Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chukueni mzigo huo
FB_IMG_1654855889482.jpg
 
Hatupaswi kujiweka daraja moja na manchester city na liverpool kwa sasa, tupunguze kuwashwa washwa mdomo
Mzee unaupiga mwingi sana leo watu wapunguze matarajio. Mimi next season natamani tu ku-enjoy soka safi, kombe angalau moja hata Carabao tu ila ni ngumu maana bado tutakutana na miamba kama City na Liverpool so maybe Europa (I wish) pamoja na kurudi kwenye Champions League tu.
 
Hivi ni nini kimeikumba Barcelona?? Kosa gani kubwa walilolifanya lililopelekea wao kushuka kiuchumi kiasi hicho??

Aiseeeh
Inaitwa Bartonomics. Woodward mbovu ila Bartonomeu wa Barca alikuwa zaidi, alisajili tu wachezaji ovyo ovyo
Coutinho- 145M
Dembele- 130M
Griezman- 120M
De jong - 75M
Pjanic- 60M

Wachezaji 5 tu hao zaidi ya Euro Milioni 500, Jumla amespend zaidi ya 1B.

Ukiangalia kati ya hao wa 5 mmoja tu ndio angalau ana Afadhali, wengine wameflop,

Coutinho kauzwa Aston Villa 20m.

Baada ya kuspend hivyo na Covid ikaja wakawa na Deni kubwa sana kiasi hata kama Mesi angekubali kucheza kwa buku 2 wasingeweza Kumsajili.
 
umenisaidia sana kuvifahamu vyanzo vya taarifa vyenye uafadhali na rubbish, uzuri pia ukitembelea subreddit za timu wanakuwekea list ya chanzo sahihi na takataka. Vijarida uchwara sivifuatilii
Kama unatumia Twitter pitia page ya @centredevils kila habari wana-indicate kama imetoka kwenye Highest quality source au Proven source zinazofuata ni Average reliability, Low reliability, Not reliable na Source under review so ni rahisi kujua habari ipi uamini na ipi usiamini.
 
Kama unatumia Twitter pitia page ya @centredevils kila habari wana-indicate kama imetoka kwenye Highest quality source au Proven source zinazofuata ni Average reliability, Low reliability, Not reliable na Source under review so ni rahisi kujua habari ipi uamini na ipi usiamini.
upo sahihi, hiyo page pia naifuatilia
 
Hapo yanatengenezwa mazingira tupigwe tena kama kawaida, wacha aende Liverpool haina shida kuliko kutoa mapesa yote hayo kwa mchezaji aliyewika msimu mmoja alafu anatokea timu ndogo, huo ni upuuzi.
DIAZ + NUNEZ + SALAH kwa wale mabeki wenu walevi wa gongo, Tunakuja kuwafanyia matusi mengine Old traford.
 
Kama unatumia Twitter pitia page ya @centredevils kila habari wana-indicate kama imetoka kwenye Highest quality source au Proven source zinazofuata ni Average reliability, Low reliability, Not reliable na Source under review so ni rahisi kujua habari ipi uamini na ipi usiamini.
Mimi nafuatilia sources mbili tu, Romano fabrizo na hao jamaa centredevils.
 
laurie whitwell anasema hiyo taarifa ya jorge mendez kukutana na erik ten hag kwa dhumuni la kujadili usajili wa darwin nunez ni bogus, kwa maana ni feki
Ni Kweli Kabisa Mkuu Nimeona Pia Hata Romano Fabrizio Amekanusha Hakuna Kikao Chochote Kati Ya Ten Hag Na Mendes ila United Wanawasiliana Nae Tu.
 
Mzee unaupiga mwingi sana leo watu wapunguze matarajio. Mimi next season natamani tu ku-enjoy soka safi, kombe angalau moja hata Carabao tu ila ni ngumu maana bado tutakutana na miamba kama City na Liverpool so maybe Europa (I wish) pamoja na kurudi kwenye Champions League tu.
Umeongea ukweli mchungu.. ila ndo uhalisia wenyewe
 
Aya tukae kwa kutulia sasa Manchester tumejitoa kwenye mbio za kumuwania Nunez

Sent using Jamii Forums mobile app
david ornstein na james pearce kwa pamoja jana wameripoti taarifa ya darwin nunez kuhamia liverpool, ishu kubwa iliojadiliwa sasa ni mfumo wa malipo. james pearce ni tier 1 kwa taarifa za liverpool, huyu david ornstein akikwambia demu wako anatembea na daemushin unapaswa uamini hata kama huna uthibitisho.
 
Back
Top Bottom