D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Sawa mkuuMkuu kama unapenda tetesi upitage kwenye page za fabrizo romano yupo mitandao yote ya jamii tetesi zake asilimia 85 uwa kweli.
Mctominay atapata au kwa sababu ama uwezo kuzidi fred ?Fred kwenye kikosi cha kwanza cha EtH hata namba anaweza asipate, mchezo wa possession hauhitaji mapepe miguuni. de Jong siyo mchezaji wa kumfananisha na Fred. EtH hachezi na lone CDM so obviously kutakuwa na ujio wa DM pia. Yani kiuhalisia hata Bruno asipoangalia namba 10 anaweza kucheza VdB.
Hiki kizazi cha kina pogba na wenzie kiondolewe ni project iliyo feli sehem kubwa de gea wakumuondoa pia pamoja na martial mishahara mikubwa kiwango kidogo...najua watu watapinga kuhusu degea lakn ukwel n wa kumuondoadavid de gea anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka 5 wenye punguzo la mshahara, kwa sasa analipwa paundi 375000, mkataba mpya utamfanya alipwe paundi 250000. vipi tuanze kumsifu john murtough au muda wake bado?... CHIEF MKWAWA
Yani kimsingi Fred na McTominay siyo wachezaji wa hadhi ya Manchester United. Kupata kwao namba itategemea, kama timu itamsajili de Jong na DM wasahau suala la kucheza mechi za Premier League kabisa.Mctominay atapata au kwa sababu ama uwezo kuzidi fred ?
Yani kimsingi Fred na McTominay siyo wachezaji wa hadhi ya Manchester United. Kupata kwao namba itategemea, kama timu itamsajili de Jong na DM wasahau suala la kucheza mechi za Premier League kabisa.Mctominay atapata au kwa sababu ama uwezo kuzidi fred ?
Naunga mkono hoja nafikiri wale watumike kwenye mechi zinazo wahitaji tu lakn sio wa kuanza first 11 kila wiki viungo gan hawapo creative utazan n CBYani kimsingi Fred na McTominay siyo wachezaji wa hadhi ya Manchester United. Kupata kwao namba itategemea, kama timu itamsajili de Jong na DM wasahau suala la kucheza mechi za Premier League kabisa.
Baada ya misimu mitatu tutakuwa tumeshatoa takataka zote.
De gea kosa lake nn? Au ndiyo zile propaganda za kusema hapigi pasi? Hayo mambo ya kupiga pasi waachie midfielders kipa kazi yake kudaka na de gea hana shaka kwenye hilo.Hiki kizazi cha kina pogba na wenzie kiondolewe ni project iliyo feli sehem kubwa de gea wakumuondoa pia pamoja na martial mishahara mikubwa kiwango kidogo...najua watu watapinga kuhusu degea lakn ukwel n wa kumuondoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli itakuwa hivi hapa nampongeza. Tuna mikataba ya ajabu sana, wachezaji wengi wapo overpaid.david de gea anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka 5 wenye punguzo la mshahara, kwa sasa analipwa paundi 375000, mkataba mpya utamfanya alipwe paundi 250000. vipi tuanze kumsifu john murtough au muda wake bado?... CHIEF MKWAWA
sababu ya msingi ni ipi kumuondoa De gea?Hiki kizazi cha kina pogba na wenzie kiondolewe ni project iliyo feli sehem kubwa de gea wakumuondoa pia pamoja na martial mishahara mikubwa kiwango kidogo...najua watu watapinga kuhusu degea lakn ukwel n wa kumuondoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief umewahi angalia game hata 1 ya N. Forest dk zote 90 ambayo Garner kaanza?Mctominay mwengine
Fabrizio anasema Dalot is appreciated ndani ya bodi na chances za kuondoka ni chache sana labda itokee huge bid, Bissaka wanasubiri tu offer asepe so deal la Timber naona litakuwa done siku si nyingiMatic
Pogba
Lingard
Martial
Bailly
Jones
Mata
AWB
Telles
Dalot
Perreira
Hili panga liendelee tu maana tulijaza takataka kibao.
Ikifika kwa jones kila mtu atapiga shangweMatic
Pogba
Lingard
Martial
Bailly
Jones
Mata
AWB
Telles
Dalot
Perreira
Mata nae atunae fagio linaendelea.View attachment 2248013
De gea kwa Ten Hag habaki, De gea ni GK siku hizi makipa wa kisasa ni sweeper hivyo ata struggle.Hiki kizazi cha kina pogba na wenzie kiondolewe ni project iliyo feli sehem kubwa de gea wakumuondoa pia pamoja na martial mishahara mikubwa kiwango kidogo...najua watu watapinga kuhusu degea lakn ukwel n wa kumuondoa
Sent using Jamii Forums mobile app