Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,142
Na akija kuwa kimeo wataimba
Liverpool na ubahili wao wote wamemwaga £80million + £20 mill kalibia £100 million Kwa Darwin 😅😅😅...!
Siku hizi hakuna mchezaji cheap ,labda ukanunue wachezaji wa mafungu kama wa arsenal,pepe,sijui ordegard ....
