leo hawajamchukua hao wengine itakuwaje?? tusishangae tukaanza msimu bado tunapambana na mchezaji mmoja.
Liver kaingilia dili letu hata wiki haijaisha washabeba tunasema hatuna haraka hahha okay wacha tuone ila binafsi sielewi wanataka kusajili nini mpaka sasa.
Kuwa mpolee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man City wanataka wafanye swap deal ya BS na De jong. Yaani Man u kwenye usajili unasubiri tuu deadline uone wamefanya nn ukiwafuatilia utalia
Yani Barcelona ni lazima auze, hawezi kuswap na City unless kutokee maajabu na mtu Atoe mpunga awape Barca. Kifupi hawana hela ya kumleta Lewandoski, Kessie, Christensen, Azpilicueta etc. Na wama deni la kutosha, inabidi wauze.
 
Utd inahitaji wachezaji wanne had watano kwa msimu huu na nawapongeza sn mabos wapya wa sasa wako makin sn kutoa hela mana wanajua jins tulivyoumizwa huko nyuma

Mchezaji kama nunez mwache aende liverpool sbb liverpool wanahitaji mchezaji mmoja tu au wawili kwa kikos chao hivo kutoa hela kama ile kwa nunez wala sio shida kwao sbb tayar kikos chao kimeshehen
Hata hivo kiuhalisia nunez sio wa bei hio na hapo ndo naisifu bod ya utd ya sasa

Kipaumbele na mido ndio mana wamekomaa na fdj na neves wa wolves

Sasa hebu jiulize kama unajua mpira kweli kama ukifanikiwa kuwapata nees na fdj nini kitatokea pale utd chin ya th
Kocha anajua anachokifanya na mm sina shaka na jamaa katika kufundisha suala la msingi tusijipe mategemeo makubwa sn msimu sbb kwanza jamaa ndo anaanza

Utd bado wana option nyingi tu zinazoweza patikana na wakafanya vizur hivo ss kama mashabiki tupunguze mihemheko na ujuaji mwingi

Liverpool kwanza walikua hawana namna mana washaona haland katua city ww ulitegemea wasilipe ile hela?

Timu ya usajili ya man u ipo makin sn hio ni sbb ya makosa yaliofanyika huko nyuma na ninawapongeza sn kwa hilo mana mashabiki kindakindaki wa utd wanajua kuwa timu ilitakiwa kujengwa kama hivi tunavyokwenda sasa na kocha apewe mamlaka kamiki na kocha apendekeze wachezaji mwenyewe sio kama muun edwood alivyokuwa anafanya
Kongole mkuu ila jaribu kuimarisha mwandiko wako
 
Timu ya usajili ya Man United haiko makini tusidanganyane mkuu.
ukiondoa msimu wa 2007/08 ni dirisha lipi jengine la usajili tulilofanya vizuri, tulimsajili tevez, anderson, hargreavez, luis nani, rafael na fabio. Muda mwingi tulikuwa tunabebwa na nguvu ya sir alex. Wachezaji aliowasajili alitumia nguvu yake ya ushawishi kwa kufanya nao mazungumzo binafsi au wazazi wa wachezaji
 
Man City wanataka wafanye swap deal ya BS na De jong. Yaani Man u kwenye usajili unasubiri tuu deadline uone wamefanya nn ukiwafuatilia utalia
Ukisema hivyo matumbo yananiuma, naudhuka sana.

Nina hasira Sana na Liverpool sijui Kwa nini
 
Kocha alisema anatamani mpaka pre season inaanza awe kapata wachezaji anaowataka ila mpaka leo hamna hata mmoja aliekuja na zimebaki wiki 2 sijui.
sasa kama de jong hadi leo hawajamchukua hao wengine itakuwaje?? tusishangae tukaanza msimu bado tunapambana na mchezaji mmoja.
Liver kaingilia dili letu hata wiki haijaisha washabeba tunasema hatuna haraka hahha okay wacha tuone ila binafsi sielewi wanataka kusajili nini mpaka sasa.
De jong imeshndkana Mkuu kaangalie kwa Fabrizio jong mwenyewe amegoma mbwa yule...ndugu mashabiki tuendelee kusubiri sajili ya uhakika mpaka ssa ni moja tu yule dogo wa Ajax atasainiwa 90%
 
De jong imeshndkana Mkuu kaangalie kwa Fabrizio jong mwenyewe amegoma mbwa yule...ndugu mashabiki tuendelee kusubiri sajili ya uhakika mpaka ssa ni moja tu yule dogo wa Ajax atasainiwa 90%
De Jong hajagoma, yeye yupo huru kuondoka au kubaki, shida ni barca wanataka €85 sisi tulipeleka €60 + €10 kama adds on offer ambayo barca waligoma..
 
Back
Top Bottom