D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
upo sahihi, hiyo page pia naifuatiliaKama unatumia Twitter pitia page ya @centredevils kila habari wana-indicate kama imetoka kwenye Highest quality source au Proven source zinazofuata ni Average reliability, Low reliability, Not reliable na Source under review so ni rahisi kujua habari ipi uamini na ipi usiamini.
watu wapunguze matarajio. Mimi next season natamani tu ku-enjoy soka safi, kombe angalau moja hata Carabao tu
ila ni ngumu maana bado tutakutana na miamba kama City na Liverpool so maybe Europa (I wish
) pamoja na kurudi kwenye Champions League tu.
