D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Mpaka sasa barcelona hawajasajili mchezaji yeyote licha ya kufikia makubaliano na badhi ya wachezaji
Mzee unaupiga mwingi sana leoHatupaswi kujiweka daraja moja na manchester city na liverpool kwa sasa, tupunguze kuwashwa washwa mdomo
watu wapunguze matarajio. Mimi next season natamani tu ku-enjoy soka safi, kombe angalau moja hata Carabao tu
ila ni ngumu maana bado tutakutana na miamba kama City na Liverpool so maybe Europa (I wish
) pamoja na kurudi kwenye Champions League tu.Inaitwa Bartonomics. Woodward mbovu ila Bartonomeu wa Barca alikuwa zaidi, alisajili tu wachezaji ovyo ovyoHivi ni nini kimeikumba Barcelona?? Kosa gani kubwa walilolifanya lililopelekea wao kushuka kiuchumi kiasi hicho??
Aiseeeh
Kama unatumia Twitter pitia page ya @centredevils kila habari wana-indicate kama imetoka kwenye Highest quality source au Proven source zinazofuata ni Average reliability, Low reliability, Not reliable na Source under review so ni rahisi kujua habari ipi uamini na ipi usiamini.umenisaidia sana kuvifahamu vyanzo vya taarifa vyenye uafadhali na rubbish, uzuri pia ukitembelea subreddit za timu wanakuwekea list ya chanzo sahihi na takataka. Vijarida uchwara sivifuatilii
upo sahihi, hiyo page pia naifuatiliaKama unatumia Twitter pitia page ya @centredevils kila habari wana-indicate kama imetoka kwenye Highest quality source au Proven source zinazofuata ni Average reliability, Low reliability, Not reliable na Source under review so ni rahisi kujua habari ipi uamini na ipi usiamini.
DIAZ + NUNEZ + SALAH kwa wale mabeki wenu walevi wa gongo, Tunakuja kuwafanyia matusi mengine Old traford.Hapo yanatengenezwa mazingira tupigwe tena kama kawaida, wacha aende Liverpool haina shida kuliko kutoa mapesa yote hayo kwa mchezaji aliyewika msimu mmoja alafu anatokea timu ndogo, huo ni upuuzi.
Wapo watakao kupinga kwa hiliHatupaswi kujiweka daraja moja na manchester city na liverpool kwa sasa, tupunguze kuwashwa washwa mdomo
ETH angeweza kuexplore potential yake to the fullest sema ndo hivyo dogo ameua career yake mapema sana.Huyu digo anakipaji sana cha mpira alitakiwa aache utoto na uselfishi mapema.
Mimi nafuatilia sources mbili tu, Romano fabrizo na hao jamaa centredevils.Kama unatumia Twitter pitia page ya @centredevils kila habari wana-indicate kama imetoka kwenye Highest quality source au Proven source zinazofuata ni Average reliability, Low reliability, Not reliable na Source under review so ni rahisi kujua habari ipi uamini na ipi usiamini.
Ukimsikiliza mark yule wa utd stand kule youtube utacheka sana jamaa analialia kila siku kama sisi humuMimi nafuatilia sources mbili tu, Romano fabrizo na hao jamaa centredevils.
Ni Kweli Kabisa Mkuu Nimeona Pia Hata Romano Fabrizio Amekanusha Hakuna Kikao Chochote Kati Ya Ten Hag Na Mendes ila United Wanawasiliana Nae Tu.laurie whitwell anasema hiyo taarifa ya jorge mendez kukutana na erik ten hag kwa dhumuni la kujadili usajili wa darwin nunez ni bogus, kwa maana ni feki
Hapa unamaanisha tunaweza iona top 4. Au nimekuelewa vibaya?Tukiwa serious tunaweza kuwachallenge chelsea watakaowapoteza wachezaji wanne muhimu, arsenal wanaolazimika kuziba mashimo ya kikosi chao na tottenham hotspurs na sajili za conte style
Umeongea ukweli mchungu.. ila ndo uhalisia wenyeweMzee unaupiga mwingi sana leowatu wapunguze matarajio. Mimi next season natamani tu ku-enjoy soka safi, kombe angalau moja hata Carabao tu
ila ni ngumu maana bado tutakutana na miamba kama City na Liverpool so maybe Europa (I wish
) pamoja na kurudi kwenye Champions League tu.
david ornstein na james pearce kwa pamoja jana wameripoti taarifa ya darwin nunez kuhamia liverpool, ishu kubwa iliojadiliwa sasa ni mfumo wa malipo. james pearce ni tier 1 kwa taarifa za liverpool, huyu david ornstein akikwambia demu wako anatembea na daemushin unapaswa uamini hata kama huna uthibitisho.Aya tukae kwa kutulia sasa Manchester tumejitoa kwenye mbio za kumuwania Nunez
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkicheza na Nunez katikati badala ya False 9 hao wachezaji wa pembeni hawatapata service kama mwanzo, zile movement zitapotea na sitashangaa mkidrop.DIAZ + NUNEZ + SALAH kwa wale mabeki wenu walevi wa gongo, Tunakuja kuwafanyia matusi mengine Old traford.
Kitu ambacho hata mimi ninakitegemea kwa wote city na liverpool kwa ujio wa namba 9 zao.Mkicheza na Nunez katikati badala ya False 9 hao wachezaji wa pembeni hawatapata service kama mwanzo, zile movement zitapotea na sitashangaa mkidrop.