Au mm naangaliaga mechi tafaut na mnazo angalia nyie nn...maana huyu Fred tunayemuongelea hapa msimu mzima game alizoperform vizur kwa kiwango hazifik game 10Kinachohitajika ni balance..hayo maswala ya kuuliza kama ataanza kwenye kikosi cha Liver au City ni utoto..
Brazil yenye talent kibao Fred ni regular starter...maana anaifanya timu iwe na balance
Usikute na ushindi wake wa kwanza akaishia group stage.Mzee mechi yake ya kwanza tu ana wakanyaga Croatia sisi man united lazima tuna shida sehemu.View attachment 2250935
Kwani ni mchezaji gani mwingine amecheza vizuri hata mechi tano tu kwenye kikosi chetu ukiachana na babu Ronaldo na De Gea?Au mm naangaliaga mechi tafaut na mnazo angalia nyie nn...maana huyu Fred tunayemuongelea hapa msimu mzima game alizoperform vizur kwa kiwango hazifik game 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Akija hata kwa 70 UTD naona ni sawa tu.Naona pia Barca hawana option kutokana na ukata wao
Kwa hii kauli ww unaona fred ni mchezaji mzuri wakupewa namba ya kudumu ndani ya kikosi cha Manchester kwnye kutafuta nafas za juuKwani ni mchezaji gani mwingine amecheza vizuri hata mechi tano tu kwenye kikosi chetu ukiachana na babu Ronaldo na De Gea?
Funny timu zote ulizotaja wana midfielder Mbrazili ambaye anakalishwa na Fred.Kwahy Fred ni mchezaj wa kucheza kikos cha kwanza...na unaona kabisa kwenye kutafuta makombe kama EPL tunaweza kufanikiwa tukiwa na Fred kama kiungo tegemezi?? Au naomba uniambie Fred anapata nafas Liverpool au mancity au Chelsea. Maana hawa ndio wapinzan wakubwa kweny kuchallenge EPL
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhMzee mechi yake ya kwanza tu ana wakanyaga Croatia sisi man united lazima tuna shida sehemu.View attachment 2250935
Hii fact ya yy kupata namba timu ya taifa haina mashiko....maana tukienda namna hiyo vp maguaya na yy n beki mzuri sababu anapata namba England?Funny timu zote ulizotaja wana midfielder Mbrazili ambaye anakalishwa na Fred.
City pia walikuwa wanamtaka Fred, ni kwamba tu sisi tulitoa mpunga mrefu.
Maguire alikuwa hadi kwenye kikosi bora cha world cup iliyopita..Kwa England sijawahi kuona akicheza vibaya sana kama anapocheza akiwa na sisi United.Hii fact ya yy kupata namba timu ya taifa haina mashiko....maana tukienda namna hiyo vp maguaya na yy n beki mzuri sababu anapata namba England?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo uliyoitaja sio weakness kubwa ya Fred..atleast ungesema kupokonywa mipira kirahisi akicheza dimba la chini when he's on pressure.Kwa hii kauli ww unaona fred ni mchezaji mzuri wakupewa namba ya kudumu ndani ya kikosi cha Manchester kwnye kutafuta nafas za juu
Fred anamapungufu mengi kwa nafasi anayocheza...kiungo gan uliwahi kuona weakness yake n kupiga pass
Sent using Jamii Forums mobile app
ExtensionKusaini au kucheza?
Extension
aligomea sababu alitaka mshahara ambao anastahili sioni tatizo hapoExtension