Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bcq89PGIQAA5h2e.jpg





na burungutu alilopewa hapa chini .... ...



BcrgC7mCIAAiSMl.jpg



Chezea mafioso weye .... ...... ...
imekula kwenu khe khe kheeeeeeeeeeKheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee






attachment.php

[/quote]


Hongereni wakuu naona mambo yenu siyo mabaya ingawa Nzi bado analialia ....... ....... ushoga unawamaliza khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Januzaj is No 2 in list of Premier League's all-time divers after just 14 games... and Man United have been caught twice as often as any other club this season



article-0-1A60A11100000578-525_634x436.jpg




Caution: Adnan Januzaj was booked for diving by referee
Howard Webb during Manchester United's 2-1 defeat to Tottenham






article-0-1A608D8B00000578-551_634x353.jpg


Going down: Januzaj hits the ground after making contact
with Spurs defender Danny Rose during the second half




article-0-1A6049BD00000578-9_634x423.jpg


Januzaj, pictured here taking on Tottenham defender
Kyle Walker, could not inspire his side to a comeback
against Tim Sherwood's side




article-2532542-1A3CF93300000578-650_634x432.jpg


No contact: Januzaj saw yellow after going down
near West Ham's James Collins during Manure 3-1 win
against West Ham in December




article-2532542-1A61D5C400000578-92_634x540.jpg


Mixed afternoon: Januzaj scored twice but was booked
by referee Chris Foy for a dive against Sunderland
at the Stadium of Light



article-2532542-1A61C90D00000578-949_306x298.jpg



Nzi njoo utetee list ya divers ... ..
khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kama madudu ya Arsene Chenga yalivyoshamiri kwenu goons kwa miaka 8 bila kikombe hata cha mbuzi.......

Ukibeba ubingwa ndio at least tunaweza kuongea,remember you have won nothing in 8 years

Hivi hili la kutochukua kikombe kwa miaka 8 linahusiana kivipi na Mn Utd kupoteza mechi zake wakuu?...

Hivi iliwachukua miaka mingapi Chelsea na Man City kuchukua ndoo ya EPL?....

Cha msingi ni kuangalia sababu zinazopelekea Man Utd ifanye vibaya wakuu.....
 
Cha msingi ni kuangalia sababu zinazopelekea Man Utd ifanye vibaya wakuu.....

Sababu wanazotoa goons wenzio ni kuwa David ni kocha asiyefaa kuwa wa #ManUnited wanatoa sababu hiyo kwa kocha ambaye hata mwaka 1 hajamaliza klabuni.

Sasa ndio maana nikawaambia kama kigezo cha kufanya vibaya klabuni ndio kiashiria cha kocha kuwa mbovu, mbona Arsene Chenga anaenda mwaka wa 9 sasa bila kuwa na kikombe hata cha mbuzi?

Pili, goons wenzio wanasema David hastahili kuwa #ManUnited kwa sababu ana uzoefu wa midtable....sasa nikawauliza Arsene Chenga wakati anakuja goons alichukuliwa kwa uzoefu upi? Kwani alitoka nchi ambayo haikuwapo kwenye ramani ya soka!!!

Ni hayo tu chifu wangu.....

Sasa nakupa sababu inayopelekea United kufanya vibaya hadi sasa:

1. Kipindi cha mpito - ili halina ubishi, kwani kwa kile alichokifanya SAF katika miaka 27 ya kuwa OT, siyo rahisi kwa kocha mpya kuja na kuyaishi mara moja. Naamini siku ambayo Arsene Chenga akiondoka goons (msimu huu ndio wake wa mwisho, kwani aliahidi hasipochukua kikombe chochote kile atajiuzulu, na sioni dalili za kuchukua chochote).
Katika kipindi cha mpito, David anapigania na kuepuka kuishi katika kivuli cha SAF; anataka aweke alama yake klabun, jambo ambalo siyo kazi rahisi.

2. Kuchemsha katika usajili wa majira ya joto mwaka jana - hapa napo panahusika. David alikuwa ni meneja mpya na Ed Woodward alikuwa ndio kwanza ameanza majukumu kama executive vice chairman mwenye jukumu pia la kutoa pesa za usajili. Sasa Ed alikuwa mzito mno katika kutoa pesa; hivyo kupelekea David kukosa wachezaji aliowataka. Hapa siasa za usajili ziliwatoa knockout wote. Mwezi huu mambo yataenda vizuri, kwani David tayari ana kikosi chake kipya cha usajili. Timu ilihitaji wachezaji kadhaa wapya karibu katika nafasi zote tatu (beki, kiungo na mbele) za uwanjani (ukitoa golini). Hiyo ni kutokana na usajili uliofanywa na wapinzani na kuongeza nguvu ya wapinzani.

3. Viwango vya wachezaji - viwango vya wachezaji kama Evra, Rio, Tom, Smalling, Kagawa na Javier vimekuwa haviko sawa sana. Ingawa kwa Javier na Shinji, naweza nisiwalaumu sana kutokana na muda mchache waliocheza. Lakini pale wanapocheza, hususani Javier wamekuwa hawapo katika viwango sawa. Shinji amefanya vizuri sana katika UCL. Evra nafikiri muda wake umefika omega; amekuwa hana spidi ya kurudi kwenye LB pale anapopigwa counter attack kwenye upande wake. Tom amepewa sana nafasi lakini hajawa bora katika kusukuma mashambulizi mbele. Smalling naye pale anapocheza kama RB amekuwa uchochoro sana; ingawa kwa upande mwingine siwezi kumlaumu sana kutokana na kwamba yeye siyo natural RB. Akicheza kama CB, uwa anacheza vizuri sana. Rio kazeeka, na nafikiri mwisho wa msimu huu, safari ya kuondoka itafika.

4. Majeruhi - kwa kweli msimu huu timu imekumbwa na majeruhi kwa wachezaji wa muhimu sana. Mfano, RvP, Rafael, Jones, Michael, Vida na Nani. Hii imepeleka timu kukosa consistency. Haswa pengo la Rafael ni kubwa sana; kwani hasipokuwepo yeye RB inakuwa uchochoro wa magoli kwa tiu pinzani. RvP, kutokuwepo kwake kumepunguza nguvu katika mashambulizi, hilo halipingiki.

5. Moyes kutotoa 'hair-dryer' treatment - ni kama bado anawagwaya wachezaji. Wakicheza vibaya, kwenye post-match inteviews anasema wamecheza vizuri. Hata pale uwanjani, anaonekana kutowakaripia wachezaji na kuonyesha who is the boss. Hili limepelekea timu kucheza bila ya #ManUnited spirit katika mechi nyingi. Mfano, juzi dhidi ya Spurs kwa kweli kabla ya Danny kufunga goli, timu ilicheza kama imekata tamaa vile.

6. Pressure on players, haswa wanapocheza OT - wachezaji wa #ManUnited hawajazoea kuwa katika hali kama hii. Kupoteza mechi 4 OT, ni jambo ambalo halipo katika veins zao. Sasa hiyo inapelekea kucheza na pressure ya kuogopa kupoteza tena mechi nyumbani. Hata mashabiki OT wamekuwa nao hawana morale sana wa kushangilia timu; ni kama wana fear for the worst katika kila gemu OT. Ni ajabu away fans wamekuwa wakitoa sapoti sana kwa timu.

Hayo ndiyo nayaona kama mambo yaliyopelekea timu kufanya vibaya hadi sasa.
Lakini #ManUnited ndio klabu kubwa zaidi Uingereza, hivyo itakaa vizuri tu, na mambo yatakuwa sawa.
 
Sababu wanazotoa goons wenzio ni kuwa David ni kocha asiyefaa kuwa wa #ManUnited wanatoa sababu hiyo kwa kocha ambaye hata mwaka 1 hajamaliza klabuni.

Sasa ndio maana nikawaambia kama kigezo cha kufanya vibaya klabuni ndio kiashiria cha kocha kuwa mbovu, mbona Arsene Chenga anaenda mwaka wa 9 sasa bila kuwa na kikombe hata cha mbuzi?

Pili, goons wenzio wanasema David hastahili kuwa #ManUnited kwa sababu ana uzoefu wa midtable....sasa nikawauliza Arsene Chenga wakati anakuja goons alichukuliwa kwa uzoefu upi? Kwani alitoka nchi ambayo haikuwapo kwenye ramani ya soka!!!

Ni hayo tu chifu wangu.....

Sasa nakupa sababu inayopelekea United kufanya vibaya hadi sasa:

1. Kipindi cha mpito - ili halina ubishi, kwani kwa kile alichokifanya SAF katika miaka 27 ya kuwa OT, siyo rahisi kwa kocha mpya kuja na kuyaishi mara moja. Naamini siku ambayo Arsene Chenga akiondoka goons (msimu huu ndio wake wa mwisho, kwani aliahidi hasipochukua kikombe chochote kile atajiuzulu, na sioni dalili za kuchukua chochote).
Katika kipindi cha mpito, David anapigania na kuepuka kuishi katika kivuli cha SAF; anataka aweke alama yake klabun, jambo ambalo siyo kazi rahisi.

2. Kuchemsha katika usajili wa majira ya joto mwaka jana - hapa napo panahusika. David alikuwa ni meneja mpya na Ed Woodward alikuwa ndio kwanza ameanza majukumu kama executive vice chairman mwenye jukumu pia la kutoa pesa za usajili. Sasa Ed alikuwa mzito mno katika kutoa pesa; hivyo kupelekea David kukosa wachezaji aliowataka. Hapa siasa za usajili ziliwatoa knockout wote. Mwezi huu mambo yataenda vizuri, kwani David tayari ana kikosi chake kipya cha usajili. Timu ilihitaji wachezaji kadhaa wapya karibu katika nafasi zote tatu (beki, kiungo na mbele) za uwanjani (ukitoa golini). Hiyo ni kutokana na usajili uliofanywa na wapinzani na kuongeza nguvu ya wapinzani.

3. Viwango vya wachezaji - viwango vya wachezaji kama Evra, Rio, Tom, Smalling, Kagawa na Javier vimekuwa haviko sawa sana. Ingawa kwa Javier na Shinji, naweza nisiwalaumu sana kutokana na muda mchache waliocheza. Lakini pale wanapocheza, hususani Javier wamekuwa hawapo katika viwango sawa. Shinji amefanya vizuri sana katika UCL. Evra nafikiri muda wake umefika omega; amekuwa hana spidi ya kurudi kwenye LB pale anapopigwa counter attack kwenye upande wake. Tom amepewa sana nafasi lakini hajawa bora katika kusukuma mashambulizi mbele. Smalling naye pale anapocheza kama RB amekuwa uchochoro sana; ingawa kwa upande mwingine siwezi kumlaumu sana kutokana na kwamba yeye siyo natural RB. Akicheza kama CB, uwa anacheza vizuri sana. Rio kazeeka, na nafikiri mwisho wa msimu huu, safari ya kuondoka itafika.

4. Majeruhi - kwa kweli msimu huu timu imekumbwa na majeruhi kwa wachezaji wa muhimu sana. Mfano, RvP, Rafael, Jones, Michael, Vida na Nani. Hii imepeleka timu kukosa consistency. Haswa pengo la Rafael ni kubwa sana; kwani hasipokuwepo yeye RB inakuwa uchochoro wa magoli kwa tiu pinzani. RvP, kutokuwepo kwake kumepunguza nguvu katika mashambulizi, hilo halipingiki.

5. Moyes kutotoa 'hair-dryer' treatment - ni kama bado anawagwaya wachezaji. Wakicheza vibaya, kwenye post-match inteviews anasema wamecheza vizuri. Hata pale uwanjani, anaonekana kutowakaripia wachezaji na kuonyesha who is the boss. Hili limepelekea timu kucheza bila ya #ManUnited spirit katika mechi nyingi. Mfano, juzi dhidi ya Spurs kwa kweli kabla ya Danny kufunga goli, timu ilicheza kama imekata tamaa vile.

6. Pressure on players, haswa wanapocheza OT - wachezaji wa #ManUnited hawajazoea kuwa katika hali kama hii. Kupoteza mechi 4 OT, ni jambo ambalo halipo katika veins zao. Sasa hiyo inapelekea kucheza na pressure ya kuogopa kupoteza tena mechi nyumbani. Hata mashabiki OT wamekuwa nao hawana morale sana wa kushangilia timu; ni kama wana fear for the worst katika kila gemu OT. Ni ajabu away fans wamekuwa wakitoa sapoti sana kwa timu.

Hayo ndiyo nayaona kama mambo yaliyopelekea timu kufanya vibaya hadi sasa.
Lakini #ManUnited ndio klabu kubwa zaidi Uingereza, hivyo itakaa vizuri tu, na mambo yatakuwa sawa.

arsenè wenger sio kwamba alikuja arsenal akiwa hana jina. Jina alikua nalo sana alikua kocha wa monaco alipowaibua vipaji vya henry,trezeguet na wengineo kabla ya kutimkia japan ndo akaenda pride of london (arsenal)
 
Nzi na washabiki koko wenzio .... .... ..

''
Sort out the diving... or go! Manure fanzine demands Mo No rids the club of its cheating .........''


The influential Manchester United fanzine Red Issue have called for David Moyes to stamp out the diving culture at Old Trafford - or leave the club. In a series of passionate postings on Twitter, the fanzine hit out at the recent spate of simulation from Manchester United players. And Sportsmail understands that the fanzine is set to campaign heavily on this issue in their next publication.



Ashley Young had a legitimate penalty appeal turned down by referee Howard Webb towards the end of United’s 2-1 defeat by Tottenham on New Year's Day and the fanzine believe that United’s chances were not helped by the winger’s reputation for diving. @RedIssue tweeted: ‘No surprise whatsoever to see Young denied a penalty given his previous form for theatrics. This is what happens when you’re a cheat.’


Danny Welbeck also came under the microscope after he fell dramatically under minimal contact from Spurs defender Vlad Chiriches. Referee Webb turned down the penalty claim but did not caution the player for unsporting behaviour. Welbeck’s fall was the latest in a series of perceived dives from United players, with Adnan Januzaj booked three times already this season for going to ground too easily - although replays showed that the youngster was unfairly cautioned by Webb yesterday - while Wayne Rooney escaped punishment but also dived in the 3-2 victory against Hull on Boxing Day.


The account fumed: ‘Welbeck’s dive y’day was the most disgraceful act in a Utd shirt since Januzaj’s last and before that Young and Rooney’s. Sort it Moyes.’

‘No-one minds MUFC losing - that’s football. Losing whilst disgracing the club through cheating is another matter. Sort it Moyes or f**k off.’

Washabiki koko wa manure njooni muwajibu wenzenu wa old trashford .... ..... ..... ....
Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Sababu wanazotoa goons wenzio ni kuwa David ni kocha asiyefaa kuwa wa #ManUnited wanatoa sababu hiyo kwa kocha ambaye hata mwaka 1 hajamaliza klabuni.

Sasa ndio maana nikawaambia kama kigezo cha kufanya vibaya klabuni ndio kiashiria cha kocha kuwa mbovu, mbona Arsene Chenga anaenda mwaka wa 9 sasa bila kuwa na kikombe hata cha mbuzi?

Pili, goons wenzio wanasema David hastahili kuwa #ManUnited kwa sababu ana uzoefu wa midtable....sasa nikawauliza Arsene Chenga wakati anakuja goons alichukuliwa kwa uzoefu upi? Kwani alitoka nchi ambayo haikuwapo kwenye ramani ya soka!!!

Ni hayo tu chifu wangu.....

Sasa nakupa sababu inayopelekea United kufanya vibaya hadi sasa:

1. Kipindi cha mpito - ili halina ubishi, kwani kwa kile alichokifanya SAF katika miaka 27 ya kuwa OT, siyo rahisi kwa kocha mpya kuja na kuyaishi mara moja. Naamini siku ambayo Arsene Chenga akiondoka goons (msimu huu ndio wake wa mwisho, kwani aliahidi hasipochukua kikombe chochote kile atajiuzulu, na sioni dalili za kuchukua chochote).
Katika kipindi cha mpito, David anapigania na kuepuka kuishi katika kivuli cha SAF; anataka aweke alama yake klabun, jambo ambalo siyo kazi rahisi.

2. Kuchemsha katika usajili wa majira ya joto mwaka jana - hapa napo panahusika. David alikuwa ni meneja mpya na Ed Woodward alikuwa ndio kwanza ameanza majukumu kama executive vice chairman mwenye jukumu pia la kutoa pesa za usajili. Sasa Ed alikuwa mzito mno katika kutoa pesa; hivyo kupelekea David kukosa wachezaji aliowataka. Hapa siasa za usajili ziliwatoa knockout wote. Mwezi huu mambo yataenda vizuri, kwani David tayari ana kikosi chake kipya cha usajili. Timu ilihitaji wachezaji kadhaa wapya karibu katika nafasi zote tatu (beki, kiungo na mbele) za uwanjani (ukitoa golini). Hiyo ni kutokana na usajili uliofanywa na wapinzani na kuongeza nguvu ya wapinzani.

3. Viwango vya wachezaji - viwango vya wachezaji kama Evra, Rio, Tom, Smalling, Kagawa na Javier vimekuwa haviko sawa sana. Ingawa kwa Javier na Shinji, naweza nisiwalaumu sana kutokana na muda mchache waliocheza. Lakini pale wanapocheza, hususani Javier wamekuwa hawapo katika viwango sawa. Shinji amefanya vizuri sana katika UCL. Evra nafikiri muda wake umefika omega; amekuwa hana spidi ya kurudi kwenye LB pale anapopigwa counter attack kwenye upande wake. Tom amepewa sana nafasi lakini hajawa bora katika kusukuma mashambulizi mbele. Smalling naye pale anapocheza kama RB amekuwa uchochoro sana; ingawa kwa upande mwingine siwezi kumlaumu sana kutokana na kwamba yeye siyo natural RB. Akicheza kama CB, uwa anacheza vizuri sana. Rio kazeeka, na nafikiri mwisho wa msimu huu, safari ya kuondoka itafika.

4. Majeruhi - kwa kweli msimu huu timu imekumbwa na majeruhi kwa wachezaji wa muhimu sana. Mfano, RvP, Rafael, Jones, Michael, Vida na Nani. Hii imepeleka timu kukosa consistency. Haswa pengo la Rafael ni kubwa sana; kwani hasipokuwepo yeye RB inakuwa uchochoro wa magoli kwa tiu pinzani. RvP, kutokuwepo kwake kumepunguza nguvu katika mashambulizi, hilo halipingiki.

5. Moyes kutotoa 'hair-dryer' treatment - ni kama bado anawagwaya wachezaji. Wakicheza vibaya, kwenye post-match inteviews anasema wamecheza vizuri. Hata pale uwanjani, anaonekana kutowakaripia wachezaji na kuonyesha who is the boss. Hili limepelekea timu kucheza bila ya #ManUnited spirit katika mechi nyingi. Mfano, juzi dhidi ya Spurs kwa kweli kabla ya Danny kufunga goli, timu ilicheza kama imekata tamaa vile.

6. Pressure on players, haswa wanapocheza OT - wachezaji wa #ManUnited hawajazoea kuwa katika hali kama hii. Kupoteza mechi 4 OT, ni jambo ambalo halipo katika veins zao. Sasa hiyo inapelekea kucheza na pressure ya kuogopa kupoteza tena mechi nyumbani. Hata mashabiki OT wamekuwa nao hawana morale sana wa kushangilia timu; ni kama wana fear for the worst katika kila gemu OT. Ni ajabu away fans wamekuwa wakitoa sapoti sana kwa timu.

Hayo ndiyo nayaona kama mambo yaliyopelekea timu kufanya vibaya hadi sasa.
Lakini #ManUnited ndio klabu kubwa zaidi Uingereza, hivyo itakaa vizuri tu, na mambo yatakuwa sawa.

......ndio #Mzoee sasa, maelezo meeeeeengi!
Sisi tunaelewa sana hiyo, mnachoudhi ni hizi tafsiri zenu kwenye hiyo transition in English Dictionary:

1. Hope: When you move from position 8 to 6 after several games with unknowns.

2. Blindness: When you see Arsenal in 6 when they are actually 1

3. Naïve: When you think you will catch Liverpool after they are done with the top 4 business

4. Misery: when you play just to qualify for a Europa position

5. Stupidity: when you hire a middle table manager and expect to defend the league

6. Reality: When Everton is above you after selling their dull manager to you

7. Denial: When you prophecy that Arsenal will be number 4 by 1 January 2014

8. Clueless: when you are ganyuliraling Newcastle and support your enemy (in Arsenal) to win

9. Religious: when you pray for Arsenal to lose!

10. Failure: When Arsenal is on top against your wishes

11. Barbaric: When you are angry with this post! period,
 
......ndio #Mzoee sasa, maelezo meeeeeengi!
Sisi tunaelewa sana hiyo, mnachoudhi ni hizi tafsiri zenu kwenye hiyo transition in English Dictionary:

1. Hope: When you move from position 8 to 6 after several games with unknowns.

2. Blindness: When you see Arsenal in 6 when they are actually 1

3. Naïve: When you think you will catch Liverpool after they are done with the top 4 business

4. Misery: when you play just to qualify for a Europa position

5. Stupidity: when you hire a middle table manager and expect to defend the league

6. Reality: When Everton is above you after selling their dull manager to you

7. Denial: When you prophecy that Arsenal will be number 4 by 1 January 2014

8. Clueless: when you are ganyuliraling Newcastle and support your enemy (in Arsenal) to win

9. Religious: when you pray for Arsenal to lose!

10. Failure: When Arsenal is on top against your wishes

11. Barbaric: When you are angry with this post! period,

555848_612233815502204_359065115_n.jpg
 
Replays zilionyesha kabisa Lloris alipangua ule mpira nje ya mstari.....kama unawezaa kuangalia tena, ebu angalia chifu...I wish ningekuwekea video clip ya tukio husika....ila I can't find the clip......ila kama unaweza try to watch the match again......



If you call this diving, well,I am done with you.
8AB8162D057546BDA256E324614EE770.ashx


Hugo Lloris tackle was 'scandalous' - Moyes - YouTube

Even Tim Sherwood admitted that was a clear penalty and a straight red card.

Sherwood agrees with pen shout | Video | Watch TV Show | Sky Sports

If Danny and Young dived, why didn't Webb book them for diving?!

Chifu kuhus save ya Lloris maybe me ckuifutilia vizuri
But kuhusu young ni ukweli kuwa kazidi kudive na ndio maana muda mwingine inawawia vigumu saana kwa marefa kufanya maamuzi ya kutoa penalty kutokana na tabia (mazoea) aliyojijengea Young ya kupiga mbizi uwanjani.
By the way Januzaj kaendelea kuweka rekod ya kupokea kadi za njano kutokana na diving though hupenda kumtetea kuwa ni mtoto anaepusha majeraha but ts too much bro.
 
......ndio #Mzoee sasa, maelezo meeeeeengi!
Sisi tunaelewa sana hiyo, mnachoudhi ni hizi tafsiri zenu kwenye hiyo transition in English Dictionary:

1. Hope: When you move from position 8 to 6 after several games with unknowns.

2. Blindness: When you see Arsenal in 6 when they are actually 1

3. Naïve: When you think you will catch Liverpool after they are done with the top 4 business

4. Misery: when you play just to qualify for a Europa position

5. Stupidity: when you hire a middle table manager and expect to defend the league

6. Reality: When Everton is above you after selling their dull manager to you

7. Denial: When you prophecy that Arsenal will be number 4 by 1 January 2014

8. Clueless: when you are ganyuliraling Newcastle and support your enemy (in Arsenal) to win

9. Religious: when you pray for Arsenal to lose!

10. Failure: When Arsenal is on top against your wishes

11. Barbaric: When you are angry with this post! period,

Duuh kama hawatakuelewa na hapa watakuwa na lao jambo.
 
1. Kipindi cha mpito - ili halina ubishi, kwani kwa kile alichokifanya SAF katika miaka 27 ya kuwa OT, siyo rahisi kwa kocha mpya kuja na kuyaishi mara moja. Naamini siku ambayo Arsene Chenga akiondoka goons (msimu huu ndio wake wa mwisho, kwani aliahidi hasipochukua kikombe chochote kile atajiuzulu, na sioni dalili za kuchukua chochote).
Katika kipindi cha mpito, David anapigania na kuepuka kuishi katika kivuli cha SAF; anataka aweke alama yake klabun, jambo ambalo siyo kazi rahisi.
Kwanini nyie tu ndio Mnahitaji kipindi cha Mpito?(Transition Period)? Kuna makocha wengi wageni na wanafanya vizuri
Like Pellegrin, Martinez, Special One, Rodgerz..."Remember...There is NO TRANSITION IN OLD TRAFFORD"...Poor YOU..POOR ANALYSIS...MANURE!! The successor failed to Lift UP the TEAM....Now U have to BELIEVE IT
 
Jamani mtamuua Inzi wetu hebu mwacheni apumue kiduchu khe khe khe khje khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwanini nyie tu ndio Mnahitaji kipindi cha Mpito?(Transition Period)? Kuna makocha wengi wageni na wanafanya vizuri
Like Pellegrin, Martinez, Special One, Rodgerz..."Remember...There is NO TRANSITION IN OLD TRAFFORD"...Poor YOU..POOR ANALYSIS...MANURE!! The successor failed to Lift UP the TEAM....Now U have to BELIEVE IT

Mkuu acha kuchanganya mambo,hebu niambie Rodgers,Martinez na Pellegrin wamepata mafanikio yapi kwenye timu zao so far.Kumbuka SAF amekaa Man United miaka 27 kocha yeyote ambaye angekuja kumrithi lazima angepata taabu.Assesment nzuri ya kocha hufanywa kwenye msimu wake wa pili kwa sababu tayari anakuwa ametengeneza timu yake so hana kisingizio.
So far Roberto Martinez anatumia wachezaji ambao alinunuliwa na Moyes ukiondoa Lukaku,Barry na Deoflou ambao wako kwa mkopo
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mkuu acha kuchanganya mambo,hebu niambie Rodgers,Martinez na Pellegrin wamepata mafanikio yapi kwenye timu zao so far.Kumbuka SAF amekaa Man United miaka 27 kocha yeyote ambaye angekuja kumrithi lazima angepata taabu.Assesment nzuri ya kocha hufanywa kwenye msimu wake wa pili kwa sababu tayari anakuwa ametengeneza timu yake so hana kisingizio.
So far Roberto Martinez anatumia wachezaji ambao alinunuliwa na Moyes ukiondoa Lukaku,Barry na Deoflou ambao wako kwa mkopo
Mkuu sijui kama umenielewa vizuri....Hao Makocha niliowataja ni wageni katika clubs zao kama alivyo MOYES...na misimu yao ya kwanza tu katika Club wameonyesha wanaweza kwa maana timu zao zinaleta Upinzani mkali katika ligi...kwanini na wao wasihitahi Muda wa mpito kuwajua wachezaji?

Halafu kama unanchekesha vile..Martinez kawakuta wachewaji wa MOYES?? Hii ndio sababu yako ya msingi kwamba team Toffees iinafanya vizuri?? Je Hao Manure ambao SAF amemwachia MOYES sio ndio waliobeba ndoo kabisa??
MOYES still kaachiwa wachezaji wazuri ambao ndio watetezi wa ligi...sasa hapo ndipo utakapoona ubovu wa MANURE under MOYES.

Anyway ngoja tuone msimu wa pili utakavyokuwa kama unavyosema kwamba atakuwa hana reason coz ashawazoea wachezaji...ila kumbuka msimu ushaanza with Another Loose at Home Pitch!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu acha kuchanganya mambo,hebu niambie Rodgers,Martinez na Pellegrin wamepata mafanikio yapi kwenye timu zao so far.Kumbuka SAF amekaa Man United miaka 27 kocha yeyote ambaye angekuja kumrithi lazima angepata taabu.Assesment nzuri ya kocha hufanywa kwenye msimu wake wa pili kwa sababu tayari anakuwa ametengeneza timu yake so hana kisingizio.
So far Roberto Martinez anatumia wachezaji ambao alinunuliwa na Moyes ukiondoa Lukaku,Barry na Deoflou ambao wako kwa mkopo

Chifu, ndio maana sijamjibu huyo goon.....

Sijui mafanikio kwenye soka kwake ni kuwa nafasi ya 1, 2, 3, au 4 katika msimu ambao hujaisha?

Watu kama hawa ndio waliomwona Steve Clark kama kocha mwenye mafanikio baada ya kuzifunga #ManUnited , Loserfools na kutoka draw na goons...sasa anakula Sunday roast tu....

Eti Martinez ni kocha mwenye mafanikio??? Pheeewww....wanasahau kocha huyo ndie aliyeishusha daraja Wigan Athletic!

Lakini husishange chifu, kwani kwa goons neno mafanikio lina maana yao katika mazingira yao.....ebu angalia hapa:

1. Arsene Chenga (1996-2014) - European titles, nada
2. Arsene Chenga (1996-2014, 18 years) EPL titles, 3!!!
3. Arsene Chenga (2004/05-2012/13, 8 years) EPL titles nada

Sasa ukilinganisha ebu linganisha na jinsi watu wa #ManUnited tunavyo-define mafanikio:1. Sir Alex Ferguson (1986-2013) European titles, 4
2. Sir Alex Ferguson (1986-2013) EPL titles, 13
3. Sir Alex Ferguson (2004-2013) EPL titles, 5

Kwaiyo ina maana, ili watu wa goons (wakiwa na Arsene Chenga) waweze ku-define mafinikio katika soka kama tunavyo-define watu wa #ManUnited katika ngazi ya EPL, itawachukua miaka 72!!! Hiyo ni kutokana na kwamba kwa miaka 18 aliyokaa Chenga pale goons, amechukua EPL titles 3, ina maana kwa wastani amechukua EPL title 1 kila baada ya miaka 6.

Let me finish with some spices from SAF's autography. When he was asked about Wenger's complaints on SAF's complaints about league fixtures, SAF replied, ‘He's just arrived from Japan, what does he know about it?' Check that out in chapter 13 of the book, titled Competing with Wenger.
 
Back
Top Bottom