Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watu mna mategemeo makubwa sana, mimi kwa yanayoendelea hata sijipi presha wacha ligi ianze tuonee.

maana kipindi RR anaingia nilidhani tutaanza kufanya poa ila ndo utumbo na hivi sioni hata sajili wakati vikosi bora kama man city, liver ,Madrid wanasajili sisi kimya hata mmoja na ndo kikosi kibovu ajabu.
 
Kwan Manchester hawakuwahi kutoa pesa ndefu kwa wachezaji lakn hakuna mafanikio? Mpira una mambo meng

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji watanunuliwa,lakini siyo Kwa wakati mmoja wanunuliwe 11 kama RR alivyo dai.
ETH atanunua wachezaji kuziba nafasi anazo ziona Zina mapungufu kwanza huku akiendelea kukisuka kikosi mdogo modogo,Kama Klopp alivyo fanya kipindi kuwatimua kina Mignolet na kina Staregi

Usajiri ni gambling Mkuu! Kina Hazard wako wapi? Grelish? Pepe?
 
Hivi Greenwood anatarajiwa kurudi kikosini soon au ndo amepotezwa mazima na mambo ya PSEA?
 
Wadau leo wanasema kikosi ni kizuri, na kinahitaji mabadiliko kidogo sana
, tupewe uzima tutakumbushana hapa hapa..
 
Timu yetu ilikuwa inafungwa kwa sababu ilikuwa inacheza vibaya sana as a team.
 
Timu inakuwa exposed sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…